-
Mtazamo wa Hassan Nasrullah kuhusiana na uchaguzi wa bunge nchini Lebanon
Apr 11, 2018 02:52Jumapili iliyopita Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon alihutubia eneo la Nabatieh kusini mwa Lebanon ambapo alibainisha maoni yake kuhusiana na uchaguzi ujao wa bunge nchini humo.
-
Israel yaanza tena kujenga ukuta wa kibaguzi katika mpaka wa Lebanon
Apr 09, 2018 02:27Utawala wa Kizayuni jana Jumapili ulianza tena kujenga ukuta wake wa kibaguzi kati ya mpaka wa Palestina inayokaliwa kwa mabavu na Lebanon.
-
Hizbullah: Matukio ya Ghaza yamethibitisha kwamba matukufu ya Palestina bado yanaenziwa
Mar 31, 2018 03:17Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon imetoa taarifa kufuatia maandamano makubwa ya Ijumaa ya jana mjini Ghaza Palestina na kusema kuwa, matukio hayo yamethibitisha kwamba matukufu ya Palestina bado yanaendelea kuenziwa na kwamba Wapalestina wako tayari kujitolea kila kitu chao katika njia ya ukombozi wa ardhi zao.
-
Nasrullah: Saudia imependekeza kuipatia Syria mabilioni ya dola ivunje uhusiano wake na Iran
Mar 27, 2018 12:32Katibu Mkuu wa harakati ya muqawama ya Lebanon Hizbullah amesema utawala wa Aal Saud uliieleza serikali ya Syria kwamba uko tayari kuacha kuyaunga mkono makundi ya kigaidi yanayotenda jinai na kuifisidi nchi hiyo na kuipatia serikali hiyo ya Damascus mamia ya mabilioni ya dola kwa ajili ya kuijenga upya Syria ikiwa nchi hiyo itakuwa tayari kuvunja uhusiano wake na Iran.
-
Hizbullah: Wanaowaua raia wa Yemen, hao ndio Mahitler wa zama hizi
Mar 17, 2018 12:27Naibu Mkuu wa Baraza Kuu la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesema, anayehusika na jinai dhidi ya wanawake na watoto wa Yemen, huyo ndiye Hitler wa zama hizi; si Iran ambayo imezisaidia Iraq na Syria kukabiliana na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh.
-
Lebanon kuongeza idadi ya askari katika mpaka wa ardhi zinazokaliwa na Israel
Mar 16, 2018 04:14Waziri Mkuu wa Lebanon Sa'ad Hariri amesema nchi yake itaongeza idadi ya wanajeshi katika eneo la mpaka wake na ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Hizbullah: Saudia na Marekani zinaingilia uchaguzi wa Lebanon
Mar 08, 2018 12:33Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Saudi Arabia na Marekani zinakula njama ya kuingilia uchaguzi wa Bunge la nchi hiyo unaotazamiwa kufanyika mwezi Mei mwaka huu.
-
Saudia yatoa masharti saba ili iwe na uhusiano mzuri tena na Saad Hariri
Mar 05, 2018 12:56Gazeti la Ad-Diyar linalochapishwa nchini Lebanon limeandika kuwa Saudi Arabia imetoa masharti saba kwa waziri mkuu wa nchi hiyo Saad Hariri ili uhusiano wa Riyadh na kiongozi huyo urejee tena katika hali yake ya awali.
-
Michel Aoun: Lebanon iko tayari kujilinda iwapo itashambuliwa na Israel
Feb 26, 2018 23:21Rais wa Lebanon amesisitiza kuwa nchi hiyo imejiandaa kikamilifu kujilinda iwapo itashambuliwa na Israel.
-
Indhari ya Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon kwa njama za Marekani
Feb 26, 2018 03:44Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon ameashiria alipokuwa akihutubia katika mji wa Baalabek juu ya kushindwa mipango ya Marekani na washirika wake katika Mashariki ya Kati na kusambaratishwa kundi la kigaidi la Daesh na kusema kuwa, hii leo tunapaswa kukusanya mafanikio yetu ambapo kubwa zaidi katika hayo ni uungaji mkono unaopata muqawama.