-
EU yasisitiza tena kutekelezwa kikamilifu JCPOA
Jan 16, 2017 11:07Umoja wa Ulaya umetilia mkazo kutekelezwa kikamilifu Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) na kufungamana na makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa kati ya kundi la 5+1 na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Araqchi: Marekani na baadhi ya nchi zimekuwa zikikwamisha utekelezwaji wa JCPOA
Jan 15, 2017 11:02Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita, Tehran imekuwa ikikabiliwa na ukiukwaji wa ahadi, kigugumizi, siasa za ucheleweshaji mambo na chuki za Marekani na baadhi ya nchi katika utekelezwaji wa makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).
-
Takhte-Ravanchi: Iran haitoruhusu kuangaliwa upya JCPOA
Jan 14, 2017 00:26Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya Ulaya na Marekani amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitatoa mwanya wa kuchunguzwa upya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).
-
Matamshi ya Ujuba ya Waziri Mambo ya Nje wa Trump kuhusu Iran na JCPOA
Jan 12, 2017 01:23Rex Tillerson ambaye ni chaguo la Donald Trump rais mteule wa Marekani kuchukua Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo amesema iwapo ataidhinishwa kuchukua wadhifa huo, basi atapendekeza kuangaliwa upya mapatano ya nyuklia ya Iran.
-
Kamisheni ya pamoja ya JCPOA yachunguza ukiukaji ahadi wa Marekani
Jan 11, 2017 03:39Kikao cha kamisheni ya pamoja ya Iran na kundi la 5+1 katika kiwango cha Manaibu Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni kilichoitishwa kwa takwa la Dakta Muhammad Javad Zarif Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu kwa ajili ya kujadili ukiukaji wa makubaliano hayo uliofanywa na Marekani kimemalizika huko Vienna Austria kwa kutolewa taarifa.
-
Iran yataka ifidiwe baada ya Marekani kukiuka mapatano ya nyuklia
Jan 11, 2017 00:38Afisa wa ngazi za juu nchini Iran amesema hatua ya Bunge la Kongresi la Marekani kuongeza kwa muda wa miaka mingine kumi Sheria ya Vikwazo Dhidi ya Iran (ISA) ni ukiukaji wa mapatano ya nyuklia ya mwaka 2015 na kwa msingi huo Tehran inapasa ifidiwe kutokana na ukiukaji huo.
-
Salehi: Iran haitavunja makubaliano ya JCPOA
Dec 18, 2016 11:47Mkuu wa Taasisi ya Atomiki ya Iran amesema kuwa: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitovunja makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina la JCPOA ila pale upande wa pili wa makubaliano hayo utakapofanya hivyo.
-
Marekani inaendelea kukiuka mapatano ya nyuklia ya Iran
Dec 17, 2016 04:04Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema Marekani inaendelea kukiuka mapatano ya nyuklia ya Iran na madola sita makubwa duniani.
-
Wito wa Mogherini wa kutaka EU na Russia ziwe na msimamo mmoja kuhusiana na JCPOA
Dec 17, 2016 03:43Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya ametaka kuwepo na msimamo mmoja baina ya umoja huo na Russia katika kuunga mkono makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kukabiliana na hatua yoyote ya kukwamisha utekelezaji wa makubaliano hayo.
-
Rais Rouhani atoa agizo la kuundwa vifaa endeshi vya nyuklia kufuatia kukiukwa JCPOA
Dec 13, 2016 13:14Rais Hassan Rouhani ametoa maagizo maalumu ya utekelezaji kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki (AEOI) kutokana na upuuzaji, uzembeaji na ukiukaji wa makubaliano ya nyuklia uliofanywa na Marekani.