-
Ijumaa, Mei 12, 2023
May 12, 2023 01:11Leo ni Ijumaa tarehe 21 Mfunguo Mosi Shawwal 1444 Hijria sawa na tarehe 12 Mei mwaka 2023 Milaadia.
-
Jumanne, tarehe 28 Februari, 2023
Feb 28, 2023 02:22Leo ni Jumanne tarehe 7 Shaaban 1444 Hijria inayosadifiana na tarehe 28 Februari mwaka 2023.
-
UN yakaribisha usitishaji vita uliotekelezwa na Russia Ukraine
Jan 07, 2023 07:35Martin Griffiths, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na Masuala ya Kibinadamu, amesema usitishaji mapigano wa upande mmoja uliotekelezwa na Russia ni fursa ya kutuma misaada ya kibinadamu kwa watu katika maeneo yaliyoathiriwa na vita.
-
Wayemen walivyojiimarisha kwa nguvu za kijeshi kuzuia adui asijusuru kuanzisha mashambulio
Sep 10, 2022 02:29Wakati mwaka wa nane wa vita vilivyoanzishwa na muungano wa kijeshi wa Saudi Arabia dhidi ya Yemen ukiwa unaendelea kupita, Wayemen wanazidi kuongeza nguvu na uwezo wao wa kijeshi wa kumzuia adui asithubutu kuanzisha mashambulio dhidi ya nchi hiyo.
-
Alkhamisi, Agosti 18, 2022
Aug 18, 2022 02:43Leo ni Alkhamisi mwezi 20 Mfunguo Nne Muharram 1444 Hijria sawa na Agosti 18 mwaka 2022 Milaadia.
-
Tahadhari kuhusu uwezekano wa kusambaratika usitishaji vita nchini Yemen
Jul 11, 2022 02:34Mahdi al-Mashat, Mkuu wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen ametahadharisha kuhusu uwezekano wa kuanzishwa tena operesheni za kijeshi, akiashiria ukiukaji vita wa mara kwa mara unaofanywa na muungano wa kijeshi wa Saudia.
-
Usitishaji vita; igizo la usanii inaofanya Saudia Yemen kwa kuutumia vibaya Umoja wa Mataifa
May 10, 2022 02:28Awamu ya kwanza ya ubadilishanaji mateka kati ya Yemen na Saudi Arabia imefanyika katika hali ambayo Riyadh ingali inazuia kufunguliwa tena Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sana'a.
-
Abdollahian: Iran inapinga vita vya Ukraine na eneo lolote duniani
May 09, 2022 02:21Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuna wajibu wa kufanyika mazungumzo ya kisiasa baina ya Ukraine na Russia kwa ajili ya kukomesha haraka vita huko Ukraine kwani vita si kwa manufaa ya upande wowote.
-
Jumatatu tarehe 17 Januari 2022
Jan 17, 2022 02:38Leo ni Jumatatu tarehe 14 Jamauthani 1443 Hijria sawa na Januari 17 mwaka 2022.
-
Jibu kali la Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen kwa mawaziri wenzake wa Marekani na Uingereza
Sep 07, 2021 11:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen amezitaka Marekani na Uingereza kutoa mchango chanya na kutoegemea upande wowote katika juhud za kurejesha amani huko Yemen.