Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Saad Hariri ajiuzulu uwaziri mkuu wa Lebanon akiwa safarini nchini Saudia

    Saad Hariri ajiuzulu uwaziri mkuu wa Lebanon akiwa safarini nchini Saudia

    Nov 04, 2017 12:37

    Waziri Mkuu wa Lebanon Saad Hariri ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huo katika hotuba aliyotoa akiwa nchini Saudi Arabia.

  • Ukosoaji wa Walebanon kwa misimamo ya uzushaji fitina ya viongozi wa Saudi Arabia

    Ukosoaji wa Walebanon kwa misimamo ya uzushaji fitina ya viongozi wa Saudi Arabia

    Nov 03, 2017 00:39

    Jumuiya ya Maulama wa Kiislamu wa Lebanon imeyataja kuwa ya kushangaza matamshi ya Thamer al Sabhan, Waziri Mshauri wa Saudi Arabia katika Masuala ya Eneo la Ghuba ya Uajemi kuhusu kunyamaza kimya serikali na taifa la Lebanon mbele ya siasa za Hizbullah ya Lebanon na kueleza kwamba, matamshi hayo ni ya kuchochea vita vya ndani.

  • Rais wa Lebanon: Iran ni nchi yenye nguvu katika eneo la Mashariki ya Kati

    Rais wa Lebanon: Iran ni nchi yenye nguvu katika eneo la Mashariki ya Kati

    Oct 31, 2017 04:19

    Rais Michel Aoun wa Lebanon amesisitiza kuwa Iran ni nchi yenye nguvu katika eneo la Mashariki ya Kati na kwamba nafasi ya Tehran katika matukio ya eneo hilo haiwezi kupuuzwa.

  • Maulama wa Suni na Shia Lebanon wasisitizia mapambano dhidi ya ugaidi

    Maulama wa Suni na Shia Lebanon wasisitizia mapambano dhidi ya ugaidi

    Oct 21, 2017 12:54

    Maulama wa Kiislamu wa madhehebu za Shia na Suni nchini Lebanon wanesema kuwa kufeli mradi kabambe wa Marekani na Israel kupitia ugaidi, hakuna maana ya kumalizika kwa vita na wametoa wito wa kuendelezwa muqawama kwa ajili ya vita vya baadaye.

  • Saudia yaendeleza njama dhidi ya makundi yanayopambana na Israel

    Saudia yaendeleza njama dhidi ya makundi yanayopambana na Israel

    Oct 10, 2017 23:04

    Jumuiya ya vyama vya siasa nchini Lebanon umetangaza kuwa, matamshi yaliyotolewa na Waziri Mshauri katika Masuala ya Ghuba ya Uajemi wa Saudi Arabia kuhusu harakati ya Hizbullah ya Lebanon yanaakisi siasa za utawala wa kifalme wa nchi hiyo dhidi ya kambi inayopambana na utawala haramu wa Isarel.

  • Lebanon yakamata genge la majasusi wa Mossad

    Lebanon yakamata genge la majasusi wa Mossad

    Oct 07, 2017 23:11

    Vikosi vya usalama vya Lebanon vimetangaza kukamata genge lenye mfungamano na shirika la kijasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel, Mossad.

  • Jeshi la Lebanon: Vitisho vya Israel havitutishi

    Jeshi la Lebanon: Vitisho vya Israel havitutishi

    Sep 23, 2017 12:00

    Kamanda wa Jeshi la Lebanon ametangaza kuwa jeshi la nchi hiyo liko tayari kukabiliana na aina yoyote ya vitisho vya jeshi la utawala haramu wa Israel.

  • Sayyid Hassan Nasrullah tumejiweka imara kukabiliana na adui hata ikiwa ni Marekani

    Sayyid Hassan Nasrullah tumejiweka imara kukabiliana na adui hata ikiwa ni Marekani

    Sep 22, 2017 04:13

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah amesema kuwa harakati hiyo haitaki vita, lakini ikiwa itashambuliwa basi itasimama imara kukabiliana vikali na adui hata kama atakuwa ni Marekani.

  • Saudia yaishinikiza Kuwait imkatae balozi wa Lebanon ambaye ni Mwislamu wa Shia

    Saudia yaishinikiza Kuwait imkatae balozi wa Lebanon ambaye ni Mwislamu wa Shia

    Sep 09, 2017 11:59

    Utawala wa Saudi Arabia umeendeleza mashinikizo mbalimbali dhidi ya serikali ya Kuwait, ikiitaka nchi hiyo kuikataa barua ya utambulisho wa Rayan Said, balozi wa Lebanon ambaye ni Mwislamu wa Shia aliyetumwa nchini humo.

  • Saudia yawatishia Walebanon kwa hatua yao ya kuiunga mkono Hizbullah

    Saudia yawatishia Walebanon kwa hatua yao ya kuiunga mkono Hizbullah

    Sep 05, 2017 03:16

    Saudi Arabia imetoa radiamali ikijibu nafasi ya hivi karibuni ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah ya kutoa pigo kwa makundi ya kigaidi mashariki mwa nchi hiyo kwa kuwatishia wananchi wa Lebanon kutokana na hatua yao ya kuiunga mkono harakati hiyo ya Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS