Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kimbunga cha al Aqsa

  • Meja Jenerali Bagheri: Jibu la Israel kwa Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa ni mauaji ya watu wasio na hatia

    Meja Jenerali Bagheri: Jibu la Israel kwa Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa ni mauaji ya watu wasio na hatia

    Mar 30, 2024 02:28

    Mkuu wa Majeshi ya Iran amesema kuwa, jibu la utawala wa Kizayuni wa Israel kwa Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa ni kuwaua tu watu wasio na hatia, wakiwemo wanawake na watoto, kuharibu hospitali na kusababisha njaa.

  • Safari ya pili ya Haniyeh mjini Tehran baada ya operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa

    Safari ya pili ya Haniyeh mjini Tehran baada ya operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa

    Mar 27, 2024 06:27

    Ismail Haniyeh, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Hamas, aliwasili Jumanne ya jana mjini Tehran ikiwa ni safari yake ya pili baada ya operesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.

  • Hujjatul-Islam Ali Akbari: Maadui wasubiri operesheni zijazo za Kimbunga cha al-Aqsa

    Hujjatul-Islam Ali Akbari: Maadui wasubiri operesheni zijazo za Kimbunga cha al-Aqsa

    Mar 22, 2024 11:46

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo hapa mjini Tehran amesema maadui wa Palestina wanapasa kusubiri operesheni ya pili, ya tatu na hata ya nne ya Kimbunga cha al-Aqsa kutoka kwa makundi ya muqawama.

  • Simulizi ya Hamas kuhusu Kimbunga cha Al Aqsa

    Simulizi ya Hamas kuhusu Kimbunga cha Al Aqsa

    Feb 14, 2024 17:33

    Hamjambo na karibuni katika Kipindi chetu wiki hii ambacho kitaangazia simulizi za Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) kuhusu kwa nini Oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa ilitekelezwa.

  • Matokeo ya Kimbunga cha Al-Aqsa ni dhihirisho la kusimama kidete Muqawama na kutengwa Israel

    Matokeo ya Kimbunga cha Al-Aqsa ni dhihirisho la kusimama kidete Muqawama na kutengwa Israel

    Jan 15, 2024 04:31

    Baada ya kupita siku 100 tangu Operesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa ilipoanza, athari za kusimama kidete harakati za mapambano ya ukombozi au muqawama na kuzidi kutengwa utawala wa Kizayuni wa Israel zinazidi kudhihirika katika maoni ya umma duniani.

  • Baada ya kushambuliwa kanisa, Papa Francis asema: Mashambulizi ya Israel huko Ghaza ni ugaidi

    Baada ya kushambuliwa kanisa, Papa Francis asema: Mashambulizi ya Israel huko Ghaza ni ugaidi

    Dec 18, 2023 07:10

    Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani amesema kuwa, mashambulizi ya kikatili yanayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel huko Ghaza ni ugaidi.

  • Video: Hivi ndivyo Ghaza ilivyogeuka kuwa makaburi ya Wazayuni

    Video: Hivi ndivyo Ghaza ilivyogeuka kuwa makaburi ya Wazayuni

    Dec 14, 2023 07:16

    Brigedi za al Qassam Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS zimesambaza mkanda mpya wa video inayoonesha namna Ghaza ilivyogeuka kuwa makaburi ya wanajeshi na zana za kijeshi za Wazayuni wavamizi.

  • Tunawaambiaje wale wanaolaani mapambano ya silaha ya Wapalestina?

    Tunawaambiaje wale wanaolaani mapambano ya silaha ya Wapalestina?

    Dec 12, 2023 10:09

    Hivi inafaa kweli kuwalaumu Wapalestina kwa kuendesha mapambano ya silaha dhidi ya Wazayuni Kama unaamini hivyo, basi anza kwanza kulaani mapambano ya mashujaa kama Nelson Mandela. Lakini pia si shujaa Nelson Mandela tu, bali wako wengi. 

  • Iran: Operesheni ya Kimbunga cha al Aqsa imeisambaratisha Israel

    Iran: Operesheni ya Kimbunga cha al Aqsa imeisambaratisha Israel

    Dec 09, 2023 15:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, operesheni ya Kimbunga cha al Aqsa imeusambaratisha vibaya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Hamas: Madai yasiyo na msingi ya Biden ni kielelezo cha kuporomoka kwake kimaadili

    Hamas: Madai yasiyo na msingi ya Biden ni kielelezo cha kuporomoka kwake kimaadili

    Dec 06, 2023 08:12

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kuwa, madai yasiyo na msingi ya Rais wa Marekani kuhusu operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa yanaonyesha kuporomoka kwake kimaadili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS