-
Shahram: Iran iko mstari wa mbele kustawisha amani, urafiki kimataifa
Sep 05, 2021 02:45Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Admeri Shahram Irani anasema Jamhuri ya Kiislamu iko mstari wa mbele katika kampeni ya kuanzisha na kukuza amani na urafiki wa kimataifa.
-
Hizbullah Iraq: Wanajeshi wa Marekani wanapaswa kuondoka kwenye ardhi ya Iraq, la sivyo watashambuliwa
Jul 24, 2021 11:55Afisa usalama wa Batalioni ya Hizbullah nchini Iraq ametangaza kuwa, iwapo wanajeshi wa Marekani hawataondoka nchini Iraq, makundi ya mapambano yataendelea kutekeleza mashambulizi dhidi ya wavamizi hao.
-
Wamarekani waendelea kuiba mafuta na maliasili ya Syria
Jul 04, 2021 02:36Wanajeshi vamizi na maharamia wa Marekani wanaendelea kuiba mafuta ya nchi ya Syria waliyoivamia kinyume cha sheria na kuhamisha nishati hiyo nje ya mipaka ya Syria kupitia kaskazini mwa Iraq.
-
Hamas: Israel imeshambulia tena Ghaza ili kunyanyua mori wa wanajeshi wake
Jun 18, 2021 12:31Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa, shambulio la jana la ndege za utawala wa Kizayuni dhidi ya kambi za muqawama katika Ukanda wa Ghaza ni chokochoko mpya za Israel zilizolenga kunyanyua mori wa wanajeshi wake waliopata kipigo katika mapigano ya hivi karibuni ya siku 12 ya Ukanda wa Ghaza maarufu kwa jina la vita vya "Upanga wa Quds."
-
Jeshi la Ufaransa lawataka wanajeshi walioandika barua ya kutokea mapinduzi wajiuzulu
May 12, 2021 11:08Mkuu wa Majeshi ya Ufaransa amewataka wanajeshi waliosaini barua inayotahadharisha kuhusu hatari ya kutokea vita vya ndani nchini humo wajiuzulu kutoka kwenye jeshi la nchi hiyo.
-
Jeshi la DRC laua wanamgambo 16 kaskazini mwa nchi
Mar 02, 2021 03:15Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limetangaza habari ya kuua wanamgambo 16 katika makabiliano makali baina ya pande mbili hizo huko kaskazini mashariki mwa nchi.
-
Marekani yazidi kujiimarisha kijeshi nchini Syria
Mar 01, 2021 06:50Duru mbalimbali za Syria zimetangaza habari ya kuzidi wanajeshi magaidi wa Marekani, kujiimarisha ndani ya ardhi ya Syria. Duru hizo zimesema, msafara mwingine wa wanajeshi magaidi wa Marekani umevuka Iraq na kujizatiti katika viunga vya al Hasakah, huko kaskazini mashariki mwa Syria.
-
Malaki wameuawa katika operesheni za kijeshi za Marekani duniani
Feb 26, 2021 07:57Mamia ya maelfu ya watu wameuawa kutokana na uingiliaji wa kijeshi wa Marekani katika nchi mbalimbali duniani, tangu yalipojiri mashambulizi ya Septemba 11.
-
Admeri Sayyari: Adui anaogopa uwezo wa kujihami wa Iran
Feb 21, 2021 07:49Naibu Mratibu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema adui anatiwa hofu na uwezo mkubwa wa kiulinzi wa taifa hili akifahamu fika kuwa, iwapo atajaribu kufanya kosa lolote, basi atakabiliwa kwa jibu kali.
-
Admeri Khanzadi: India itajiunga na mazoezi mseto ya kijeshi ya Iran na Russia katika Bahari ya Hindi
Feb 17, 2021 02:26Kamanda wa Jeshi Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema lengo kuu la mazoezi mseto ya usalama wa baharini katika eneo la kaskazini mwa Bahari ya Hindi ni kufikia usalama jumla kieneo. Aidha ameongeza kuwa, Jeshi la Majini la India sasa litajiunga na majeshi ya majini ya Iran na Russia katika mazoezi hayo.