Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • Shahram: Iran iko mstari wa mbele kustawisha amani, urafiki kimataifa

    Shahram: Iran iko mstari wa mbele kustawisha amani, urafiki kimataifa

    Sep 05, 2021 02:45

    Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Admeri Shahram Irani anasema Jamhuri ya Kiislamu iko mstari wa mbele katika kampeni ya kuanzisha na kukuza amani na urafiki wa kimataifa.

  • Hizbullah Iraq: Wanajeshi wa Marekani wanapaswa kuondoka kwenye ardhi ya Iraq, la sivyo watashambuliwa

    Hizbullah Iraq: Wanajeshi wa Marekani wanapaswa kuondoka kwenye ardhi ya Iraq, la sivyo watashambuliwa

    Jul 24, 2021 11:55

    Afisa usalama wa Batalioni ya Hizbullah nchini Iraq ametangaza kuwa, iwapo wanajeshi wa Marekani hawataondoka nchini Iraq, makundi ya mapambano yataendelea kutekeleza mashambulizi dhidi ya wavamizi hao.

  • Wamarekani waendelea kuiba mafuta na maliasili ya Syria

    Wamarekani waendelea kuiba mafuta na maliasili ya Syria

    Jul 04, 2021 02:36

    Wanajeshi vamizi na maharamia wa Marekani wanaendelea kuiba mafuta ya nchi ya Syria waliyoivamia kinyume cha sheria na kuhamisha nishati hiyo nje ya mipaka ya Syria kupitia kaskazini mwa Iraq.

  • Hamas: Israel imeshambulia tena Ghaza ili kunyanyua mori wa wanajeshi wake

    Hamas: Israel imeshambulia tena Ghaza ili kunyanyua mori wa wanajeshi wake

    Jun 18, 2021 12:31

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa, shambulio la jana la ndege za utawala wa Kizayuni dhidi ya kambi za muqawama katika Ukanda wa Ghaza ni chokochoko mpya za Israel zilizolenga kunyanyua mori wa wanajeshi wake waliopata kipigo katika mapigano ya hivi karibuni ya siku 12 ya Ukanda wa Ghaza maarufu kwa jina la vita vya "Upanga wa Quds."

  • Jeshi la Ufaransa lawataka wanajeshi walioandika barua ya kutokea mapinduzi wajiuzulu

    Jeshi la Ufaransa lawataka wanajeshi walioandika barua ya kutokea mapinduzi wajiuzulu

    May 12, 2021 11:08

    Mkuu wa Majeshi ya Ufaransa amewataka wanajeshi waliosaini barua inayotahadharisha kuhusu hatari ya kutokea vita vya ndani nchini humo wajiuzulu kutoka kwenye jeshi la nchi hiyo.

  • Jeshi la DRC laua wanamgambo 16 kaskazini mwa nchi

    Jeshi la DRC laua wanamgambo 16 kaskazini mwa nchi

    Mar 02, 2021 03:15

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limetangaza habari ya kuua wanamgambo 16 katika makabiliano makali baina ya pande mbili hizo huko kaskazini mashariki mwa nchi.

  • Marekani yazidi kujiimarisha kijeshi nchini Syria

    Marekani yazidi kujiimarisha kijeshi nchini Syria

    Mar 01, 2021 06:50

    Duru mbalimbali za Syria zimetangaza habari ya kuzidi wanajeshi magaidi wa Marekani, kujiimarisha ndani ya ardhi ya Syria. Duru hizo zimesema, msafara mwingine wa wanajeshi magaidi wa Marekani umevuka Iraq na kujizatiti katika viunga vya al Hasakah, huko kaskazini mashariki mwa Syria.

  • Malaki wameuawa katika operesheni za kijeshi za Marekani duniani

    Malaki wameuawa katika operesheni za kijeshi za Marekani duniani

    Feb 26, 2021 07:57

    Mamia ya maelfu ya watu wameuawa kutokana na uingiliaji wa kijeshi wa Marekani katika nchi mbalimbali duniani, tangu yalipojiri mashambulizi ya Septemba 11.

  • Admeri Sayyari: Adui anaogopa uwezo wa kujihami wa Iran

    Admeri Sayyari: Adui anaogopa uwezo wa kujihami wa Iran

    Feb 21, 2021 07:49

    Naibu Mratibu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema adui anatiwa hofu na uwezo mkubwa wa kiulinzi wa taifa hili akifahamu fika kuwa, iwapo atajaribu kufanya kosa lolote, basi atakabiliwa kwa jibu kali.

  • Admeri Khanzadi: India itajiunga na mazoezi mseto ya kijeshi ya Iran na Russia katika Bahari ya Hindi

    Admeri Khanzadi: India itajiunga na mazoezi mseto ya kijeshi ya Iran na Russia katika Bahari ya Hindi

    Feb 17, 2021 02:26

    Kamanda wa Jeshi Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema lengo kuu la mazoezi mseto ya usalama wa baharini katika eneo la kaskazini mwa Bahari ya Hindi ni kufikia usalama jumla kieneo. Aidha ameongeza kuwa, Jeshi la Majini la India sasa litajiunga na majeshi ya majini ya Iran na Russia katika mazoezi hayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS