Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Viongozi wa Waislamu Kenya walaani wanawake magaidi waliokuwa wamevaa buibui

    Viongozi wa Waislamu Kenya walaani wanawake magaidi waliokuwa wamevaa buibui

    Sep 13, 2016 02:29

    Viongozi wa Waislamu nchini Kenya wamewakana na kuwalaani wanawake watatu waliotekeleza hujuma ya kigaidi dhidi ya kituo cha polisi mjini Mombasa siku ya Jumapili.

  • Polisi Mombasa yazima shambulio la kigaidi, wanawake watatu wauawa

    Polisi Mombasa yazima shambulio la kigaidi, wanawake watatu wauawa

    Sep 11, 2016 09:36

    Polisi ya Mombasa Kenya imetibua shambulio la kigaidi na kuwauwa wanawake watatu waliotaka kutekeleza shambulio hilo katika makao makuu ya polisi mjini humo.

  • Ushindi kwa wanafunzi Waislamu Kenya baada ya mahakama kuruhusu Hijabu shuleni

    Ushindi kwa wanafunzi Waislamu Kenya baada ya mahakama kuruhusu Hijabu shuleni

    Sep 09, 2016 10:18

    Waislamu nchini Kenya wamepata ushindi baada ya Mahakama ya Rufaa nchini humo kuamuru kwamba, wasichana wa Kiislamu nchini humo wanaruhusiwa kuvaa vazi la stara ya mwanamke wa Kiislamu Hijabu.

  • Watuhumiwa saba wa ugaidi watiwa nguvuni Isiolo, Kenya

    Watuhumiwa saba wa ugaidi watiwa nguvuni Isiolo, Kenya

    Sep 06, 2016 23:46

    Jeshi la Polisi mjini Isiolo nchini Kenya linaendelea kuwasaili watu saba wanaoshikiliwa na jeshi hilo tangu wiki mbili zilizopita kwa tuhuma za kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la ash Shabab.

  • Kiongozi wa kanisa Kenya: Wanasiasa wanalifanyia siasa baa la njaa nchini

    Kiongozi wa kanisa Kenya: Wanasiasa wanalifanyia siasa baa la njaa nchini

    Aug 30, 2016 00:00

    Askofu wa Kanisa la Anglikana katika jimbo la Mombasa nchini Kenya Julius Kalu, amewakosoa vikali wanasiasa wa Pwani kwa kulifanyia siasa baa la njaa, ambalo limeathiri pakubwa baadhi ya maeneo ya eneo hilo.

  • Katibu mkuu wa kamati ya olimpiki nchini Kenya atiwa mbaroni kwa ufisadi

    Katibu mkuu wa kamati ya olimpiki nchini Kenya atiwa mbaroni kwa ufisadi

    Aug 27, 2016 02:56

    Duru za usalama nchini Kenya zimeripoti kutiwa mbaroni Katibu Mkuu wa Kamati ya Kitaifa ya Olimpiki nchini humo.

  • Kenya yatathmini kutuma wanajeshi Sudan Kusini

    Kenya yatathmini kutuma wanajeshi Sudan Kusini

    Aug 18, 2016 22:22

    Bunge la Kenya linatazamiwa kujadili hoja ya iwapo serikali ya Nairobi itatuma wanajeshi wa nchi hiyo KDF nchini Sudan Kusini au la, wiki moja baada ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupasisha azimio la kutumwa askari 4,000 zaidi nchini humo.

  • Deng Gai: Machar ndiye anayekwamisha mchakato wa amani S/Kusini

    Deng Gai: Machar ndiye anayekwamisha mchakato wa amani S/Kusini

    Aug 17, 2016 09:25

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini, Taban Deng Gai amemlaumu mtangulizi wake katika kiti hicho Riek Machar aliyeutoroka mji wa Juba kuwa amevuruga mchakato wa amani na kukiuka makubaliano ya kusitisha machafuko ya miezi kadhaa katika nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

  • Spoti, Agosti 14

    Spoti, Agosti 14

    Aug 15, 2016 03:31

    Hujambo mpenzi msikilizaji na haswa shabiki wa masuala ya spoti na karibu nikupashe kuhusu viwanja na wachezaji ndani ya siku saba zilizopita na haswa habari kutoka Brazil kunakoendelea Olimpiki ya Rio….….karibu……..

  • KDF: Al-Shabaab inawasajili kwa nguvu vijana nchini Kenya

    KDF: Al-Shabaab inawasajili kwa nguvu vijana nchini Kenya

    Aug 03, 2016 03:31

    Jeshi la Ulinzi la Kenya KDF limesema kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab sasa linawalazimisha vijana kujiunga nalo, haswa katika maeneo ya Pwani ya nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS