Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • Juhudi za kufanya mapinduzi nchini Sudan

    Juhudi za kufanya mapinduzi nchini Sudan

    Apr 16, 2023 13:23

    Nchini Sudan hali si shwari ambapo habari kutoka nchini humo zinaonyesha kuendelea mapigano kati ya jeshi la Sudan na vikosi vya radiamali ya haraka na kuzusha wasiwasi wa kutokea mapinduzi katika nchi hiyo ya Kiafrika.

  • Camarillo: Vijana hawana hamu ya kulitumikia jeshi

    Camarillo: Vijana hawana hamu ya kulitumikia jeshi

    Mar 23, 2023 07:25

    Afisa mmoja wa ngazi ya juu wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) ameeleza kuwa, ni vijana wachache sana nchini humo ambao wana hamu ya kufanya kazi jeshini.

  • Mazoezi ya Kijeshi ya Zulfiqar; Dhihiriso la Nguvu za Kujihami za Iran + VIDEO

    Mazoezi ya Kijeshi ya Zulfiqar; Dhihiriso la Nguvu za Kujihami za Iran + VIDEO

    Jan 01, 2023 10:16

    Kwa mujibu wa desturi ya kila mwaka ya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, mazoezi ya pamoja ya Zulfiqar yamefanyika kusini mashariki na katika pwani ya Makran.

  • Jeshi la Iran kufanya maneva ya kijeshi ya droni

    Jeshi la Iran kufanya maneva ya kijeshi ya droni

    Aug 24, 2022 04:18

    Jeshi la Iran leo Jumatano linatazamiwa kuzindua luteka ya kijeshi itakayohusisha ndege zisizo na rubani (droni).

  • Ripoti ya Amnesty International kuhusu jinai za kivita za serikali ya Ukraine

    Ripoti ya Amnesty International kuhusu jinai za kivita za serikali ya Ukraine

    Aug 08, 2022 05:42

    Shirika la kimataifa la haki za binadamu la Amnesty International limetoa ripoti mpya na kuilaumu serikali ya Ukraine kwa jinai za kivita ilizofanya dhidi ya raia na watu wasio na hatia wa nchi hiyo.

  • Kamanda: Vikosi vya Jeshi la Iran vinaendelea kuimarika licha ya vikwazo

    Kamanda: Vikosi vya Jeshi la Iran vinaendelea kuimarika licha ya vikwazo

    Jul 15, 2022 02:28

    Kamanda Mkuu wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Nchi Kavu la Iran amesema vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu vinendelea kuimarika na kupata nguvu zaidi siku baada ya siku, licha ya vikwazo na mashinikizo ya kiuchumi dhidi ya taifa hili.

  • Jumatano tarehe 13 Julai 2022

    Jumatano tarehe 13 Julai 2022

    Jul 13, 2022 06:23

    Leo ni tarehe 13 Dhulhija 1443 Hijria sawa na tarehe 13 Julai 2022.

  • Iran yazindua kituo cha chini ya ardhi cha ndege za kivita zisizo na rubani

    Iran yazindua kituo cha chini ya ardhi cha ndege za kivita zisizo na rubani

    May 29, 2022 03:55

    Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limezindua kituo kipya cha siri kilicho chini ya ardhi chenye idadi kubwa ya ndege za kisasa za kivita zisizo na rubani.

  • Waziri wa Ulinzi wa Yemen: Mustakabali wa kutisha utaziandama nchi vamizi

    Waziri wa Ulinzi wa Yemen: Mustakabali wa kutisha utaziandama nchi vamizi

    Mar 23, 2022 07:48

    Waziri wa Ulinzi wa serikali ya uokovu wa kitaifa ya Yemen amesisitiza kuwa, muundo na sura ya muqawama katika siku zijazo utakuwa wa kutisha kwa nchi vamizi.

  • The Wall Street Journal: Uasi wa kiraia nchini Sudan unachochewa na hali mbaya ya uchumi

    The Wall Street Journal: Uasi wa kiraia nchini Sudan unachochewa na hali mbaya ya uchumi

    Jan 19, 2022 11:27

    Gazeti la Kimarekani la "The Wall Street Journal" limeripoti kuwa uasi wa kiraia ulioanza jana Jumanne nchini Sudan unazidisha mzozo kati ya waandamanaji na majenerali wa jeshi la nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS