Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kunyongwa - kifo

  • Al Baghdadi aamuru kunyongwa mamia ya magaidi wa Daesh

    Al Baghdadi aamuru kunyongwa mamia ya magaidi wa Daesh

    Oct 11, 2018 08:08

    Abubakar al Baghdadi kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh ametoa amri ya kunyongwa magaidi 320 walio chini ya usimamizi wake kwa tuhuma za kufanya usaliti na kupelekea kupata kipigo kikali kundi hilo la kigaidi huko Iraq na Syria.

  • Magaidi wa DAESH (ISIS) wamenyonga zaidi ya watu elfu tano nchini Syria

    Magaidi wa DAESH (ISIS) wamenyonga zaidi ya watu elfu tano nchini Syria

    Aug 30, 2018 07:54

    Kituo kiitwacho Uangalizi wa Haki za Binadamu nchini Syria kimeripoti kuwa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh limeua kwa kuwanyonga watu zaidi ya elfu tano nchini humo.

  • Radiamali ya watu wa Bahrain dhidi ya hukumu za kifo dhidi ya wapinzani

    Radiamali ya watu wa Bahrain dhidi ya hukumu za kifo dhidi ya wapinzani

    Apr 27, 2018 02:27

    Kufuatia kutolewa hukumu ya kifo dhidi ya vijana sita wa Bahrain na mahakamu ya kijeshi ya Aal Khalifa, Wabahrain wameandamana katika pembe tofauti za nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi kulalamikia ukandamizaji wa utawala huo dhidi yao.

  • Utawala wa Bahrain wawahukumu watu sita adhabu ya kifo kwa tuhuma bandia

    Utawala wa Bahrain wawahukumu watu sita adhabu ya kifo kwa tuhuma bandia

    Apr 26, 2018 03:46

    Mahkama ya rufaa ya kijeshi nchini Bahrain, imetoa hukumu ya adhabu ya kifo dhidi ya raia sita wa nchi hiyo kwa tuhuma bandia kwamba walijaribu kupanga shambulizi dhidi ya kamanda wa vikosi vya ulinzi nchini humo.

  • Serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya yasisitiza kufuatiliwa kisheria wahusika wa mauaji ya hadharani

    Serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya yasisitiza kufuatiliwa kisheria wahusika wa mauaji ya hadharani

    Jan 28, 2018 15:06

    Baraza la uongozi la serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya imesema kuwa inawajibika kuwafuatilia kisheria wale wote waliohusika na mauaji ya hadharani nchini humo.

  • Israel yatishia kuwanyonga waandishi wa habari

    Israel yatishia kuwanyonga waandishi wa habari

    Jan 14, 2018 04:41

    Waziri wa Mawasiliano wa Utawala Haramu wa Israel, Ayoob Kara ametishia kuwanyonga waandishi wa habari na wamiliki wa vyombo hivyo ndani ya utawala huo.

  • ADHRB: Saudia, Bahrain na Kuwait zinaongoza kwa kunyonga wapinzani

    ADHRB: Saudia, Bahrain na Kuwait zinaongoza kwa kunyonga wapinzani

    Oct 14, 2017 08:08

    Jumuiya ya Demokrasia na Haki za Binadamu ya Bahrain (ADHRB) imetangaza kuwa, hukumu za vifo dhidi ya wapinzani zimeongezeka sana katika nchi tatu za Saudi Arabia, Bahrain na Kuwait.

  • Viongozi wa Daesh waendelea kujisalimisha kwa askari wa Iraq, wengine wauawa

    Viongozi wa Daesh waendelea kujisalimisha kwa askari wa Iraq, wengine wauawa

    Sep 06, 2017 03:54

    Kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh limemuua mmoja wa makamanda wake wa ngazi ya juu baada ya kutaka kujisalimisha kwa askari wa Kikurdi wa Peshmerga.

  • Amnesty International: Saudia isiwanyonge wapinzani 14 wa serikali ya Riyadh

    Amnesty International: Saudia isiwanyonge wapinzani 14 wa serikali ya Riyadh

    Aug 06, 2017 03:09

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka Saudi Arabia itupilie mbali uamuzi wa kuwanyonga wapinzani 14 wa serikali ya nchi hiyo waliolazimishwa kukiri makosa ambayo hawajafanya kutokana na mateso na manyanyaso.

  • Mashia wa Saudi Arabia, wahanga wa panga la Aal Saud

    Mashia wa Saudi Arabia, wahanga wa panga la Aal Saud

    Jul 25, 2017 09:22

    Mahakama za Saudi Arabia imewahukumu kifo Waislamu 29 wa madhehebu ya Shia nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS