Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kilimo

  • Ulimaji viazi ulivyobadili sekta ya kilimo nchini Lesotho

    Ulimaji viazi ulivyobadili sekta ya kilimo nchini Lesotho

    Sep 02, 2025 07:40

    Ulimaji viazi nchini Lesotho kusini mwa bara la Afrika unapewa kipaumbele na umekuwa ishara kuu ya mabadiliko katika sekta ya kilimo ya nchi hiyo baada ya kuonekana kama chakula kikuu cha familia.

  • Trump atishia kuzikatia misaada Misri na Jordan na kutaka makubaliano ya kusitisha vita Ghaza yafutwe

    Trump atishia kuzikatia misaada Misri na Jordan na kutaka makubaliano ya kusitisha vita Ghaza yafutwe

    Feb 11, 2025 03:22

    Rais wa Marekani Donald Trump amesema anaweza akafikiria kusitisha msaada kwa Jordan na Misri ikiwa zitakataa kuwapokea Wapalestina, baada ya kutekeleza mpango wake wa kuwahamaisha kwa nguvu wananchi hao katika ardhi yao ya Ukanda wa Ghaza ili kulihodhi na kulimiliki eneo hilo lililowekewa mzingiro.

  •  Ubunifu wa miche ya migomba waleta matumaini kwa wakulima wa ndizi Tanzania

    Ubunifu wa miche ya migomba waleta matumaini kwa wakulima wa ndizi Tanzania

    Jul 12, 2024 03:07

    Wiki iliyopita, banda la Chuo Kikuu cha Mzumbe katika Maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya jijini Dar es Salaam lilikuwa na msongamano wa watu.

  • Iran na nchi za Afrika zaunda kamati ya ushirikiano katika sekta ya kilimo

    Iran na nchi za Afrika zaunda kamati ya ushirikiano katika sekta ya kilimo

    Apr 29, 2024 23:19

    Wizara ya Jihadi ya Kilimo ya Iran imetangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu na nchi za Afrika zimekubaliana kuunda kamati ya ushirikiano wa pamoja katika sekta ya kilimo.

  • Mamilioni ya hekta za ardhi ya kilimo Marekani zachafuliwa na mada za sumu

    Mamilioni ya hekta za ardhi ya kilimo Marekani zachafuliwa na mada za sumu

    May 08, 2023 21:53

    Watafiti wa Kimarekani wametahadharisha kuhusu uchafuzi wa mamilioni ya hekta za ardhi ya kilimo zilizoharibiwa na mada za sumu nchini humo.

  • Mapinduzi ya Kiislamu na matunda yake ya kiuchumi (2)

    Mapinduzi ya Kiislamu na matunda yake ya kiuchumi (2)

    Feb 06, 2023 07:50

    Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi na karibuni katika sehemu hii nyingine ya mfululizo wa makala zetu maalumu tulizokuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa 44 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran. Leo tutaendelea kuzungumzia matunda ya kiuchumi ya mapinduzi hayo matukufu tukiwa na matumaini mtakuwa nasi hawi mwisho wa kipindi.

  • Wafadhili waahidi dola bilioni 30 kwa ajili ya kilimo barani Afrika

    Wafadhili waahidi dola bilioni 30 kwa ajili ya kilimo barani Afrika

    Jan 28, 2023 08:19

    Washirika wa maendeleo wa Afrika wameahidi kutoa dola bilioni 30 kwa maendeleo ya kilimo na uhuru wa chakula kwa bara hilo katika miaka mitano ijayo.

  • Nusu ya watu bilioni moja wa nchi za eneo ni wateja wa mazao ya kilimo ya Iran

    Nusu ya watu bilioni moja wa nchi za eneo ni wateja wa mazao ya kilimo ya Iran

    Jan 01, 2023 08:54

    Mkuu wa Kamisheni ya Kilimo, Maji, Maliasili na Mazingira katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa zaidi ya watu milioni 500 katika nchi za kanda hii na jirani zake wanataka kunufaika na bidhaa za kilimo za Iran.

  • Mafuta ya Iran yafufua sekta ya kilimo nchini Lebanon

    Mafuta ya Iran yafufua sekta ya kilimo nchini Lebanon

    Sep 24, 2021 23:04

    Mafuta ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yanayoendelea kutumwa nchini Lebanon yamefanikiwa kufufua sekta ya kilimo katika maeneo ya kusini mwa nchi hiyo na shughuli za kilimo za wakazi wa maeneo hayo zimeanza kunawiri tena.

  • Watoto milioni 108  duniani wanashiriki kazi zinazohatarisha afya na usalama wao

    Watoto milioni 108 duniani wanashiriki kazi zinazohatarisha afya na usalama wao

    Jun 12, 2018 22:11

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo Duniani limesema baaada ya miaka mingi ya kupungua, sasa ajira ya watoto katika kilimo imeanza kuongezeka tena ikichochewa na migogoro na majanga yanayotokana na mabadiliko ya tabia nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS