Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • Matukio ya Yemen

    Matukio ya Yemen

    Apr 01, 2016 12:24

    Jinai za muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia zimeendelea nchini Yemen kufuatia ndege za kivita za Saudia kushambulia maeneo ya makazi ya raia kusini mwa nchi hiyo.

  • Rais Assad alipongeza jeshi la Syria kwa kuukomboa mji wa Palmyra

    Rais Assad alipongeza jeshi la Syria kwa kuukomboa mji wa Palmyra

    Mar 27, 2016 10:04

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amelipongeza jeshi la nchi hiyo kwa kuukomboa mji wa kihistoria wa Palmyra kutoka mikononi mwa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.

  • Jitihada za jeshi la Uganda za kutuliza hali ya mambo Bundibugyo

    Jitihada za jeshi la Uganda za kutuliza hali ya mambo Bundibugyo

    Mar 27, 2016 06:00

    Jeshi la polisi nchini Uganda limechukua hatua madhubuti za kurejesha hali ya usalama magharibi mwa nchi hiyo

  • Al-Shabaab: Tumeua wanajeshi 73 wa Somalia, Lower Shabelle

    Al-Shabaab: Tumeua wanajeshi 73 wa Somalia, Lower Shabelle

    Mar 21, 2016 11:45

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limedai kuwaua askari 73 wa jeshi la taifa la Somalia, katika makabiliano makali yaliyotokea jana huko Shabelle ya Chini, yapata kilomita 60 kusini mwa mji mkuu, Mogadishu.

  • Jeshi la Kenya laua magaidi 34 wa al-Shabab Somalia-MPYA UPDATE 2

    Jeshi la Kenya laua magaidi 34 wa al-Shabab Somalia-MPYA UPDATE 2

    Mar 20, 2016 12:22

    Jeshi la Kenya limewaangamiza magaidi 21 wa kundi la kitakfiri la al Shabab kufuatia mapigano makali katika nchi jirani ya Somalia.

  • Sudan Kusini yaondoa majeshi yake katika mpaka na jirani yake Sudan

    Sudan Kusini yaondoa majeshi yake katika mpaka na jirani yake Sudan

    Mar 19, 2016 13:18

    Serikali ya Sudan Kusini imetangaza kuwa, imetekeleza amri ya kuondoa vikosi vyake vya jeshi katika mpaka wa nchi hiyo na jirani yake, Sudan.

  • Tunisia yaangamizi Madaesh wengine 5 karibu na mpaka na Libya

    Tunisia yaangamizi Madaesh wengine 5 karibu na mpaka na Libya

    Mar 09, 2016 04:26

    Jeshi la Tunisia limesema kuwa limefanikiwa kuangamiza wanamgambo wengine watano wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh karibu na mpaka wa nchi hiyo na Libya.

  • Manowari za Jeshi la Iran zatia nanga bandari ya Dar es Salaam, Tanzania

    Manowari za Jeshi la Iran zatia nanga bandari ya Dar es Salaam, Tanzania

    Mar 01, 2016 12:16

    Manowari ndogo kadhaa za jeshi la wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zilizobeba ujumbe wa amani na urafiki zimetia nanga katika bandari ya mji mkuu wa Tanzania, Dar es Salaam.

  • Kukithiri vitendo vya ngono na ubadhirifu wa fedha katika jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel

    Kukithiri vitendo vya ngono na ubadhirifu wa fedha katika jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel

    Feb 29, 2016 22:07

    Mahakama ya Kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israekl imeafiki kutoleta taarifa zaidi kuhusiana na faili la vitendo vya ngono na ufisadi wa fedha katika jeshi la utawala huo ghasibu.

  • Jeshi la Nigeria laanzisha operesheni kali dhidi ya Boko Haram

    Jeshi la Nigeria laanzisha operesheni kali dhidi ya Boko Haram

    Feb 26, 2016 04:18

    Jeshi la Nigeria limeanzisha operesheni kali dhidi ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la Boko Haram, ambayo ina lengo la kuwasambaratisha wanachama wa kundi hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS