Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Amnesty International yataka kufanyike uchunguzi kuhusu mlipuko wa Beirut

    Amnesty International yataka kufanyike uchunguzi kuhusu mlipuko wa Beirut

    Aug 06, 2020 05:02

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetoa wito wa kufanyika uchunguzi wa kimataifa kuhusu mlipuko mkubwa uliotokea katika bandari ya Beirut nchini Lebanon.

  • Josep Borrell atoa mkono wa pole kwa serikali na wananchi wa Lebanon kufuatia mlipuko wa Beirut

    Josep Borrell atoa mkono wa pole kwa serikali na wananchi wa Lebanon kufuatia mlipuko wa Beirut

    Aug 06, 2020 03:28

    Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya ametoa mkono wa pole kwa serikali na wananchi wa Lebanon kufuatia kujiri mlipuko katika bandari ya mji mkuu Beirut.

  • Rais wa Lebanon: Tutawapa adhabu kali waliosababisha kutokea mripuko wa Beirut

    Rais wa Lebanon: Tutawapa adhabu kali waliosababisha kutokea mripuko wa Beirut

    Aug 05, 2020 23:58

    Rais Michel Aoun wa Lebanon amesisitiza ulazima wa kufanyika uchunguzi haraka iwezekanavyo ili kubaini nini hasa kilichotokea kuhusiana na tukio la mripuko wa Jumanne katika mji mkuu wa nchi hiyo Beirut.

  • Iran yatuma misaada ya chakula na dawa Lebanon

    Iran yatuma misaada ya chakula na dawa Lebanon

    Aug 05, 2020 06:30

    Hilali Nyekundu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetuma shehena ya kwanza ya misaada ya dharura ya dawa, vifaa vya tiba na chakula nchini Lebanon kwa ajili ya kuwasaidia waathirika wa mlipuko wa jana mjini Beirut.

  • Kujiuzulu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Lebanon; duru mpya ya ukwamishaji mambo dhidi ya serikali ya Hassan Diab

    Kujiuzulu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Lebanon; duru mpya ya ukwamishaji mambo dhidi ya serikali ya Hassan Diab

    Aug 04, 2020 06:49

    Nassif Hitti, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Lebanon Jumatatu ya jana tarehe 3 Agosti alitangaza kujiuzulu wadhifa huo.

  • Waziri wa Ulinzi: Lebanon iko tayari kukabiliana na hujuma ya utawala wa Kizayuni

    Waziri wa Ulinzi: Lebanon iko tayari kukabiliana na hujuma ya utawala wa Kizayuni

    Aug 02, 2020 23:09

    Waziri wa Ulinzi wa Lebanon amesema jeshi la nchi yake liko tayari kabisa kukabiliana na uvamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Mtazamo wa Sayyid Hassan Nasrullah kuhusu hali ya ndani na ya siasa za kigeni ya Lebanon

    Mtazamo wa Sayyid Hassan Nasrullah kuhusu hali ya ndani na ya siasa za kigeni ya Lebanon

    Jul 09, 2020 02:31

    Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon Jumanne usiku alitoa hotuba muhimu na kuzungumzia hali ya ndani na siasa za kigeni za nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Jeshi la Lebanon lajiweka sawa baada ya askari wa Israel kwenda mpakani

    Jeshi la Lebanon lajiweka sawa baada ya askari wa Israel kwenda mpakani

    Jun 19, 2020 23:27

    Jeshi la Lebanon limejiweka katika hali ya tahadhari baada ya kuripotiwa uwepo wa makumi ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika mpaka wa nchi hiyo ya Kiarabu na Palestina.

  • Njama mpya nchini Lebanon; fitina za kimadhehebu kwa mbinu za kisiasa

    Njama mpya nchini Lebanon; fitina za kimadhehebu kwa mbinu za kisiasa

    Jun 10, 2020 08:59

    Katika siku za karibuni Lebanon kwa mara nyingine imekuwa ikishuhudia machafuko ambapo watu wa kushukiwa na kutiliwa shaka wamekuwa wakimiminika mitaani na kupiga nara za kichochezi na za fitiza za kimadhehebu pamoja na kukabiliana na walinda amani nchini humo.

  • Larijani: Kukombolewa kusini mwa Lebanon ulikuwa mwanzo wa mabadiliko makubwa Asia Magharibi

    Larijani: Kukombolewa kusini mwa Lebanon ulikuwa mwanzo wa mabadiliko makubwa Asia Magharibi

    May 25, 2020 07:43

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, kukombolewa kusini mwa Lebanon ulikuwa mwanzo wa mabadiliko makubwa na muhimu katika eneo la Asia Magharibi mabadiliko ambayo kwa taufiki ya Mwenyezi Mungu yataishia kwenye kukombolewa Quds na ardhi zote zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS