Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • Baada ya kuzingirwa kila upande, wanajeshi wa Uturuki waondoka kwenye kambi nyingine nchini Syria

    Baada ya kuzingirwa kila upande, wanajeshi wa Uturuki waondoka kwenye kambi nyingine nchini Syria

    Nov 08, 2020 07:58

    Duru mbalimbali za habari zimetangaza kuwa, wanajeshi wa Uturuki wameondoka katika kambi nyingine ya viunga vya kusini mwa mji wa Idlib wa magharibi mwa Syria na kukimbilia katika maeneo mengine yanayodhibitiwa na waasi wa nchi hiyo.

  • Iran yatuma zana za kivita  katika mpaka wa magharibi mwa nchi

    Iran yatuma zana za kivita katika mpaka wa magharibi mwa nchi

    Nov 06, 2020 07:09

    Jeshi la nchi kavu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetuma zana za kivita na wanajeshi katika ukanda wa mpaka wa Iran na Armenia na Jamhuri ya Azerbaijan.

  • Magaidi 5 wa Daesh watiwa mbaroni katika mkoa wa Salahuddin Iraq

    Magaidi 5 wa Daesh watiwa mbaroni katika mkoa wa Salahuddin Iraq

    Oct 20, 2020 08:41

    Askari jeshi wa Iraq wamewatia mbarono magaidi watano wa kundi la kitakfiri la Daesh katika oparesheni waliyoifanya katika mkoa wa Salahuddin nchini humo.

  • Umoja wa Afrika warejesha uanachama wa Mali baada ya ECOWAS kufuta vikwazo

    Umoja wa Afrika warejesha uanachama wa Mali baada ya ECOWAS kufuta vikwazo

    Oct 09, 2020 09:09

    Umoja wa Afrika Ijumaa ya leo umetangaza kurejesha uanachama wa nchi ya magharibi mwa Afrika ya Mali uliosimamishwa baada ya wanajeshi wa nchi hiyo kuiondoa madarakani serikali halali ya nchi hiyo mwezi Agosti mwaka huu.

  • Marekani yaendelea kupora mafuta ya Syria, malori 30 yahamishiwa Iraq

    Marekani yaendelea kupora mafuta ya Syria, malori 30 yahamishiwa Iraq

    Sep 20, 2020 03:17

    Shirika rasmi la habari la Syria SANA limeripoti kuwa, askari wa jeshi la kigaidi la Marekani wameiba malori 30 ya mafuta ya nchi hiyo na kuyahamishia nchi jirani ya Iraq.

  • Jeshi la Iran: Uwezo wa kiulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ni nembo ya kushindwa siasa za maadui

    Jeshi la Iran: Uwezo wa kiulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ni nembo ya kushindwa siasa za maadui

    Aug 20, 2020 19:39

    Katika kuadhimisha Siku ya Sekta ya Ulinzi ya Iran tarehe 31 mwezi Mordad inayosadifiana na Ijumaa ya leo tarehe 21 Agosti, Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetoa taarifa likisisitiza kuwa: Uwezo wa kiulinzi wa Iran umekuwa nemboya kushindwa siasa za maadui wa Mapinduzi ya Kiislamu kutokana na jitihada za wataalamu na wanamapinduzi hapa nchini.

  • Iran inaweza kujikidhia asilimia 90 ya mahitaji yake ya kijeshi

    Iran inaweza kujikidhia asilimia 90 ya mahitaji yake ya kijeshi

    Aug 16, 2020 03:18

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi hii inaweza kujikidhia asilimia 90 ya mahitajio yake ya kiulinzi kwa kiwango cha juu.

  • Tathmini ya utendaji wa jeshi la Syria katika kupambana na ugaidi kwa mnasaba wa kuadhimisha siku ya kuasisiwa kwake

    Tathmini ya utendaji wa jeshi la Syria katika kupambana na ugaidi kwa mnasaba wa kuadhimisha siku ya kuasisiwa kwake

    Aug 02, 2020 02:06

    Kwa mnasaba wa kutimia mwaka wa 75 wa kuasisiwa jeshi la Syria, Rais Bashar al Assad amelisifu na kulipongeza jeshi hilo kwa mchango wake katika vipindi tofauti vya vita dhidi ya ugaidi na kuendelea kwake kuwalinda watu wa nchi hiyo.

  • Jeshi la utawala wa Kizayuni lafuta mazoezi ya kijeshi likihofia kushambuliwa na Hizbullah

    Jeshi la utawala wa Kizayuni lafuta mazoezi ya kijeshi likihofia kushambuliwa na Hizbullah

    Jul 23, 2020 03:34

    Duru za habari za utawala wa Kizayuni zimetangaza kuwa wanajeshi wa Israel wamefuta mazoezi waliyopanga kufanya wakihofia kushambuliwa na harakati ya Hizbullah ya Lebanon.

  • Syria yawakamata magaidi wanaofungamana na Marekani

    Syria yawakamata magaidi wanaofungamana na Marekani

    Jul 07, 2020 22:33

    Jeshi la Syria limetangaza kutekeleza oparesheni ambayo imepelekea kukamatwa wanachama wa kundi la kigaidi ambalo linafungamana na Marekani mashariki mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS