Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Iran: Itibari ya JCPOA inategemea kuheshimiwa makubaliano hayo na pande zote

    Iran: Itibari ya JCPOA inategemea kuheshimiwa makubaliano hayo na pande zote

    Dec 13, 2016 04:39

    Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kufanikiwa makubaliano ya nyuklia kati ya Jamhuri ya Kiislamu na nchi za kundi la 5+1 kunategemea iwapo pande zote zitayaheshimu na kuyatekeleza makubaliano hayo ipasavyo au la.

  • IAEA yathibitisha kuwa Iran imefungamana na JCPOA

    IAEA yathibitisha kuwa Iran imefungamana na JCPOA

    Dec 07, 2016 03:52

    Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA umesema hatua ya Iran kuuza nje ya nchi maji mazito ya nyuklia ni katika sehemu ya kuonyesha kufangamana kwake na makubaliano ya nyuklia.

  • Iran Kuchukua hatua kali kuhusu ukiukwaji wa mapatano ya nyuklia

    Iran Kuchukua hatua kali kuhusu ukiukwaji wa mapatano ya nyuklia

    Dec 06, 2016 02:28

    Iran itachukua hatua kali na imara iwapo kutakuwepo ukiukwaji wowote wa mapatano ya nyuklia baina yake na madola sita makubwa duniani.

  • Iran yalaani ukatili dhidi ya Waislamu nchini Myanmar

    Iran yalaani ukatili dhidi ya Waislamu nchini Myanmar

    Dec 05, 2016 11:57

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani ubaguzi na ukatili unaofanywa dhidi ya makundi ya kidini nchini Myanmar.

  • Rais Hassan Rouhani: Muswada wa Bunge la Marekani ni ukiukaji wa JCPOA

    Rais Hassan Rouhani: Muswada wa Bunge la Marekani ni ukiukaji wa JCPOA

    Dec 04, 2016 11:25

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, taifa la Iran litachukua hatua madhubuti na za kivitendo mkabala na uvunjaji ahadi, kigugumizi na ucheleweshaji wa aina yoyote ile katika kutekeleza mapatano ya nyuklia yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Waziri Mkuu wa Uingereza aunga mkono makubaliano ya nyuklia Iran

    Waziri Mkuu wa Uingereza aunga mkono makubaliano ya nyuklia Iran

    Dec 01, 2016 04:15

    Msemaji wa Theresa May Waziri Mkuu wa Uingereza amesema kuwa Bi May anaunga mkono kikamilifu Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) na anataka kutekelezwa kikamilifu makubaliano hayo.

  • Iran: Tutajibu hatua yoyote ya Marekani ya kuvunja JCPOA

    Iran: Tutajibu hatua yoyote ya Marekani ya kuvunja JCPOA

    Nov 30, 2016 12:59

    Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Nje ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, kama Marekani itarefusha vikwazo dhidi ya Iran, basi Jamhuri ya Kiislamu itaongeza kiwango cha urutubishaji wake wa urani kwa "SWU" laki moja na 90 elfu.

  • Onyo la mkuu wa CIA kwa Trump kuhusu JCPOA

    Onyo la mkuu wa CIA kwa Trump kuhusu JCPOA

    Nov 30, 2016 09:42

    John O. Brennan, Mkuu wa Shirika la Kijasusi la Marekani CIA amemuonya Donald Trump, rais mteule wa Marekani kutokana na msimamo wake kuhusu makubaliano ya nyuklia ya Iran na kundi la 5+1 yanayojulikana kwa jina la JCPOA na kusisitiza kuwa, haitakuwa busara hata kidogo kufutwa makubaliano yaliyotiwa saini na Tehran na Washington.

  • Kiongozi Muadhamu: Kuendeleza vikwazo dhidi ya Iran ni kinyume na JCPOA

    Kiongozi Muadhamu: Kuendeleza vikwazo dhidi ya Iran ni kinyume na JCPOA

    Nov 23, 2016 11:50

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, hatua ya kurefusha vikwazo dhidi ya Iran kwa miaka 10 zaidi, bila ya shaka yoyote ni uvunjaji wa makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina maarufu la JCPOA.

  • Iran na Ufaransa zasisitiza umuhimu wa kutekelezwa JCPOA

    Iran na Ufaransa zasisitiza umuhimu wa kutekelezwa JCPOA

    Nov 19, 2016 04:35

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Ufaransa zimesisitizia umuhimu wa kutekelezwa makubaliano ya nyuklia ya Vienna, yaliyosainiwa kati ya Iran na nchi za kundi la 5+1.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS