-
Jumatano, 22 Novemba, 2017
Nov 22, 2017 00:50Leo ni Jumatano tarehe 3 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1439 Hijria sawa na tarehe 22 Novemba mwaka 2017.
-
Jeshi la Lebanon lawekwa katika hali ya tahadhari kutokana na chokochoko za Israel
Nov 21, 2017 23:34Mkuu wa Jeshi la Lebanon amewataka wanajeshi wa nchi hiyo kuwa katika hali ya tahadhari hususan katika maeneo ya mpaka wa kusini, ili kuzima chokochoko zozote zinazoweza kuanzishwa na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Lebanon na makundi ya muqawama ya Palestina yapinga taarifa ya Arab League dhidi ya Hizbullah
Nov 20, 2017 04:17Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon amelalamikia taarifa hewa na isiyo na msingi iliyotolewa na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) dhidi ya harakati ya muqawama ya nchi hiyo Hizbullah.
-
Hariri: Nitaeleza kwa upana matukio ya hivi karibuni baada ya kukutana na Rais Michel Aoun
Nov 19, 2017 00:25Saad Hariri, Waziri Mkuu wa Lebanon ambaye kwa sasa yuko nchini Ufaransa akitokea Saudia, amesema kuwa, ataeleza kwa upana matukio ya hivi karibuni baada ya kukutana na Rais Michel Aoun mjini Bairut.
-
Kashani: Umoja wa Walebanon umebatilisha njama za Saudia
Nov 17, 2017 13:17Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa umoja na mshikamano wa taifa la Lebanon umebatilisha na kuzima njama za utawala wa Kizayuni wa Israel, Marekani na Saudi Arabia.
-
Saad Hariri: Nitarudi Lebanon
Nov 15, 2017 11:57Saad Hariri, Waziri Mkuu wa Lebanon aliyejiuzulu amesema kuwa atarejea nchini humo kama alivyotamka hapo awali.
-
EU yamtaka Hariri arejee Lebanon, yaionya Saudia dhidi ya uingiliaji wa masuala ya nchi hiyo
Nov 14, 2017 03:46Umoja wa Ulaya umemtaka Waziri Mkuu wa Lebanon aliyetangaza kujiuzulu hivi karibuni, Saad Hariri arejee katika nchi yake huku ukiitahadharisha Saudi Arabia dhidi ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.
-
Saudia yaichochea Israel iihujumu Lebanon, Hizbullah yasema iko tayari kijeshi
Nov 13, 2017 23:34Afisa wa ngazi za juu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, harakati hiyo iko tayari kwa ajili ya makabiliano yoyote ya kijeshi huku kukiwa na tetesi kuwa Saudi Arabia inauchochea utawala wa Kizayuni wa Israel uishambulie Lebanon kijeshi.
-
Iran yasisitiza haingilii mambo ya ndani ya nchi nyingine
Nov 13, 2017 12:04Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Sera ya kimsingi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kutoingilia kamwe masuala ya ndani ya nchi nyingine."
-
Hariri ajidhalilisha Saudia, apanga foleni kumpa mkono Mfalme Salman
Nov 12, 2017 10:18Kanda ya video iliyorushwa hewani na televisheni ya utawala wa Aal-Saud imemuonyesha Waziri Mkuu wa Lebanon aliyetangaza kujiuzulu hivi karibuni akijidhalilisha kwa kupanga foleni na maafisa wa serikali ya Riyadh kwa ajili ya kumpa mkono Mfalme Salman Bin AbdulAzizi wa Saudi Arabia.