Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • Ripoti ya Amnesty International kuhusu jinai za kivita za serikali ya Ukraine

    Ripoti ya Amnesty International kuhusu jinai za kivita za serikali ya Ukraine

    Aug 08, 2022 01:12

    Shirika la kimataifa la haki za binadamu la Amnesty International limetoa ripoti mpya na kuilaumu serikali ya Ukraine kwa jinai za kivita ilizofanya dhidi ya raia na watu wasio na hatia wa nchi hiyo.

  • Kamanda: Vikosi vya Jeshi la Iran vinaendelea kuimarika licha ya vikwazo

    Kamanda: Vikosi vya Jeshi la Iran vinaendelea kuimarika licha ya vikwazo

    Jul 14, 2022 21:58

    Kamanda Mkuu wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Nchi Kavu la Iran amesema vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu vinendelea kuimarika na kupata nguvu zaidi siku baada ya siku, licha ya vikwazo na mashinikizo ya kiuchumi dhidi ya taifa hili.

  • Jumatano tarehe 13 Julai 2022

    Jumatano tarehe 13 Julai 2022

    Jul 13, 2022 01:53

    Leo ni tarehe 13 Dhulhija 1443 Hijria sawa na tarehe 13 Julai 2022.

  • Iran yazindua kituo cha chini ya ardhi cha ndege za kivita zisizo na rubani

    Iran yazindua kituo cha chini ya ardhi cha ndege za kivita zisizo na rubani

    May 28, 2022 23:25

    Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limezindua kituo kipya cha siri kilicho chini ya ardhi chenye idadi kubwa ya ndege za kisasa za kivita zisizo na rubani.

  • Waziri wa Ulinzi wa Yemen: Mustakabali wa kutisha utaziandama nchi vamizi

    Waziri wa Ulinzi wa Yemen: Mustakabali wa kutisha utaziandama nchi vamizi

    Mar 23, 2022 03:18

    Waziri wa Ulinzi wa serikali ya uokovu wa kitaifa ya Yemen amesisitiza kuwa, muundo na sura ya muqawama katika siku zijazo utakuwa wa kutisha kwa nchi vamizi.

  • The Wall Street Journal: Uasi wa kiraia nchini Sudan unachochewa na hali mbaya ya uchumi

    The Wall Street Journal: Uasi wa kiraia nchini Sudan unachochewa na hali mbaya ya uchumi

    Jan 19, 2022 07:57

    Gazeti la Kimarekani la "The Wall Street Journal" limeripoti kuwa uasi wa kiraia ulioanza jana Jumanne nchini Sudan unazidisha mzozo kati ya waandamanaji na majenerali wa jeshi la nchi hiyo.

  • Kamanda: Adui hawezi kustahamili gharama za makabiliano na Iran

    Kamanda: Adui hawezi kustahamili gharama za makabiliano na Iran

    Dec 29, 2021 01:02

    Kamanda mwandamizi wa kijeshi nchini Iran amewashauri maadui wasithubutu kupima uwezo wa kijeshi wa Iran kwa kufanya chokochoko kwani hawataweza kustahamili gharama za vita vya pande zote na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Iraq: Tarehe ya kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini haibadilishiki

    Iraq: Tarehe ya kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini haibadilishiki

    Nov 27, 2021 23:20

    Msemaji wa Komandi ya Operesheni za Pamoja ya Iraq amesema kuwa, wakati wa kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini humo haibadilishiki.

  • Marekani yaendeleza njama za umwagaji damu ili kuhakikisha haitimuliwi nchini Iraq

    Marekani yaendeleza njama za umwagaji damu ili kuhakikisha haitimuliwi nchini Iraq

    Nov 25, 2021 23:18

    Makundi ya kisisa nchini Iraq yamesema kuwa, Marekani inaendelea kufanya njama za kuchochea machafuko na umwagaji damu nchini Iraq ili kujiwekea kinga ya kutotimuliwa nchini humo.

  • Jeshi la Iraq lakanusha: Muda wa kuwepo kijeshi Marekani haujarefushwa

    Jeshi la Iraq lakanusha: Muda wa kuwepo kijeshi Marekani haujarefushwa

    Nov 20, 2021 08:51

    Msemaji wa kamandi ya operesheni za pamoja za Iraq amesema muda wa kuwepo wanajeshi wa Marekani nchini humo haujarefushwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS