Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai

  • Jumapili, 15 Juni, 2025

    Jumapili, 15 Juni, 2025

    Jun 15, 2025 02:16

    Leo ni Jumapili 19 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1446 Hijria sawa na 15 Juni 2025 Miladia.

  • Rais wa China ayataka majeshi yajizatiti zaidi katika kujiweka tayari kwa vita

    Rais wa China ayataka majeshi yajizatiti zaidi katika kujiweka tayari kwa vita

    Oct 20, 2024 02:46

    Rais Xi Jinping wa China ametoa wito kwa majeshi ya nchi hiyo kujizatiti zaidi katika kujiweka tayari kwa vita, siku chache baada ya Beijing kufanya mazoezi makubwa ya kijeshi kuzunguka kisiwa chaTaiwan.

  • Iran yazitaka nchi za Shanghai kuwa jadi dhidi ya jinai za Israel na ugaidi wa kiuchumi wa Marekani

    Iran yazitaka nchi za Shanghai kuwa jadi dhidi ya jinai za Israel na ugaidi wa kiuchumi wa Marekani

    Oct 17, 2024 02:54

    Mkuu wa ujumbe wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Mkutano wa Jumuiya ya ushirikiano ya Shanghai (SCO) huko Pakistan ameitaka jumuiya hiyo kuwa jadi na kuchukua hatua madhubuti dhidi ya chokochoko za utawala wa Kizayuni na ugaidi wa kiuchumi wa Marekani. Amezitaka nchi wanachama wa Shanghai kuchukua hatua za kivitendo ili kukabiliana na vikwazo vya kibiashara vya pande zote.

  • Jumamosi, 15 Juni, 2024

    Jumamosi, 15 Juni, 2024

    Jun 18, 2024 10:33

    Leo ni Jumamosi 8 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1445 Hijria mwafaka na 15 Juni 2024 Miladia.

  • Mahudhurio ya kwanza rasmi ya Iran katika kikao cha Baraza la Kupambana na Ugaidi la Shanghai; hatua muhimu ya ushirikiano wa kiusalama nje ya mipaka

    Mahudhurio ya kwanza rasmi ya Iran katika kikao cha Baraza la Kupambana na Ugaidi la Shanghai; hatua muhimu ya ushirikiano wa kiusalama nje ya mipaka

    Sep 10, 2023 07:56

    Kufuatia uanachama kamili wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai, ujumbe kutoka Iran umeshiriki kwa mara ya kwanza katika mkutano wa 40 wa Baraza la Muundo wa Kieneo wa Kupambana na Ugaidi la jumuiya hiyo.

  • Rais Raisi: Jumuiya ya Shanghai ina nafasi ya kipekee katika kustawisha mashirikiano

    Rais Raisi: Jumuiya ya Shanghai ina nafasi ya kipekee katika kustawisha mashirikiano

    Jul 04, 2023 11:46

    Rais Ebrahim Raisi amesema Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai ina nafasi ya kipekee katika kustawisha mchakato wa kupanua mashirikiano ya kisiasa, kiusalama na kiuchumi.

  • Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhutubia Mkutano wa Wakuu Jumuiya ya Shanghai

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhutubia Mkutano wa Wakuu Jumuiya ya Shanghai

    Jul 04, 2023 04:35

    Rais wa Iran ambaye ni miongoni mwa wanachama wakuu wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai na Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran atahutubia Mkutano wa 23 wa Wakuu wa jumuiya hiyo utakaofanyika kwa njia ya intaneti huko New Delhi.

  • Azma ya Tunisia ya kujiunga na Jumuiya Ushirikiano ya Shanghai (SCO)

    Azma ya Tunisia ya kujiunga na Jumuiya Ushirikiano ya Shanghai (SCO)

    Apr 09, 2023 08:00

    Msemaji wa chama cha Harakati ya Julai 25 chenye mfungamano na Rais wa Tunisia amesema kuwa nchi hiyo inajipanga kujiunga na Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO).

  • Hatua ya kwanza ya Saudi Arabia kujiunga na Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai

    Hatua ya kwanza ya Saudi Arabia kujiunga na Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai

    Apr 01, 2023 13:48

    Baraza la Mawaziri la Saudi Arabia limeidhinisha uamuzi wa serikali ya nchi hiyo kujiunga na Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai.

  • Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Shanghai afanya mazungumzo na Rais wa Iran

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Shanghai afanya mazungumzo na Rais wa Iran

    Sep 15, 2022 11:02

    Zhang Ming Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai leo Alhamisi amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mji wa Samarkand.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS