-
Israel yaishambulia Hospitali Ghaza mara kadhaa, yaua watu 30 kati ya waliokuwemo ndani
Dec 06, 2024 13:53Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limeshambulia mara kadhaa hospitali ya Kamal Adwan na majengo kadhaa ya karibu ya makazi ya raia kaskazini mwa Ukanda wa Ghaza, na kuwaua shahidi Wapalestina wasiopungua 30 na kuwajeruhi wengine wengi.
-
Shahidi Nasrullah, nembo azizi ya muqawama na mapambano dhidi ya dhulma
Nov 10, 2024 10:01Kongamano la Kimataifa la Fikra za Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa zamani wa Hizbullah ya Lebanon, limefanyika mjini Tehran kwa lengo la kuchunguza na kutambua mielekeo mbalimbali ya kifikra na kimaarifa ya shahidi huyo pamoja na nafasi yake ya kisiasa katika kukabiliana na kiburi cha Wazayuni, ambapo wataalamu na wanafikra kutoka nchi 13 wameshiriki.
-
Wanafunzi karibu elfu 12 wa Palestina wameuawa shahidi katika mashambulizi ya Israel Gaza
Nov 06, 2024 02:30Wizara ya Elimu ya Palestina imetangaza kuwa, wanafunzi karibu elfu 12 wameuawa shahidi katika mashambulizi ya utawala wa Kizayuni huko Gaza tangu kuanza vita vya mauaji ya kimbari vya Israel dhidi ya eneo hilo Oktoba 7 mwaka jana hadi sasa.
-
Shahrivar Nane; Siku ya kupambana na ugaidi nchini Iran
Aug 29, 2024 07:38Leo, Alhamisi, tarehe 8 Shahrivar sawa na Agosti 29, 2024 ni kumbukumbu ya kuuawa shahidi Rais na Waziri mkuu wa Iran, na ni siku ya kitaifa ya kupambana na ugaidi nchini Iran.
-
Wapalestina waliouawa shahidi Gaza wakaribia 50,000
Aug 28, 2024 15:20Idadi ya mashahidi wa vita vya mauaji ya halaiki huko Gaza yanauyotekelezwa na utawala haramu wa Israel imekaribia 50,000.
-
Makundi mbalimbali yalaani mauaji ya Israel dhidi ya Ismail Haniyeh
Jul 31, 2024 09:21Makundi ya mapambano na Muqawama, yamelaani kitendo cha kigaidi cha kuuawa Ismail Haniyeh, mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) kufuatia shambulio dhidi ya sehemu alikofikia mjini Tehran.
-
Iran: Damu ya shahidi Ismail Haniya haitapotea bure
Jul 31, 2024 07:27Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran ametoa mkono wa pole kufuatia kuuawa shahidi Ismail Haniya Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) na kueleza kwamba, hapana shaka kuwa, damu ya mujahidi huyo haitapotea bure.
-
Ismail Haniyeh ameuawa shahidi katika hujuma ya kigaidi mjini Tehran
Jul 31, 2024 03:53Idara ya Uhusiano wa Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) imetangaza kuwa mkuu wa Idara ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) Ismail Haniyeh na mmoja wa walinzi wake wameuawa shahidi baada ya kushambuliwa makazi yao mjini Tehran.
-
Nasrullah: Kuuawa shahidi 'ni sehemu ya utamaduni wetu ili kulinda mataifa yetu'
Jul 12, 2024 11:32Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah ametilia mkazo wajibu kupambana na kuwa tayari kuuliwa shahidi katika kulinda madola ya Kiislamu dhidi ya uvamizi na kukaliwa kwa mabavu na maadui.
-
Ebrahim Raisi, Hossein Amir-Abdollahian; mashahidi katika njia ya kuhudumia Iran, Uislamu na Muqawama
May 21, 2024 12:14Baada ya kusubiri kwa muda mrefu hatimaye asubuhi ya Jumatatu, wananchi wa Iran walikumbana na habari za kutoaminika kirahisi za kufa shahidi Rais Ebrahim Raisi, Hossein Amir Abdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje na viongozi wengine kadhaa aliofuatana nao, katika ajali ya helikopta iliyotokea katika eneo la Varzghan mkoani Azerbaijan Mashariki wakiwa katika kazi ya kuhudumia na kuwatumikia wananchi.