-
UNHCR imewarejesha wakimbizi zaidi ya 30,000 wa Somalia kutoka Kenya
Sep 30, 2016 04:26Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR limesema kuanzia mwezi Desemba mwaka 2014 wakimbizi zaidi ya elfu 30 wa Somalia wamerejeshwa kwa hiari katika nchi yao kutoka kambi ya wakimbizi ya Dadaab iliyoko kaskazini mashariki mwa Kenya.
-
SAUTI: Polisi Kenya: Tumemuua gaidi wa ash-Shabab aliyekuwa akisakwa kwa muda mrefu
Sep 28, 2016 12:23Idara ya polisi nchini Kenya imetangaza kumpiga risasi na kumuua mshukiwa mkuu wa ugaidi nchini humo ambaye amekuwa akisakwa kwa muda mrefu na jeshi hilo.
-
Kenya yatangaza azma ya kuangamiza kundi la kigaidi la Al Shabab
Sep 27, 2016 11:38Afisa wa ngazi za juu katika polisi ya Kenya amesema vikosi vyote vya usalama nchini humo vina azma imara ya kuangamiza kundi la kigaidi la Al Shabab.
-
Rais Rouhani asisitiza kuongezwa kiwango cha ushirikiano kati ya Iran na Kenya
Sep 25, 2016 13:04Rais Hassan Rouhani amesema kustawisha na kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika ni miongoni mwa misingi ya siasa za nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
SAUTI: Wakenya wasiokuwa na vitambulisho vya uraia waitisha maandamano makubwa Kenya
Sep 24, 2016 13:52Hatma ya kusajiliwa kwa jamii zisizokuwa na uraia wa taifa la Kenya bado haijafahamika kutokana na kukamilika kwa muda wa usajili wa jamii hizo.
-
SAUTI: Mahojiano maalumu juu ya mazungumzo ya Maspika wa mabunge ya Iran na Kenya
Sep 24, 2016 13:45Maspika wa mabunge ya Iran na Kenya wamesisitzia udharura wa kuimarishwa zaidi uhusiano wa nchi hizo mbili katika pande zote.
-
SAUTI: Wanachama wa kundi la kitakfiri la ash-Shabab wavamia bohari la silaha la kambi ya polisi
Sep 22, 2016 13:43Katika hujuma hiyo wanachama hao wa kigaidi wanadaiwa kutoweka na kiasi kisichojulikana cha risasi na bunduki, sanjari na kumjeruhi vibaya polisi mmoja.
-
Al Shabaab washambulia Kenya, askari polisi wawili hawajulikani waliko
Sep 22, 2016 11:09Askari polisi wawili wa Kenya hawajulikani waliko kufuatia shambulio la kundi la kigaidi na kitakfiri la Al-Shabaab katika kituo cha polisi cha Kaunti ya Garissa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo. Hayo yameelezwa na msemaji wa Polisi ya Kenya George Kinoti.
-
Kenya: Maneva yetu ya kijeshi na Jordan ni kuinua uwezo wetu wa kijeshi
Sep 21, 2016 03:50Wizara ya Ulinzi nchini Kenya imesema kuwa, maneva ya kijeshi kati ya nchi hiyo na Jordan yanafanyika katika fremu ya kuinua uwezo wa nguvu kati ya nchi mbili katika kukabiliana na tishio la usalama.
-
SAUTI: Waislamu Kenya walaani kitendo cha kukamatwa na polisi mke wa Sheikh Aboud Rogo
Sep 16, 2016 23:29Radiamali ya Waislamu nchini Kenya imeendelea kutolewa kutokana na kamatakamata ya polisi ya nchi hiyo katika kuwasaka wanachama wa genge jipya la wanawake wanaoaminika kuwa wafuasi wa kundi la kigaidi la ash-Shabab.