Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Mashambulizi ya Ndege zisizo na Rubani za Israel kwenye kambi ya Noor Shams

    Mashambulizi ya Ndege zisizo na Rubani za Israel kwenye kambi ya Noor Shams

    Jul 04, 2024 02:19

    Ripoti zinasema kuwa, Wapalestina wanne wameuawa shahidi katika shambulio la ndege zisizo na rubani za Israel kwenye kambi ya Noor Shams kwenye Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Guterres: Dunia haiwezi kustahamili Lebanon iwe Gaza nyingine

    Guterres: Dunia haiwezi kustahamili Lebanon iwe Gaza nyingine

    Jun 22, 2024 10:32

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameelezea wasi wasi mkubwa alionao kutokana na kushtadi taharuki baina ya Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na utawala wa Israel na kusisitiza kuwa, dunia haiwezi kuvumilia Lebanon igeuzwe Gaza nyingine.

  • Mamia ya Walebanon wameuawa shahidi katika mashambulio ya utawala wa Kizayuni

    Mamia ya Walebanon wameuawa shahidi katika mashambulio ya utawala wa Kizayuni

    Jun 06, 2024 06:50

    Wizara ya Afya ya Lebanon imetangaza kuwa watu 400 wameuawa shahidi tangu jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel lilipoanzisha mashambulizi dhidi ya nchi hiyo mwezi Oktoba, 2023.

  • Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu asisitiza kuendelea ushirikiano kati ya Iran na Qatar

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu asisitiza kuendelea ushirikiano kati ya Iran na Qatar

    May 23, 2024 05:02

    Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika kikao na "Tamim bin Hamad Al-Thani" Amir wa Qatar na ujumbe aliofuatana nao, ameishukuru Qatar kwa rambirambi zake katika msiba wa kufa shahidi Sayyid Ebrahim Raisi na mashahidi wenzake, na kusisitiza haja ya kuendelea ushirikiano kati ya nchi hizi mbili.

  • "Kuna haja ya kuitetea Gaza katika Hija ya mwaka huu"

    May 17, 2024 07:10

    Rais wa Chuo cha Da'awa ya Kiislamu cha Lebanon amesema ibada ya Hija ya mwaka huu ina umuhimu wa kipekee wakati huu ambapo Wazayuni wanaendelea kumwaga damu za Wapalestina katika Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, "Kuna haja ya kuitetea Gaza katika Hija ya mwaka huu."

  • HRW yaikosoa Marekani kwa kuupa silaha utawala wa Kizayuni

    HRW yaikosoa Marekani kwa kuupa silaha utawala wa Kizayuni

    May 08, 2024 02:24

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limetangaza katika ripoti yake kuwa Israel imetumia silaha kutoka Marekani katika mashambulizi yake dhidi ya eneo la al Habariyeh huko Lebanon.

  • Ebrahim Raisi: Wazayuni wataelewa maana halisi ya majibu ya Iran

    Ebrahim Raisi: Wazayuni wataelewa maana halisi ya majibu ya Iran

    Apr 17, 2024 06:48

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, iwapo Israel itafanya kosa jingine lolote dhidi ya Iran, basi Wazayuni na waungaji mkono wao wataelewa maana halisi ya majibu ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Jumatatu, Februari 19, 2024

    Jumatatu, Februari 19, 2024

    Feb 19, 2024 02:25

    Leo ni Jumatatu tarehe 9 Sha'ban 1445 Hijria sawa na tarehe 19 Februari mwaka 2024.

  • Lebanon kuishtaki Israel katika Baraza la Usalama kwa kuishambulia kwa droni

    Lebanon kuishtaki Israel katika Baraza la Usalama kwa kuishambulia kwa droni

    Feb 16, 2024 02:46

    Serikali ya Lebanon imesema itawasilisha faili la malalamiko dhidi ya Israel katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, kufuatia hatua ya utawala huo wa Kizayuni kufanya shambulio hatarishi la ndege zisizo na rubani na kuua watu kadhaa kusini mwa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • HAMAS: Jeshi la Israel linaendelea kufanya jinai kwenye hospitali za Gaza

    HAMAS: Jeshi la Israel linaendelea kufanya jinai kwenye hospitali za Gaza

    Feb 01, 2024 03:00

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa, wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wanaendelea kufanya jinai katika hospitali na vituo vya matibabu huko Khan Yunis, kusini mwa Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS