-
Jeshi la Lebanon: Ayatullah Rafsanjani alikuwa akihami Lebanon na Palestina
Jan 12, 2017 12:15Kamanda Mkuu wa Jeshi la Lebanon amesema kuwa, marehemu Ayatullah Hashemi Rafsanjani, Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Iran, alikuwa daima akichukua misimamo ya heshima katika kuihami Lebanon na Palestina katika kukabiliana na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Rais wa Lebanon apongeza nafasi ya Iran katika eneo
Dec 24, 2016 04:19Rais Michel Aoun wa Lebanon amepongeza na kusifu nafasi ya Iran katika eneo la Mashariki ya Kati na kubainisha kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imechangia pakubwa kupatiwa ufumbuzi migogoro mbalimbali katika eneo.
-
Lebanon yatangaza baraza jipya la mawaziri linaoongozwa na Hariri
Dec 19, 2016 03:55Lebanon imetangaza baraza jipya la mawaziri linaloongozwa na Waziri Mkuu, Saad al-Hariri, wiki 6 baada ya kuchaguliwa Rais Michel Aoun.
-
Mufti wa Lebanon ataka ulimwengu uunge mkono kadhia ya Palestina
Dec 11, 2016 04:32Mufti mkuu wa Lebanon ametoa wito kwa walimwengu kuunga mkono kadhia ya Palestina.
-
Nasrullah azitaka nchi zote ziungane kukabiliana na tishio la Daesh
Dec 10, 2016 03:50Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kwa kusema: "Njia pekee iliyoko mbele yetu ni kuulinda ustaarabu wa Kiislamu, eneo na uwepo wetu kwa kukabiliana na ugaidi".
-
Zarif: Kadhia ya Palestina ndio suala kuu kwa Ulimwengu wa Kiislamu
Nov 08, 2016 12:18Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Muhammad Javad Zarif amesema kadhia ya Palestina ndio suala kuu kwa Ulimwengu wa Kiislamu.
-
Zarif: Muqawama umesambaratisha njama za magaidi Lebanon
Nov 08, 2016 04:00Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema harakati za kimuqawama ndizo zimesambaratisha njama za maadui na magaidi nchini Lebanon.
-
Vipaumbele vya Rais mpya wa Lebanon
Nov 08, 2016 00:45Rais Michel Aoun wa Lebanon ametangaza vipaumbele na masuala atakayoyapa umuhimu wa kwanza wakati wa kipindi cha miaka sita ya uongozi katika hotuba yake ya kwanza aliyotoa katika Ikulu ya Ba'abda mjini Beirut.
-
Rais Michel Aoun ataka kuimarishwa ushirikiano zaidi baina ya Lebanon na Syria
Nov 07, 2016 13:47Rais mpya wa Lebanon, Michel Aoun amesisitiza juu ya udharura wa kupanuliwa uhusiano wa pande mbili baina ya nchi yake na Syria.
-
Rais wa Lebanon amteua Saad Hariri kuwa Waziri Mkuu na kumtaka aunde serikali
Nov 03, 2016 12:55Rais Michel Aoun wa Lebanon amemteua Saada Hariri, kiongozi wa harakati ya al-Musatqbal kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo.