Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kufa shahidi - kuuawa shahidi

  • Shambulio la kigaidi la Israel dhidi ya Syria na kuuawa shahidi washauri watano wa Iran

    Shambulio la kigaidi la Israel dhidi ya Syria na kuuawa shahidi washauri watano wa Iran

    Jan 21, 2024 09:20

    Washauri watano wa kijeshi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran waliuawa shahidi jana Jumamosi katika shambulizi la kigaidi la anga lililofanywa na utawala wa Kizayuni huko Damascus, mji mkuu wa Syria.

  • Radiamali mbalimbali za kuuawa shahidi mshauri wa kijeshi wa Iran nchini Syria

    Radiamali mbalimbali za kuuawa shahidi mshauri wa kijeshi wa Iran nchini Syria

    Dec 26, 2023 08:58

    Kamanda Sayyid Razi Mousavi, mmoja wa washauri wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH), ambaye alikuwa akifanya kazi katika uga wa utoaji misaada ya kilojistiki kwa Mhimili wa Muqawama wa Syria, aliuawa shahidi katika shambulio lililofanywa jana Jumatatu na utawala wa Kizayuni katika eneo la Zainabiyah mjini Damascus.

  • Ripoti: Wapalestina zaidi ya 200 wameuawa shahidi tangu kuanza mwaka huu

    Ripoti: Wapalestina zaidi ya 200 wameuawa shahidi tangu kuanza mwaka huu

    Aug 03, 2023 02:46

    Vikosi vya usalama vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimewaua shahidi Wapalestina zaidi ya 200 tangu kuanza mwaka huu 2023.

  • Kumbukumbu za Tasua ya Imam Husain AS zafanyika kona zote za Iran

    Kumbukumbu za Tasua ya Imam Husain AS zafanyika kona zote za Iran

    Jul 28, 2023 03:00

    Jana Alkhamisi ilisadifiana na mwezi Tisa Mfunguo Nne, Muharram, siku ya maombolezo ya Tasua ya Imam Husain AS na mashahidi wengine wa mapambano ya Karbala ya mwaka 61 Hijria.

  • HAMAS: Damu za mashahidi hazitaachwa kumwagika vivi hivi

    HAMAS: Damu za mashahidi hazitaachwa kumwagika vivi hivi

    Apr 25, 2023 01:25

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa, kamwe haitoruhusu damu za mashahidi zimwagike vivi hivi. Taarifa ya harakati hiyo imetolewa baada ya wanajeshi makatili wa Israel kumuua kigaidi kijana mwingine wa Kipalestina huko Ariha.

  • Akhlaqi Katika Uislamu (55)

    Akhlaqi Katika Uislamu (55)

    Apr 11, 2023 07:10

    Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yako mpendwa msikilizaji popote pale ulipo wakati huu. Nakukaribisha kusikiliza sehemu ya 55 ya kipindi cha Akhlaqi Katika Uislamu nikiwa na matumaini kuwa, mimi pamoja na wewe tutanufaika na yale tutakayoyasikia katika kipindi hiki ambacho kwa leo kitazungumzia nukta nyingine muhimu za Akhlaqi za Jihadi za dini tukufu ya Uislamu. Endelea kuwa nami basi hadi tamati ya mazungumzo yetu.

  • IRGC yasisitiza: Jinai ulizofanya utawala wa Kizayuni katu hazitaachwa bila kujibiwa

    IRGC yasisitiza: Jinai ulizofanya utawala wa Kizayuni katu hazitaachwa bila kujibiwa

    Apr 02, 2023 10:52

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesisitiza kuwa: bila ya shaka yoyote jinai za utawala bandia na mtenda jinai wa Kizayuni hazitaachwa bila kujibiwa; na utawala huo haramu utalipa gharama za jinai zake.

  • Iran yakosoa mtazamo wa nchi za Magharibi kuhusu haki za binadamu

    Iran yakosoa mtazamo wa nchi za Magharibi kuhusu haki za binadamu

    Feb 02, 2023 12:12

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa mtazamo wa nchi za Magharibi kuhusu haki za binadamu kwa kuchapisha picha za mashahidi wa Kipalestina waliouawa na jeshi la Israel katika mwezi uliopita.

  • Jumla ya Wapalestina 35 wameuliwa shahidi na Israel mwezi Januari pekee

    Jumla ya Wapalestina 35 wameuliwa shahidi na Israel mwezi Januari pekee

    Jan 31, 2023 02:23

    Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza kuwa, mwezi Januari mwaka huu ndio mwezi uliojaa umwagaji damu mkubwa zaidi katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan baada ya utawala wa Kizayuni wa Israel kuwaua shahidi Wapalestina 38.

  • Shtayyeh: Wapalestina 220 wameuawa shahidi mwaka huu wa 2022

    Shtayyeh: Wapalestina 220 wameuawa shahidi mwaka huu wa 2022

    Dec 28, 2022 08:03

    Waziri Mkuu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema: Tangu mwanzoni mwa mwaka huu utawala wa Kizayuni wa Israel umewaua shahidi Wapalestina zaidi ya 220 katika maeneo tofauti ya Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS