-
Marekani yazidi kujiimarisha kijeshi nchini Syria
Mar 01, 2021 06:50Duru mbalimbali za Syria zimetangaza habari ya kuzidi wanajeshi magaidi wa Marekani, kujiimarisha ndani ya ardhi ya Syria. Duru hizo zimesema, msafara mwingine wa wanajeshi magaidi wa Marekani umevuka Iraq na kujizatiti katika viunga vya al Hasakah, huko kaskazini mashariki mwa Syria.
-
Malaki wameuawa katika operesheni za kijeshi za Marekani duniani
Feb 26, 2021 07:57Mamia ya maelfu ya watu wameuawa kutokana na uingiliaji wa kijeshi wa Marekani katika nchi mbalimbali duniani, tangu yalipojiri mashambulizi ya Septemba 11.
-
Admeri Sayyari: Adui anaogopa uwezo wa kujihami wa Iran
Feb 21, 2021 07:49Naibu Mratibu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema adui anatiwa hofu na uwezo mkubwa wa kiulinzi wa taifa hili akifahamu fika kuwa, iwapo atajaribu kufanya kosa lolote, basi atakabiliwa kwa jibu kali.
-
Admeri Khanzadi: India itajiunga na mazoezi mseto ya kijeshi ya Iran na Russia katika Bahari ya Hindi
Feb 17, 2021 02:26Kamanda wa Jeshi Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema lengo kuu la mazoezi mseto ya usalama wa baharini katika eneo la kaskazini mwa Bahari ya Hindi ni kufikia usalama jumla kieneo. Aidha ameongeza kuwa, Jeshi la Majini la India sasa litajiunga na majeshi ya majini ya Iran na Russia katika mazoezi hayo.
-
Meli kubwa zaidi ya kivita iliyoundwa Iran yazinduliwa rasmi
Jan 13, 2021 08:08Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo limepokea meli yake kubwa zaidi ya kivita ambayo imeundwa nchini Iran. Meli hiyo kubwa ya kivita ambayo imeundwa kikamlifu na wataalamu wa Iran ina uwezo wa kusheheni helikopta kadhaa kwa ajili ya oparehseni muhimu za baharini.
-
Majeshi ya Yemen: Tutaendelea kupambana na wavamizi hadi ushindi wa mwisho
Jan 11, 2021 00:41Msemaji wa Majeshi ya Yemen amesisitiza kuwa wapiganaji wa nchi hiyo wataendelea kupambana na wavamizi hadi ushindi wa mwisho utakapopatikana.
-
Misafara mitatu ya jeshi la kigaidi la Marekani yashambuliwa nchini Iraq
Dec 26, 2020 02:41Duru za kiusalama nchini Iraq zimeripoti kuwa misafara mingine mitatu ya jeshi la kigaidi la Marekani imeshambuliwa katika maeneo ya Dhi Qar, Diwaniya na Babil.
-
Harakati ya Polisario yashambulia ngome za jeshi la Morocco
Nov 28, 2020 04:40Harakati ya Polisario imezishambulia ngome za Morocco katika eneo la Karkarat kusini mwa Sahaha Magharibi.
-
Baada ya kuzingirwa kila upande, wanajeshi wa Uturuki waondoka kwenye kambi nyingine nchini Syria
Nov 08, 2020 11:28Duru mbalimbali za habari zimetangaza kuwa, wanajeshi wa Uturuki wameondoka katika kambi nyingine ya viunga vya kusini mwa mji wa Idlib wa magharibi mwa Syria na kukimbilia katika maeneo mengine yanayodhibitiwa na waasi wa nchi hiyo.
-
Iran yatuma zana za kivita katika mpaka wa magharibi mwa nchi
Nov 06, 2020 10:39Jeshi la nchi kavu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetuma zana za kivita na wanajeshi katika ukanda wa mpaka wa Iran na Armenia na Jamhuri ya Azerbaijan.