Aug 21, 2020 00:09
Katika kuadhimisha Siku ya Sekta ya Ulinzi ya Iran tarehe 31 mwezi Mordad inayosadifiana na Ijumaa ya leo tarehe 21 Agosti, Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetoa taarifa likisisitiza kuwa: Uwezo wa kiulinzi wa Iran umekuwa nemboya kushindwa siasa za maadui wa Mapinduzi ya Kiislamu kutokana na jitihada za wataalamu na wanamapinduzi hapa nchini.