Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Wanaharakati Kenya wataka haki itendeke baada ya mume kumkata mikono mkewe kwa panga

    Wanaharakati Kenya wataka haki itendeke baada ya mume kumkata mikono mkewe kwa panga

    Aug 02, 2016 11:53

    Wanaharakati wa kutetea haki za wanawake nchini Kenya wametaka nguvu zote za sheria zitumike dhidi ya mume aliyemkata mikono mke wake kwa panga kwa sababu hajamzalia mtoto ili liwe funzo kwa wahusika wengine wa vitendo vya ukatili wa majumbani nchini humo.

  • Shule zaendelea kuchomwa Kenya,  wasiwasi watanda

    Shule zaendelea kuchomwa Kenya, wasiwasi watanda

    Jul 29, 2016 12:33

    Vitendo vya kuchoma moto shule vinavyoshadidi kila uchao huko Kenya vimeitia wasiwasi mkubwa serikali ya nchi hiyo.

  • UNHCR: Maelfu ya wakimbizi wa Kisomali nchini Kenya wamerejea kwao kwa hiari

    UNHCR: Maelfu ya wakimbizi wa Kisomali nchini Kenya wamerejea kwao kwa hiari

    Jul 29, 2016 03:35

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, maelfu ya wakimbizi wa Somalia huko nchini Kenya wamerejea kwao kwa hiari.

  • UN: Wakenya 42,000 walikuwa wakimbizi 'bandia' Dadaab

    UN: Wakenya 42,000 walikuwa wakimbizi 'bandia' Dadaab

    Jul 27, 2016 03:24

    Umoja wa Mataifa unakadiria kuwa, Wakenya 42,000 wamekuwa wakijifanya wakimbizi katika kambi ya Dadaab kwa shabaha ya kufaidika na misaada ya kibinadamu.

  • Ripoti: Uganda yaongoza kwa visa vya uhalifu Afrika Mashariki

    Ripoti: Uganda yaongoza kwa visa vya uhalifu Afrika Mashariki

    Jul 26, 2016 12:25

    Utafiti mpya umefichua kuwa, Uganda ndiyo inayoongoza kwa visa vya uhalifu wa kutumia silaha za moto katika kanda ya Afrika Mashariki.

  • Pasta aliyebaka na kuua nchini Kenya akutwa na hatia

    Pasta aliyebaka na kuua nchini Kenya akutwa na hatia

    Jul 21, 2016 23:33

    Pasta wa kanisa moja la kipendekosti nchini Kenya anasubiria hukumu ya kifo dhidi yake baada ya mahakama ya nchi hiyo hapo jana Alkhamis kumkuta na hatia ya kumuua muumini wake baada ya kumbaka.

  • Shrika la Muhuri: Kenya inakabiliwa na tatizo kubwa la mauaji ya kiholela

    Shrika la Muhuri: Kenya inakabiliwa na tatizo kubwa la mauaji ya kiholela

    Jul 20, 2016 23:56

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Muslims for Human Rights (Muhuri) nchini Kenya, Hassan Abdi Abdille amesema kuwa, wimbi la kutoweka kwa watu na kisha kupatikana baadaye wakiwa wameuawa kikatili, limekuwa sugu na kwamba serikali haijachukua hatua za kisheria kuhusu suala hilo.

  • Iran, Kenya kuimarisha ushirkiano wa kiuchumi

    Iran, Kenya kuimarisha ushirkiano wa kiuchumi

    Jul 19, 2016 23:33

    Waziri wa Uchumi na Fedha wa Iran Ali Tayebnia ameelezea matumaini kuwa, baada ya kuondolewa vizingti vya uhusiano wa kibenki, Kenya na Iran zitaweza kuimarisha uhusiano katika sekta za biashara na viwanda.

  • Usalama waimarishwa zaidi Nairobi Kenya huku mkutano wa UNCTAD ukiendelea

    Usalama waimarishwa zaidi Nairobi Kenya huku mkutano wa UNCTAD ukiendelea

    Jul 18, 2016 09:33

    Usalama umeimarishwa katika mji mkuu wa Kenya Nairobi huku mkutano wa 14 wa Umoja wa Mataifa wa Biashara na Maendeleo (UNCTAD) ukiendelea kufanyika mjini humo.

  • Mkutano wa UNCTAD wafunguliwa Nairobi, Kenya

    Mkutano wa UNCTAD wafunguliwa Nairobi, Kenya

    Jul 18, 2016 00:33

    Mkutano wa 14 Umoja wa Mataifa wa Biashara na Maendeleo (UNCTAD) uliofunguliwa jana na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya mjini Nairobi umeanza kwa kutolewa wito wa kuwepo ushirikiano zaidi kati ya nchi za dunia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS