Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Ebrahim Raisi: Wazayuni wataelewa maana halisi ya majibu ya Iran

    Ebrahim Raisi: Wazayuni wataelewa maana halisi ya majibu ya Iran

    Apr 17, 2024 03:18

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, iwapo Israel itafanya kosa jingine lolote dhidi ya Iran, basi Wazayuni na waungaji mkono wao wataelewa maana halisi ya majibu ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Jumatatu, Februari 19, 2024

    Jumatatu, Februari 19, 2024

    Feb 18, 2024 22:55

    Leo ni Jumatatu tarehe 9 Sha'ban 1445 Hijria sawa na tarehe 19 Februari mwaka 2024.

  • Lebanon kuishtaki Israel katika Baraza la Usalama kwa kuishambulia kwa droni

    Lebanon kuishtaki Israel katika Baraza la Usalama kwa kuishambulia kwa droni

    Feb 15, 2024 23:16

    Serikali ya Lebanon imesema itawasilisha faili la malalamiko dhidi ya Israel katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, kufuatia hatua ya utawala huo wa Kizayuni kufanya shambulio hatarishi la ndege zisizo na rubani na kuua watu kadhaa kusini mwa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • HAMAS: Jeshi la Israel linaendelea kufanya jinai kwenye hospitali za Gaza

    HAMAS: Jeshi la Israel linaendelea kufanya jinai kwenye hospitali za Gaza

    Jan 31, 2024 23:30

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa, wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wanaendelea kufanya jinai katika hospitali na vituo vya matibabu huko Khan Yunis, kusini mwa Ukanda wa Gaza.

  • Sababu za Israel kupenda vita vienee eneo zima la Asia Magharibi

    Sababu za Israel kupenda vita vienee eneo zima la Asia Magharibi

    Jan 29, 2024 23:14

    Duru mbalimbali za habari zimeripoti kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unafanya njama za kila namna za kutaka vita vienee kwenye eneo zima la Asia Magharibi.

  • Hizbullah yazima uvamizi wa kijeshi wa Israel kusini ya Lebanon

    Hizbullah yazima uvamizi wa kijeshi wa Israel kusini ya Lebanon

    Jan 22, 2024 03:59

    Wanajihadi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon wametibua uvamizi wa kijeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel kusini mwa nchi hiyo ya Kiarabu, huku ngome za utawala huo ghasibu zikiendelea kulengwa kwa makombora ya kundi hilo la muqawama, likiwa ni jibu kwa mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na Wazayuni katika Ukanda wa Gaza.

  • Msemaji wa jeshi la Israel akiri, makombora ya Hizbullah yameuathiri utawala huo

    Msemaji wa jeshi la Israel akiri, makombora ya Hizbullah yameuathiri utawala huo

    Jan 15, 2024 10:44

    Msemaji wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa mashambulizi ya makombora ya harakati ya Hizbullah ya Lebanon huko kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel) yamekwua na ufanisi na kulenga shabaha.

  • Jumatano, Novemba 22, 2023

    Jumatano, Novemba 22, 2023

    Nov 21, 2023 23:18

    Leo ni tarehe 8 Mfunguo Nane, Jamadil Awwal 1445 Hijria inayosadifiiana na 22 Novemba 2023 Milaadia.

  • Mapigano ya mpakani yaanza tena kati ya Hizbullah ya Lebanon na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Mapigano ya mpakani yaanza tena kati ya Hizbullah ya Lebanon na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Nov 02, 2023 09:49

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imejibu jinai zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza kwa kushambulia ngome za jeshi la utawala huo ghasibu.

  • Israel yafyata mkia, yasema haitaki kuingia vitani na Hizbullah

    Israel yafyata mkia, yasema haitaki kuingia vitani na Hizbullah

    Oct 25, 2023 04:06

    Rais Isaac Herzog wa Israel amedai kuwa, utawala huo wa Kizayuni hauna azma ya kuingia vitani na Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon katika upande wa kaskazini, siku chache baada ya viongozi wa Marekani kuwatahadharisha watawala wa Israel kuhusu ugumu na hatari ya kuendesha vita viwili kwa wakati mmoja; upande wa kusini na Harakati ya Hamas ya Palestina na upande wa kaskazini na harakati yenye nguvu kubwa ya kijeshi, Hizbullah.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS