Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Hizbullah: Lebanon sio nchi tena inayoogopa kupambana na utawala wa Israel

    Hizbullah: Lebanon sio nchi tena inayoogopa kupambana na utawala wa Israel

    Aug 14, 2017 07:45

    Mjumbe wa Baraza Kuu la harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Nabil Qaouk amesema kuwa Lebanon sio taifa ambalo linaogopa kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel au magenge ya ukufurishaji.

  • Sayyid Hassan Nasrullah: Israel itashindwa vibaya na kufedheheka katika vita yoyote ya baadaye

    Sayyid Hassan Nasrullah: Israel itashindwa vibaya na kufedheheka katika vita yoyote ya baadaye

    Aug 13, 2017 23:31

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah amesema kuwa, kushindwa na kufedheheka vitaukumba utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika vita yoyote ile itakayotokea, zaidi ya kushindwa kulikoukuta katika vita vya siku 33 vya mwaka 2006.

  • Jumatatu 07 Agosti, 2017

    Jumatatu 07 Agosti, 2017

    Aug 06, 2017 23:11

    Leo ni Jumatatu tarehe 14 Dhulqaada 1438 Hijria inayosadifiana na tarehe 7 Agosti 2017.

  • Hizbullah: Marekani na EU zinazuia wakimbizi wa Syria kurejea nchini kwao

    Hizbullah: Marekani na EU zinazuia wakimbizi wa Syria kurejea nchini kwao

    Jul 08, 2017 03:25

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani na Umoja wa Ulaya zimekuwa zikizuia wakimbizi wa Syria kurejea nchini kwao.

  • Iran yaendelea kufanya mashauriano kuhusu matukio yaliyojiri katika eneo

    Iran yaendelea kufanya mashauriano kuhusu matukio yaliyojiri katika eneo

    Jun 05, 2017 23:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Muhammad Javad Zarif, amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na mawaziri wa mambo ya nje wa Kuwait, Qatar, Lebanon, Algeria na Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya kuhusiana na matukio yanayoendelea kujiri katika eneo.

  • Jumanne, Juni 6, 2017

    Jumanne, Juni 6, 2017

    Jun 05, 2017 22:29

    Leo ni Jumanne mwezi 11 Ramadhani, 1438 Hijria mwafaka na tarehe 6 Juni 2017 Milaadia.

  • Maadhimisho ya siku ya ukombozi wa kusini mwa Lebanon

    Maadhimisho ya siku ya ukombozi wa kusini mwa Lebanon

    May 26, 2017 02:37

    Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, kuna udharura wa kubakishwa hai na kurithishwa vizazi vijavyo mafanikio ya muqawama wa wananchi wa Lebanon katika mapambano yao na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Maadhimisho ya ushindi wa kukombolewa eneo la kusini mwa Lebanon kutoka kwenye makucha ya Israel

    Maadhimisho ya ushindi wa kukombolewa eneo la kusini mwa Lebanon kutoka kwenye makucha ya Israel

    May 25, 2017 08:04

    Wakati Lebanon inaadhimisha mwaka wa 17 tangu eneo la kusini mwa nchi hiyo likombolewe kutoka kwenye makucha ya kukaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel, viongozi mbalimbali wa kijeshi na usalama wa nchi hiyo wamesisitizia ulazima wa kusimama imara na kukabiliana kwa wakati mmoja na Wazayuni na Wakufurishaji.

  • Hizbullah: Mgomo wa wafungwa wa Kipalestina, umewaumbua viongozi wa Kiarabu wanaojipendekeza kwa Israel

    Hizbullah: Mgomo wa wafungwa wa Kipalestina, umewaumbua viongozi wa Kiarabu wanaojipendekeza kwa Israel

    May 04, 2017 23:39

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa misimamo ya kishujaa iliyoonyeshwa na wafungwa wa Kipalestina walioko katika jela za kutisha za Israel katika kutetea matukufu ya taifa lao la Palestina, ni sauti ya muqawama wa kukabiliana na wavamizi wa Kizayuni.

  • Hizbullah: Israel itashindwa vibaya zaidi katika vita vipya

    Hizbullah: Israel itashindwa vibaya zaidi katika vita vipya

    Apr 21, 2017 03:06

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imesema kuwa, uwezo wake wa kijeshi ni jambo ambalo limeuzuia utawala haramu wa Israel kuanzisha hujuma na mashambulizi mapya dhidi ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS