Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • EU yasisitiza tena kutekelezwa kikamilifu JCPOA

    EU yasisitiza tena kutekelezwa kikamilifu JCPOA

    Jan 16, 2017 11:07

    Umoja wa Ulaya umetilia mkazo kutekelezwa kikamilifu Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) na kufungamana na makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa kati ya kundi la 5+1 na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Araqchi: Marekani na baadhi ya nchi zimekuwa zikikwamisha utekelezwaji wa JCPOA

    Araqchi: Marekani na baadhi ya nchi zimekuwa zikikwamisha utekelezwaji wa JCPOA

    Jan 15, 2017 11:02

    Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita, Tehran imekuwa ikikabiliwa na ukiukwaji wa ahadi, kigugumizi, siasa za ucheleweshaji mambo na chuki za Marekani na baadhi ya nchi katika utekelezwaji wa makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Takhte-Ravanchi: Iran haitoruhusu kuangaliwa upya JCPOA

    Takhte-Ravanchi: Iran haitoruhusu kuangaliwa upya JCPOA

    Jan 14, 2017 00:26

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya Ulaya na Marekani amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitatoa mwanya wa kuchunguzwa upya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Matamshi ya Ujuba ya Waziri Mambo ya Nje wa Trump kuhusu Iran na  JCPOA

    Matamshi ya Ujuba ya Waziri Mambo ya Nje wa Trump kuhusu Iran na JCPOA

    Jan 12, 2017 01:23

    Rex Tillerson ambaye ni chaguo la Donald Trump rais mteule wa Marekani kuchukua Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo amesema iwapo ataidhinishwa kuchukua wadhifa huo, basi atapendekeza kuangaliwa upya mapatano ya nyuklia ya Iran.

  • Kamisheni ya pamoja ya JCPOA yachunguza ukiukaji ahadi wa Marekani

    Kamisheni ya pamoja ya JCPOA yachunguza ukiukaji ahadi wa Marekani

    Jan 11, 2017 03:39

    Kikao cha kamisheni ya pamoja ya Iran na kundi la 5+1 katika kiwango cha Manaibu Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni kilichoitishwa kwa takwa la Dakta Muhammad Javad Zarif Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu kwa ajili ya kujadili ukiukaji wa makubaliano hayo uliofanywa na Marekani kimemalizika huko Vienna Austria kwa kutolewa taarifa.

  • Iran yataka ifidiwe baada ya Marekani kukiuka mapatano ya nyuklia

    Iran yataka ifidiwe baada ya Marekani kukiuka mapatano ya nyuklia

    Jan 11, 2017 00:38

    Afisa wa ngazi za juu nchini Iran amesema hatua ya Bunge la Kongresi la Marekani kuongeza kwa muda wa miaka mingine kumi Sheria ya Vikwazo Dhidi ya Iran (ISA) ni ukiukaji wa mapatano ya nyuklia ya mwaka 2015 na kwa msingi huo Tehran inapasa ifidiwe kutokana na ukiukaji huo.

  • Salehi: Iran haitavunja makubaliano ya JCPOA

    Salehi: Iran haitavunja makubaliano ya JCPOA

    Dec 18, 2016 11:47

    Mkuu wa Taasisi ya Atomiki ya Iran amesema kuwa: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitovunja makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina la JCPOA ila pale upande wa pili wa makubaliano hayo utakapofanya hivyo.

  • Marekani inaendelea kukiuka mapatano ya nyuklia ya Iran

    Marekani inaendelea kukiuka mapatano ya nyuklia ya Iran

    Dec 17, 2016 04:04

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema Marekani inaendelea kukiuka mapatano ya nyuklia ya Iran na madola sita makubwa duniani.

  • Wito wa Mogherini wa kutaka EU na Russia ziwe na msimamo mmoja kuhusiana na JCPOA

    Wito wa Mogherini wa kutaka EU na Russia ziwe na msimamo mmoja kuhusiana na JCPOA

    Dec 17, 2016 03:43

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya ametaka kuwepo na msimamo mmoja baina ya umoja huo na Russia katika kuunga mkono makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kukabiliana na hatua yoyote ya kukwamisha utekelezaji wa makubaliano hayo.

  • Rais Rouhani atoa agizo la kuundwa vifaa endeshi vya nyuklia kufuatia kukiukwa JCPOA

    Rais Rouhani atoa agizo la kuundwa vifaa endeshi vya nyuklia kufuatia kukiukwa JCPOA

    Dec 13, 2016 13:14

    Rais Hassan Rouhani ametoa maagizo maalumu ya utekelezaji kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki (AEOI) kutokana na upuuzaji, uzembeaji na ukiukaji wa makubaliano ya nyuklia uliofanywa na Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS