-
Magaidi wa kaskazini mwa Nigeria waua raia 11
Aug 30, 2019 12:27Magaidi wa Nigeria wanaodhaniwa kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameua raia wasiopungua 11 huko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Mwana wa Sheikh Salman al-Ouda: Baba yangu amehukumiwa kifo kwa sababu ya kutaka marekebisho Saudia
Aug 14, 2019 12:17Mtototo wa kiume wa mwanazuoni na msomi maarufu wa Saudi Arabia, Sheikh Salman al-Ouda anayeshikiliwa katika korokoro ya nchi hiyo amesema kuwa, baba yake anakabiliwa na kifo baada ya kutoa wito wa kufanyika mageuzi nchini Saudi Arabia.
-
Jumuiya ya Al-Wifaq Bahrain yatoa wito wa maandamano ya kulaani jinai za utawala wa Aal Khalifa
Jul 27, 2019 13:55Jumuiya ya kitaifa na Kiislamu nchini Bahrain ya Al-Wifaq, imetoa wito kwa wananchi kufanya maandamano ya kulaani na kulalamikia jinai ya utawala wa Aal Khalifa wa kuwanyonga vijana wawili kwa tuhuma hewa.
-
2019, mwaka wa kunyongwa watu zaidi nchini Saudi Arabia
Jul 12, 2019 05:57Vyombo vya habari vimeripoti kuwa kesi za kunyongwa watu nchini Saudi Arabia zimeongezeka mara mbili katika nusu ya kwanza ya mwaka huu wa 2019.
-
Maimamu wa Kisuni nchini Iran walaani chinjachinja ya Saudi Arabia dhidi ya Waislamu wa Kishia
Apr 27, 2019 13:09Wajumbe wa Baraza la Wanazuoni, Kamati ya Fatwa na maimamu wa sala za Ijumaa za miji na vijiji vya Waislamu wa Kisuni vya mkoa wa Bushehr kusini mwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, wamelaani vikali hatua za utawala wa Aal Saud wa kuwanyonga raia 37 wa Saudia wengi wao wakiwa ni Waislamu wa Kishia.
-
Zaidi ya watu 2000 wahukumiwa kifo nchini Misri
Apr 14, 2019 16:53Mahakama za Misri zimetoa adhabu ya kifo kwa watu elfu mbili na 159 nchini humo.
-
Watetezi wa haki za binadamu waandamana kupinga hukumu za vifo Misri
Feb 22, 2019 17:12Watetezi wa haki za binadamu wamefanya maandamano katika nchi kadhaa duniani kupinga utekelezaji wa hukumu ya kifo dhidi ya wapinzani wa serikali ya Misri.
-
Jinai za Saudi Arabia kuanzia mauaji ya Sheikh Nimr hadi ukatili mkubwa dhidi ya Khashoggi
Jan 02, 2019 12:51Katika siku kama hii ya leo ya Januari Pili mwaka 2016 utawala wa Saudi Arabia ulimuua shahidi Sheikh Nimr Baqri al Nimr, mwanazuoni wa Kiislamu na mwanamapambano wa kutetea haki wa Saudi Arabia kwa sababu tu ya kuukosoa utawala wa kifalme wa nchi hiyo.
-
Idadi ya wanaonyongwa Saudia imeongezkea maradufu wakati wa Bin Salman
Dec 22, 2018 02:56Idadi ya watu wanaonyongwa nchini Saudi Arabia imeongezeka maradufu tokea Mohammad bin Salman ateuliwe kuwa mrithi wa kiti cha ufalme nchini humo.
-
Netanyahu aunga mkono kunyongwa mateka wa Kipalestina
Nov 06, 2018 15:07Waziri Mkuu wa Utawala wa Kizayuni wa Israel ameunga mkono muswada unaopendekeza kunyongwa mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika jela za kutisha za utawala huo.