Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai

  • Viongozi wa Jumuiya ya Shanghai walaani vikali vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran

    Viongozi wa Jumuiya ya Shanghai walaani vikali vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran

    Sep 02, 2026 02:51

    Wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) wamelaani vikali vita vya kichokozi vya Marekani pamoja na utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kupitia azimio lao la pamoja, wakionya kwamba jinai na chokochoko hizo zinaweka amani na usalama wa kimataifa katika hatari kubwa mno.

  • Waziri Mkuu wa Pakistan: Uvamizi dhidi ya Iran ndio sababu kuu ya mgogoro wa kikanda

    Waziri Mkuu wa Pakistan: Uvamizi dhidi ya Iran ndio sababu kuu ya mgogoro wa kikanda

    Sep 01, 2026 14:17

    Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif, amesema kuwa ukiukaji wa mamlaka ya kujitawala na ardhi ya Iran mapema mwaka huu umesababisha mgogoro mkubwa wa kikanda, na kusisitiza kuwa diplomasia ndiyo njia pekee endelevu ya kutatua mgogoro huo.

  • Kwa nini Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai inapinga uingiliaji wa kigeni nchini Iran?

    Kwa nini Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai inapinga uingiliaji wa kigeni nchini Iran?

    Jan 16, 2026 22:59

    Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) imetangaza rasmi kupinga uingiliaji wa aina yoyote wa kigeni nchini Iran.

  • Iran: Mhimili wa muungano na uongozi katika ushirikiano wa kupambana na ugaidi katika jumuiya ya SCO

    Iran: Mhimili wa muungano na uongozi katika ushirikiano wa kupambana na ugaidi katika jumuiya ya SCO

    Dec 04, 2025 00:17

    Mazoezi maalumu ya kupambana na ugaidi ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO), "Sahand 2025," yanafanyika katika Kaunti ya Shabestar, Mkoa wa Azerbaijan Mashariki, nchini Iran.

  • Nadharia ya ulimwengu wa kambi kadhaa; mwelekeo huu utaimarishwa katika Mkutano wa Shanghai?

    Nadharia ya ulimwengu wa kambi kadhaa; mwelekeo huu utaimarishwa katika Mkutano wa Shanghai?

    Aug 31, 2025 23:05

    Mkutano wa kilele wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) unaohudhuriwa na viongozi kutoka zaidi ya nchi 20 ulianza jana Jumapili katika mji wa Tianjin wa China.

  • Tume ya Uchaguzi ya Cameroon yamzuia kugombea urais mshindani mkuu wa rais Biya

    Tume ya Uchaguzi ya Cameroon yamzuia kugombea urais mshindani mkuu wa rais Biya

    Jul 27, 2025 06:26

    Tume ya uchaguzi ya Cameroon, ELECAM, imetangaza kuwa mwanasiasa wa upinzani Maurice Kamto amezuiliwa kushiriki katika kinyang'anyiro cha uchaguzi wa urais wa Oktoba 12.

  • Kwa nini uwepo wa Araqchi katika Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai ni muhimu?

    Kwa nini uwepo wa Araqchi katika Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai ni muhimu?

    Jul 15, 2025 03:29

    Seyyed Abbas Araqchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameondoka Tehran kuelekea China akiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa Tehran kwa ajili ya kuhudhuria kikao cha Mawaziri wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai.

  • Jumapili, 15 Juni, 2025

    Jumapili, 15 Juni, 2025

    Jun 14, 2025 22:46

    Leo ni Jumapili 19 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1446 Hijria sawa na 15 Juni 2025 Miladia.

  • Rais wa China ayataka majeshi yajizatiti zaidi katika kujiweka tayari kwa vita

    Rais wa China ayataka majeshi yajizatiti zaidi katika kujiweka tayari kwa vita

    Oct 19, 2024 23:16

    Rais Xi Jinping wa China ametoa wito kwa majeshi ya nchi hiyo kujizatiti zaidi katika kujiweka tayari kwa vita, siku chache baada ya Beijing kufanya mazoezi makubwa ya kijeshi kuzunguka kisiwa chaTaiwan.

  • Iran yazitaka nchi za Shanghai kuwa jadi dhidi ya jinai za Israel na ugaidi wa kiuchumi wa Marekani

    Iran yazitaka nchi za Shanghai kuwa jadi dhidi ya jinai za Israel na ugaidi wa kiuchumi wa Marekani

    Oct 16, 2024 23:24

    Mkuu wa ujumbe wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Mkutano wa Jumuiya ya ushirikiano ya Shanghai (SCO) huko Pakistan ameitaka jumuiya hiyo kuwa jadi na kuchukua hatua madhubuti dhidi ya chokochoko za utawala wa Kizayuni na ugaidi wa kiuchumi wa Marekani. Amezitaka nchi wanachama wa Shanghai kuchukua hatua za kivitendo ili kukabiliana na vikwazo vya kibiashara vya pande zote.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS