Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Maulamaa wa Palestina: Imam Khomeini MA alihuisha kadhia ya Palestina

    Maulamaa wa Palestina: Imam Khomeini MA alihuisha kadhia ya Palestina

    Jun 01, 2018 23:40

    Msemaji wa Baraza la Maulamaa Wapalestina amesema: "Imam Khomeini MA, kwa kutangaza Ijumaa ya Mwisho ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuwa Siku ya Kimataifa ya Quds alihuisha kadhia ya Palestina."

  • Msuguano katika Uhusiano wa Ufaransa na Saudi Arabia

    Msuguano katika Uhusiano wa Ufaransa na Saudi Arabia

    May 30, 2018 03:34

    Emmanuel Macron Rais wa Ufaransa amedai kuwa alikuwa na nafasi muhimu katika utatuzi wa mgogoro wa Lebanon mwaka jana. Aidha amefichua kuwa, Saudi Arabia ilikuwa imemkamata kwa wiki kadhaa Waziri Mkuu wa Lebanon Saad Hariri.

  • Umoja wa kitaifa, suluhisho la changamoto za Lebanon

    Umoja wa kitaifa, suluhisho la changamoto za Lebanon

    May 25, 2018 23:31

    Baada ya bunge la Lebanon kumchagua kwa sauti moja, Sad Hariri, Waziri Mkuu wa hivi sasa, kubuni baraza la mawaziri, inatazamiwa kuwa baraza hilo pia litabuniwa kwa msingi wa kuimarisha uwiano na umoja wa kitaifa.

  • Saad al Hariri akabidhiwa jukumu la kuunda serikali mpya ya Lebanon

    Saad al Hariri akabidhiwa jukumu la kuunda serikali mpya ya Lebanon

    May 24, 2018 09:55

    Saad al Hariri, Waziri Mkuu wa sasa wa Lebanon, ameteuliwa kuunda serikali mpya baada ya kujipatia kura nyingi za wabunge wa bunge la nchi hiyo.

  • Alkhamisi, Mei 24, 2018

    Alkhamisi, Mei 24, 2018

    May 23, 2018 23:38

    Leo ni Alhamisi tarehe nane Ramadhan mwaka 1439 Hijiria, inayosadifiana na tarehe 24 Mei mwaka 2018 Miladia.

  • Uchaguzi wa Bunge Lebanon ulikuwa ni 'La' kwa Marekani na utawala wa Kizayuni

    Uchaguzi wa Bunge Lebanon ulikuwa ni 'La' kwa Marekani na utawala wa Kizayuni

    May 08, 2018 03:14

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, ametuma salamu za pongezi kufuatia ushindi wa mrengo wa Muqawama katika Uchaguzi wa Bunge nchini Lebnaon jana na kusema, 'uchaugzi huu ulikuwa ni 'La' ya watu wa Lebanon kwa Marekani na Utawala wa Kizayuni.'

  • Nabih Berri: Umoja wa Kitaifa ndiyo matunda halisi ya uchaguzi wa bunge Lebanon

    Nabih Berri: Umoja wa Kitaifa ndiyo matunda halisi ya uchaguzi wa bunge Lebanon

    May 07, 2018 10:51

    Spika wa Bunge la Lebanon amesisitiza baada ya kutangazwa matokeo ya awali ya uchaguzi wa bunge nchini humo kwamba: Umoja wa kitaifa ndiyo matunda na mafaniko halisi ya uchaguzi wa bunge; ambayo yamepatikana kufuatia sheria mpya ya uchaguzi.

  • Nabih Berri atahadharisha kuhusu Israel kuishambulia Lebanon

    Nabih Berri atahadharisha kuhusu Israel kuishambulia Lebanon

    Apr 29, 2018 10:39

    Spika wa Bunge la Lebanon ametahadharisha kwamba, utawala haramu wa Israel umeajiandaa kuishambulia kijeshi nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Ripoti: Mohammad Bin Salman anapanga kuhamisha vita kutoka Yemen kwenda Lebanon

    Ripoti: Mohammad Bin Salman anapanga kuhamisha vita kutoka Yemen kwenda Lebanon

    Apr 27, 2018 23:27

    Gazeti la Lebanon la Al Akhbar Mail limenukuu ujumbe wa mtandaoni wa balozi wa Imarati mjini Washington, Marekani ambao umeonyesha uwepo wa njama kubwa za Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia za kuhamisha vya Yemen kwenda nchini Lebanon.

  • Hizbullah: Mashambulizi ya Israel Syria yatawasha moto katika eneo zima

    Hizbullah: Mashambulizi ya Israel Syria yatawasha moto katika eneo zima

    Apr 24, 2018 03:18

    Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon sambamba na kuielezea kuwa nyeti hali ya hivi sasa katika eneo la Mashariki ya Kati amesema kuwa, kuendelea mashambulizi ya Israel dhidi ya Syria si tu kwamba kunahatarisha usalama wa nchi hiyo, bali kuna hatari yatazusha mgogoro katika eneo zima.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS