-
OIC yalaani jinai za utawala wa Kizayuni huko Jenin
Dec 10, 2022 03:13Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani hujuma ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya mji na kambi ya wakimbizi ya Jenin, mauaji ya Wapalestina wanne na pia hujuma dhidi ya Msikiti wa Ibrahim na shule za Palestina.
-
Wapalestina 160 wameuawa shahidi tangu kuanza mwaka huu
Dec 06, 2022 02:17Kwa akali Wapalestina 160 wameuawa shahidi na jeshi la utawala haramu wa Israel katika ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan tangu kuanza mwaka huu wa 2022.
-
UN: 2022, mwaka wa mauaji zaidi katika ardhi za Palestina katika miaka 16 iliyopita
Oct 19, 2022 10:32Mratibu wa Misaada ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa katika Maeneo Yanayokaliwa kwa Mabavu ametangaza katika ripoti yake kwamba mwaka huu wa 2022 ulikuwa mwaka wa umwagaji damu zaidi katika ardhi za Palestina katika kipindi cha miaka 16 iliyopita.
-
Kamanda wa IRGC eneo la Sistan na Baluchestan auawa na magaidi
Oct 01, 2022 05:23Kamanda wa kitengo cha usalama cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) katika mkoa wa kusini mashariki wa Sistan na Baluchestan ameuawa shahidi katika makabiliano na wapinga mapinduzi ambao walifyatua risasi karibu na msikiti katika mji mkuu wa mkoa huo, Zahedan.
-
Israel imewaua shahidi watoto Wapalestina zaidi ya 1,000 tangu 2008
Aug 12, 2022 07:40Tangu mwaka 2008, zaidi ya watoto elfu moja wa Kipalestina wameuawa shahidi katika Ukanda wa Gaza katika mashambulizi ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel
-
Israel imewaua shahidi Wapalestina 77 katika kipindi cha miezi sita
Jul 03, 2022 11:15Tokea mwanzo wa mwaka huu wa 2022, hadi sasa utawala wa Kizayuni wa Israel umewaua shahidi Wapalestina 77 wakiwemo watoto 15.
-
Kijana Mpalestina auawa shahidi kwa kupigwa risasi na askari katili wa Israel
Jun 25, 2022 08:15Wanajeshi katili wa utawala haramu wa Israel wamemuua kijana wa Kipalestina wakati wakimkamata katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu.
-
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yalaani kuuawa shahidi Sayyad Khodaei
May 23, 2022 07:42Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema maadui wa mfumo mtakatifu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine tena wamedhihirisha dhati ya shari yao kwa ugaidi na kumuua shahidi mmoja kati ya askari wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC).
-
Jinai mpya ya Wazayuni! Wamuua shahidi mwandishi wa al Jazeera kwa damu baridi kabisa!
May 11, 2022 07:46Wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamefanya jinai nyingine ya kumuua kikatili na kidhulma, kwa damu baridi kabisa na kutokea nyuma, mwandishi mashuhuri na nguli wa televisheni ya al Jazeera, Shirin Abu Akleh alipokuwa katikati ya kazi zake kwenye kambi ya Jenin.
-
Zaidi ya Wapalestina 50 wameshauliwa shahidi na Wazayuni tangu mwezi Januari 2022
May 04, 2022 02:36Kituo cha Takwimu cha Palestina kimetoa ripoti maalumu na kusema kuwa, tangu mwezi Januari mwaka huu wa 2022 hadi hivi sasa, utawala wa Kizayuni wa Israel umeshawaua shahidi Wapalestina zaidi ya 50.