Mar 01, 2021 06:50
Duru mbalimbali za Syria zimetangaza habari ya kuzidi wanajeshi magaidi wa Marekani, kujiimarisha ndani ya ardhi ya Syria. Duru hizo zimesema, msafara mwingine wa wanajeshi magaidi wa Marekani umevuka Iraq na kujizatiti katika viunga vya al Hasakah, huko kaskazini mashariki mwa Syria.