-
Lebanon katika mzingo wa hitilafu; mkwamo wa kuunda Serikali unaendelea
Feb 16, 2021 05:29Licha ya kupita miezi minne tangu Saad Hariri kupewa jukumu la kuunda serikali nchini Lebanon, lakini Waziri Mkuu huyo hadi hivi sasa ameshindwa kuunda Baraza la Mawaziri kutokana na hitilafu na mivutano mingi iliyomo nchini humo.
-
Kuuliwa Luqman Salim sambamba na mafanikio ya kijeshi ya harakati ya Hizbullah ya Lebanon
Feb 06, 2021 09:43Luqman Salim mwanaharakati wa kisiasa na mwandishi wa Lebanon aliuawa Alhamisi katika mji wa Nabatiyah ambao wakazi wake wengi ni Waislamu wa madhehebu ya Shia huko kusini mwa Lebanon.
-
Hizbullah yalaani mauaji ya mkosoaji wa harakati hiyo ya Lebanon
Feb 05, 2021 08:44Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali mauaji ya mwanaharakati wa kisiasa na mtafiti wa nchi hiyo ya Kiarabu, Lokman Slim aliyeuawa katika mazingira ya kutatanisha.
-
Waziri wa Uinzi wa Lebanon autaka utawala wa Kizayuni ukomeshe uchokozi dhidi ya nchi hiyo
Jan 19, 2021 04:32Waziri wa Ulinzi wa Lebanon ameutaka utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ukomeshe kila aina ya uchokozi na uvamizi unaofanya dhidi ya mipaka ya anga, bahari na nchi kavu ya nchi hiyo.
-
Lebanon yazishutumu Uturuki na Israel kuifanyia utapeli
Jan 17, 2021 09:51Wizara ya Viwanda ya Libanon imezishutumu Uturuki na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuitapeli na kuwadanganya watumiaji wa bidhaa za madola hayo katika masoko ya kigeni.
-
Lebanon yaushtaki utawala wa Kizayuni katika Baraza la Usalama la UN
Jan 14, 2021 09:26Wizara ya Mambo ya Nje ya Lebanon imewasilisha shtaka dhidi ya utawala haramu wa Israel katika Umoja wa Mataifa na Baraza la Usalama la umoja huo kutokana na hatua ya Israel kukiuka mara kwa mara anga ya Lebanon.
-
Nukta muhimu katika hotuba ya Sayyid Hassan Nasrallah
Jan 10, 2021 21:09Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah alihutubu Ijumaa usiku kwa njia ya moja kwa moja katika televisheni ambapo hotuba hiyo ilikuwa na nukta nne muhimu za kitaifa na kimataifa.
-
Malengo ya safari ya ghafla ya Saad Hariri nchini Uturuki
Jan 10, 2021 05:46Saad Hariri, waziri mkuu mteule wa Lebanon ambaye amepewa jukumu la kuunda serikali, siku ya Ijumaa alifanya safari ya ghafla na ambayo haikuwa imetangazwa kabla kuelekea nchini Uturuki ambako alikutana na kufanya mazungumzo na rais wa nchi hiyo Recep Tayyip Erdoğan.
-
Faili la mlipuko wa Beirut na hitilafu za kisiasa nchini Lebanon
Dec 14, 2020 22:59Hivi karibuni kulitangazwa habari ya faili linalohusiana na mlipuko wa Agosti 4 mwaka huu katika bandari ya Beirut nchini Lebanon.
-
Kambi ya kukabiliana na usaliti wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel yaasisiwa Lebanon
Nov 22, 2020 08:59Shakhsia kadhaa wa Kiislamu, kisiasa na wa vyombo vya habari nchini Lebanon wametangaza kuwa wameanzisha kambi ya kukabiliana na hatua ya kihaini ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.