-
Alkhamisi, 13 Aprili, 2017
Apr 12, 2017 22:50Leo ni Alkhamisi tarehe 15 Rajab 1438 Hijria, sawa na Aprili 13, 2017.
-
Jumatatu, 10 Aprili, 2017
Apr 09, 2017 23:07Leo ni Jumatatu tarehe 12 Rajab 1438 Hijria sawa na 10 Aprili 2017.
-
Hatua chanya za Lebanon katika njia ya kurejesha uthabiti wa kisiasa
Mar 29, 2017 08:03Hatua ya nne chanya ya kisiasa nchini Lebanon inasubiri kupitishwa na bunge la nchi hiyo.
-
Serikali ya Lebanon: Tunaihitajia sana Hizbullah kwa ajili ya ulinzi wa nchi
Mar 10, 2017 23:04Waziri Mshauri katika Masuala ya Ikulu ya Rais wa Lebanon, amesema kuwa nchi hiyo inaihitajia sana Harakati ya Hizbullah kwa ajili ya kukabiliana na kuzuia hujuma za utawala haramu wa Israel na makundi ya kigaidi dhidi ya ardhi ya nchi hiyo.
-
Mfalme wa Saudia asitisha safari yake Lebanon kwa kuumizwa na mahusiano ya Rais Aoun na Hizbullah
Mar 07, 2017 01:12Mfalme Salman bin Abdulaziz Al Saud wa nchini Saudia, amesitisha safari yake nchini Lebanon kutokana na misimamo chanya ya Rais Michel Aoun wa nchi hiyo katika kuunga mkono Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah.
-
Nabih Berri: Nchi za Kiislamu zifunge balozi zao zilizoko Marekani
Feb 21, 2017 10:28Spika wa Bunge la Lebanon ameziasa nchi za Kiislamu zifunge balozi zao zilizoko Marekani kulalamikia mpango wa Washington wa kutaka kuhamishia ubaloizi wake ulioko Israel huko Quds Tukufu.
-
Balozi wa Russia Lebanon: Hizbullah imetoa mchango muhimu katika vita dhidi ya ugaidi
Feb 21, 2017 00:35Balozi wa Russia nchini Lebanon Alexander Zasypkin ametangaza kuwa tangu Hizbullah ilipoasisiwa hadi hivi sasa imekuwa ni harakati ya muqawama na imetoa mchango muhimu katika mapambano dhidi ya ugaidi nchini Syria na katika kuleta uthabiti nchini Lebanon.
-
Lebanon: Hatua yoyote ya kichokozi ya Israel itapata jibu kali
Feb 19, 2017 03:05Rais Michel Aoun wa Lebanon ameonya kuwa, iwapo utawala haramu wa Israel utachukua hatua yoyote ya kukanyaga uhuru wa kujitawala nchi hiyo ya Kiarabu, basi ujiandae kwa jibu kali.
-
Sayyid Hassan Nasrullah: Hizbullah kamwe haiiogopi Israel wala Marekani
Feb 17, 2017 00:51Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, muqawama hauuogopi utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wala shetani mkuu Marekani.
-
Lebanon yataka kutatuliwa mgogoro wa Syria kwa njia za amani
Jan 27, 2017 03:50Rais wa Lebanon amesisitiza kuwa mgogoro wa Syria unapasa kupatiwa ufumbuzi kwa njia za amani na kisiasa.