Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Lebanon yasambaratisha njama ya Daesh ya kuweka sumu katika maji ya kunywa

    Lebanon yasambaratisha njama ya Daesh ya kuweka sumu katika maji ya kunywa

    Sep 28, 2018 04:26

    Vyombo vya usalama vya Lebanon vimetangaza habari ya kusambaratishwa njama ya genge la kigaidi la Daesh (ISIS) ambalo lilitaka kuweka sumu ndani ya maji ya kunywa ya wanajeshi wa nchi hiyo.

  • Saudia inapanga njama ya kuvihamishia Lebanon vita ilivyoanzisha dhidi ya Yemen

    Saudia inapanga njama ya kuvihamishia Lebanon vita ilivyoanzisha dhidi ya Yemen

    Aug 27, 2018 03:16

    Gazeti la Al-Akhbar limefichua kuwa Saudi Arabia inapanga njama mpya ya kuvihamishia Lebanon vita ilivyoanzisha dhidi ya Yemen.

  • Maulamaa wa Lebanon watangaza mshikamamo wao kwa Iran mkabala na vikwazo vya Marekani

    Maulamaa wa Lebanon watangaza mshikamamo wao kwa Iran mkabala na vikwazo vya Marekani

    Aug 15, 2018 10:32

    Maulama wa kidini wa nchini Lebanon wamelaani mashinikizo na vikwazo vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusisitiza kuwa wanaiunga mkono kikamilifu Tehran.

  • Hizbullah: Saudia inakwamisha kuundwa serikali mpya nchini Lebanon

    Hizbullah: Saudia inakwamisha kuundwa serikali mpya nchini Lebanon

    Aug 05, 2018 20:50

    Naibu wa Mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, kitendo cha baadhi ya mirengo ya kisiasa inayochochewa na Saudi Arabia, cha kushikilia misimamo yao ya kupewa nafasi maalumu serikalini ndicho kinachokwamisha kuundwa serikali mpya nchini Lebanon.

  • Saudia inahusika katika kuchelewesha uundaji wa serikali mpya ya Lebanon

    Saudia inahusika katika kuchelewesha uundaji wa serikali mpya ya Lebanon

    Jul 14, 2018 23:19

    Sheikh Nabil Qawooq mjumbe wa Baraza Kuu la harakati ya Hizbullah ya Lebanon ameashiria uingiliaji kati wa Saudi Arabia katika suala la kuunda serikali huko Lebanon na kusisitiza kuwa viongozi wa Saudia ndio kikwazo kikuu na wanatatiza zaidi hali ya ndani ya Lebanon.

  • Saudia yamwita nyumbani balozi wake wa Lebanon

    Saudia yamwita nyumbani balozi wake wa Lebanon

    Jul 09, 2018 21:53

    Serikali ya Saudi Arabia imemwita nyumbani balozi wake Walid al-Bukhari, kutoka Beirut, mji mkuu wa Lebanon.

  • Nasrullah: Makundi ya kigaidi nchini Syria yanasambaratika

    Nasrullah: Makundi ya kigaidi nchini Syria yanasambaratika

    Jun 29, 2018 23:40

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema matukio yanayojiri katika eneo la Mashariki ya Kati yana manufaa kwa kambi ya muqawama na mapambano na kwamba makundi yanayobeba silaha huko Syria yamo katika hali ya kusambaratika.

  • Meja Jenerali Soleimani: Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imebadilika kuwa serikali ya Muqawama

    Meja Jenerali Soleimani: Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imebadilika kuwa serikali ya Muqawama

    Jun 11, 2018 23:47

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH amesema: Saudi Arabia imetumia katika muda mfupi tu dola milioni 200 kwa ajili ya uchaguzi wa bunge la Lebanon, lakini harakati ya Hizbullah ndiyo iliyoibuka mshindi katika uchaguzi huo.

  • Nasrullah asisitiza ulazima wa Waislamu kukabiliana na fitna ya Wasaudi; na Ulimwengu wa Kiislamu kufanya hima ya kuwasaidia watu wa Quds

    Nasrullah asisitiza ulazima wa Waislamu kukabiliana na fitna ya Wasaudi; na Ulimwengu wa Kiislamu kufanya hima ya kuwasaidia watu wa Quds

    Jun 08, 2018 23:03

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema: Njama hatari zaidi ya adui ni mpango wa Marekani wa "Mapatano ya Karne" ambayo lengo lake ni kulitolea hukumu suala la Palestina na kuisalimisha Quds na matukufu yake kwa utawala ghasibu wa Kizayuni.

  • Spika wa Lebanon: Kama Hizbullah isingekwenda Syria, Daesh ingefika hadi ndani ya ardhi yetu

    Spika wa Lebanon: Kama Hizbullah isingekwenda Syria, Daesh ingefika hadi ndani ya ardhi yetu

    Jun 07, 2018 11:02

    Spika wa Bunge la Lebanon amesema, laiti kama Hizbullah isingekuweko Syria, magaidi wa kundi la ukufurishaji la Daesh (ISIS) wangekuwa wameshafika ndani ya ardhi ya Lebanon.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS