-
Maulamaa wa Palestina: Imam Khomeini MA alihuisha kadhia ya Palestina
Jun 01, 2018 23:40Msemaji wa Baraza la Maulamaa Wapalestina amesema: "Imam Khomeini MA, kwa kutangaza Ijumaa ya Mwisho ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuwa Siku ya Kimataifa ya Quds alihuisha kadhia ya Palestina."
-
Msuguano katika Uhusiano wa Ufaransa na Saudi Arabia
May 30, 2018 03:34Emmanuel Macron Rais wa Ufaransa amedai kuwa alikuwa na nafasi muhimu katika utatuzi wa mgogoro wa Lebanon mwaka jana. Aidha amefichua kuwa, Saudi Arabia ilikuwa imemkamata kwa wiki kadhaa Waziri Mkuu wa Lebanon Saad Hariri.
-
Umoja wa kitaifa, suluhisho la changamoto za Lebanon
May 25, 2018 23:31Baada ya bunge la Lebanon kumchagua kwa sauti moja, Sad Hariri, Waziri Mkuu wa hivi sasa, kubuni baraza la mawaziri, inatazamiwa kuwa baraza hilo pia litabuniwa kwa msingi wa kuimarisha uwiano na umoja wa kitaifa.
-
Saad al Hariri akabidhiwa jukumu la kuunda serikali mpya ya Lebanon
May 24, 2018 09:55Saad al Hariri, Waziri Mkuu wa sasa wa Lebanon, ameteuliwa kuunda serikali mpya baada ya kujipatia kura nyingi za wabunge wa bunge la nchi hiyo.
-
Alkhamisi, Mei 24, 2018
May 23, 2018 23:38Leo ni Alhamisi tarehe nane Ramadhan mwaka 1439 Hijiria, inayosadifiana na tarehe 24 Mei mwaka 2018 Miladia.
-
Uchaguzi wa Bunge Lebanon ulikuwa ni 'La' kwa Marekani na utawala wa Kizayuni
May 08, 2018 03:14Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, ametuma salamu za pongezi kufuatia ushindi wa mrengo wa Muqawama katika Uchaguzi wa Bunge nchini Lebnaon jana na kusema, 'uchaugzi huu ulikuwa ni 'La' ya watu wa Lebanon kwa Marekani na Utawala wa Kizayuni.'
-
Nabih Berri: Umoja wa Kitaifa ndiyo matunda halisi ya uchaguzi wa bunge Lebanon
May 07, 2018 10:51Spika wa Bunge la Lebanon amesisitiza baada ya kutangazwa matokeo ya awali ya uchaguzi wa bunge nchini humo kwamba: Umoja wa kitaifa ndiyo matunda na mafaniko halisi ya uchaguzi wa bunge; ambayo yamepatikana kufuatia sheria mpya ya uchaguzi.
-
Nabih Berri atahadharisha kuhusu Israel kuishambulia Lebanon
Apr 29, 2018 10:39Spika wa Bunge la Lebanon ametahadharisha kwamba, utawala haramu wa Israel umeajiandaa kuishambulia kijeshi nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Ripoti: Mohammad Bin Salman anapanga kuhamisha vita kutoka Yemen kwenda Lebanon
Apr 27, 2018 23:27Gazeti la Lebanon la Al Akhbar Mail limenukuu ujumbe wa mtandaoni wa balozi wa Imarati mjini Washington, Marekani ambao umeonyesha uwepo wa njama kubwa za Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia za kuhamisha vya Yemen kwenda nchini Lebanon.
-
Hizbullah: Mashambulizi ya Israel Syria yatawasha moto katika eneo zima
Apr 24, 2018 03:18Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon sambamba na kuielezea kuwa nyeti hali ya hivi sasa katika eneo la Mashariki ya Kati amesema kuwa, kuendelea mashambulizi ya Israel dhidi ya Syria si tu kwamba kunahatarisha usalama wa nchi hiyo, bali kuna hatari yatazusha mgogoro katika eneo zima.