Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Jumatano, 22 Novemba, 2017

    Jumatano, 22 Novemba, 2017

    Nov 22, 2017 00:50

    Leo ni Jumatano tarehe 3 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1439 Hijria sawa na tarehe 22 Novemba mwaka 2017.

  • Jeshi la Lebanon lawekwa katika hali ya tahadhari kutokana na chokochoko za Israel

    Jeshi la Lebanon lawekwa katika hali ya tahadhari kutokana na chokochoko za Israel

    Nov 21, 2017 23:34

    Mkuu wa Jeshi la Lebanon amewataka wanajeshi wa nchi hiyo kuwa katika hali ya tahadhari hususan katika maeneo ya mpaka wa kusini, ili kuzima chokochoko zozote zinazoweza kuanzishwa na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Lebanon na makundi ya muqawama ya Palestina yapinga taarifa ya Arab League dhidi ya Hizbullah

    Lebanon na makundi ya muqawama ya Palestina yapinga taarifa ya Arab League dhidi ya Hizbullah

    Nov 20, 2017 04:17

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon amelalamikia taarifa hewa na isiyo na msingi iliyotolewa na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) dhidi ya harakati ya muqawama ya nchi hiyo Hizbullah.

  • Hariri: Nitaeleza kwa upana matukio ya hivi karibuni baada ya kukutana na Rais Michel Aoun

    Hariri: Nitaeleza kwa upana matukio ya hivi karibuni baada ya kukutana na Rais Michel Aoun

    Nov 19, 2017 00:25

    Saad Hariri, Waziri Mkuu wa Lebanon ambaye kwa sasa yuko nchini Ufaransa akitokea Saudia, amesema kuwa, ataeleza kwa upana matukio ya hivi karibuni baada ya kukutana na Rais Michel Aoun mjini Bairut.

  • Kashani: Umoja wa Walebanon umebatilisha njama za Saudia

    Kashani: Umoja wa Walebanon umebatilisha njama za Saudia

    Nov 17, 2017 13:17

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa umoja na mshikamano wa taifa la Lebanon umebatilisha na kuzima njama za utawala wa Kizayuni wa Israel, Marekani na Saudi Arabia.

  • Saad Hariri: Nitarudi Lebanon

    Saad Hariri: Nitarudi Lebanon

    Nov 15, 2017 11:57

    Saad Hariri, Waziri Mkuu wa Lebanon aliyejiuzulu amesema kuwa atarejea nchini humo kama alivyotamka hapo awali.

  • EU yamtaka Hariri arejee Lebanon, yaionya Saudia dhidi ya uingiliaji wa masuala ya nchi hiyo

    EU yamtaka Hariri arejee Lebanon, yaionya Saudia dhidi ya uingiliaji wa masuala ya nchi hiyo

    Nov 14, 2017 03:46

    Umoja wa Ulaya umemtaka Waziri Mkuu wa Lebanon aliyetangaza kujiuzulu hivi karibuni, Saad Hariri arejee katika nchi yake huku ukiitahadharisha Saudi Arabia dhidi ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.

  • Saudia yaichochea Israel iihujumu Lebanon, Hizbullah yasema iko tayari kijeshi

    Saudia yaichochea Israel iihujumu Lebanon, Hizbullah yasema iko tayari kijeshi

    Nov 13, 2017 23:34

    Afisa wa ngazi za juu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, harakati hiyo iko tayari kwa ajili ya makabiliano yoyote ya kijeshi huku kukiwa na tetesi kuwa Saudi Arabia inauchochea utawala wa Kizayuni wa Israel uishambulie Lebanon kijeshi.

  • Iran yasisitiza haingilii mambo ya ndani ya nchi nyingine

    Iran yasisitiza haingilii mambo ya ndani ya nchi nyingine

    Nov 13, 2017 12:04

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Sera ya kimsingi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kutoingilia kamwe masuala ya ndani ya nchi nyingine."

  • Hariri ajidhalilisha Saudia, apanga foleni kumpa mkono Mfalme Salman

    Hariri ajidhalilisha Saudia, apanga foleni kumpa mkono Mfalme Salman

    Nov 12, 2017 10:18

    Kanda ya video iliyorushwa hewani na televisheni ya utawala wa Aal-Saud imemuonyesha Waziri Mkuu wa Lebanon aliyetangaza kujiuzulu hivi karibuni akijidhalilisha kwa kupanga foleni na maafisa wa serikali ya Riyadh kwa ajili ya kumpa mkono Mfalme Salman Bin AbdulAzizi wa Saudi Arabia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS