-
Hizbullah: Saudia inakwamisha kuundwa serikali mpya nchini Lebanon
Aug 05, 2018 20:50Naibu wa Mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, kitendo cha baadhi ya mirengo ya kisiasa inayochochewa na Saudi Arabia, cha kushikilia misimamo yao ya kupewa nafasi maalumu serikalini ndicho kinachokwamisha kuundwa serikali mpya nchini Lebanon.
-
Saudia inahusika katika kuchelewesha uundaji wa serikali mpya ya Lebanon
Jul 14, 2018 23:19Sheikh Nabil Qawooq mjumbe wa Baraza Kuu la harakati ya Hizbullah ya Lebanon ameashiria uingiliaji kati wa Saudi Arabia katika suala la kuunda serikali huko Lebanon na kusisitiza kuwa viongozi wa Saudia ndio kikwazo kikuu na wanatatiza zaidi hali ya ndani ya Lebanon.
-
Saudia yamwita nyumbani balozi wake wa Lebanon
Jul 09, 2018 21:53Serikali ya Saudi Arabia imemwita nyumbani balozi wake Walid al-Bukhari, kutoka Beirut, mji mkuu wa Lebanon.
-
Nasrullah: Makundi ya kigaidi nchini Syria yanasambaratika
Jun 29, 2018 23:40Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema matukio yanayojiri katika eneo la Mashariki ya Kati yana manufaa kwa kambi ya muqawama na mapambano na kwamba makundi yanayobeba silaha huko Syria yamo katika hali ya kusambaratika.
-
Meja Jenerali Soleimani: Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imebadilika kuwa serikali ya Muqawama
Jun 11, 2018 23:47Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH amesema: Saudi Arabia imetumia katika muda mfupi tu dola milioni 200 kwa ajili ya uchaguzi wa bunge la Lebanon, lakini harakati ya Hizbullah ndiyo iliyoibuka mshindi katika uchaguzi huo.
-
Nasrullah asisitiza ulazima wa Waislamu kukabiliana na fitna ya Wasaudi; na Ulimwengu wa Kiislamu kufanya hima ya kuwasaidia watu wa Quds
Jun 08, 2018 23:03Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema: Njama hatari zaidi ya adui ni mpango wa Marekani wa "Mapatano ya Karne" ambayo lengo lake ni kulitolea hukumu suala la Palestina na kuisalimisha Quds na matukufu yake kwa utawala ghasibu wa Kizayuni.
-
Spika wa Lebanon: Kama Hizbullah isingekwenda Syria, Daesh ingefika hadi ndani ya ardhi yetu
Jun 07, 2018 11:02Spika wa Bunge la Lebanon amesema, laiti kama Hizbullah isingekuweko Syria, magaidi wa kundi la ukufurishaji la Daesh (ISIS) wangekuwa wameshafika ndani ya ardhi ya Lebanon.
-
Maulamaa wa Palestina: Imam Khomeini MA alihuisha kadhia ya Palestina
Jun 01, 2018 23:40Msemaji wa Baraza la Maulamaa Wapalestina amesema: "Imam Khomeini MA, kwa kutangaza Ijumaa ya Mwisho ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuwa Siku ya Kimataifa ya Quds alihuisha kadhia ya Palestina."
-
Msuguano katika Uhusiano wa Ufaransa na Saudi Arabia
May 30, 2018 03:34Emmanuel Macron Rais wa Ufaransa amedai kuwa alikuwa na nafasi muhimu katika utatuzi wa mgogoro wa Lebanon mwaka jana. Aidha amefichua kuwa, Saudi Arabia ilikuwa imemkamata kwa wiki kadhaa Waziri Mkuu wa Lebanon Saad Hariri.
-
Umoja wa kitaifa, suluhisho la changamoto za Lebanon
May 25, 2018 23:31Baada ya bunge la Lebanon kumchagua kwa sauti moja, Sad Hariri, Waziri Mkuu wa hivi sasa, kubuni baraza la mawaziri, inatazamiwa kuwa baraza hilo pia litabuniwa kwa msingi wa kuimarisha uwiano na umoja wa kitaifa.