Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Duff: Kuchaguliwa Aoun kunaonesha Saudia inazidi kupoteza ushawishi

    Duff: Kuchaguliwa Aoun kunaonesha Saudia inazidi kupoteza ushawishi

    Nov 01, 2016 11:38

    Gordon Duff, Mhariri Mwandamizi wa jarida la Veterans Today la Marekani na pia mchambuzi wa masuala ya siasa amesema hatua ya Lebanon kupata rais mpya ni dhihirisho kuwa Saudi Arabia inazidi kupoteza ushawishi wake katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Bassil apongeza nafasi chanya ya Hizbullah katika uchaguzi wa Rais wa Lebanon

    Bassil apongeza nafasi chanya ya Hizbullah katika uchaguzi wa Rais wa Lebanon

    Nov 01, 2016 04:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon amesifu nafasi chanya ya Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya nchi hiyo katika uchaguzi wa rais uliofanyika jana.

  • Michel Aoun; Rais wa 13 wa Lebanon

    Michel Aoun; Rais wa 13 wa Lebanon

    Nov 01, 2016 04:18

    Baada ya dhoruba na mivutano mingi ya kisiasa, hatimaye Michel Aoun, muitifaki wa harakati ya muqawama ya Lebanon jana alichaguliwa na bunge la nchi hiyo kuwa rais wa 13 wa taifa hilo la Kiarabu.

  • Hatimaye Lebanon yapata Rais; Michel Aoun achaguliwa kuwa Rais

    Hatimaye Lebanon yapata Rais; Michel Aoun achaguliwa kuwa Rais

    Oct 31, 2016 11:02

    Hatimaye baada ya miaka miwili na nusu ya kutokuwa na Rais, Lebanon leo imepata Rais mpya wa nchi hiyo baada ya Michel Aoun kuchaguliwa kushika wadhifa huo.

  • Nasrallah: Hizbullah imezuia Lebanon kutumbukia katika mgogoro

    Nasrallah: Hizbullah imezuia Lebanon kutumbukia katika mgogoro

    Oct 30, 2016 01:08

    Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah , Sayyed Hassan Nasrallah amesema harakati hiyo imeizuia Lebanon kutumbukia katika migogoro inayoendelea sasa Mashariki ya Kati na kwamba jitihada zinahitajika kulinda uthabiti huo.

  • Sayyid Nasrullah: Saudia ni muungaji mkono mkuu wa ugaidi Mashariki ya Kati

    Sayyid Nasrullah: Saudia ni muungaji mkono mkuu wa ugaidi Mashariki ya Kati

    Oct 24, 2016 04:18

    Katibu Mkuu wa Harakati wa Hizbullah ya Lebanon Seyyed Hassan Nasrallah amesema, Saudi Arabia ndio muungaji mkono mkuu wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh katika eneo

  • Nasrallah: Uwahhabi ni hatari zaidi ya utawala wa Kizayuni

    Nasrallah: Uwahhabi ni hatari zaidi ya utawala wa Kizayuni

    Sep 27, 2016 10:38

    Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, amesema anaitazama itikadi ya misimamo mikali ya Uwahhabi kuwa hatari zaidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Zarif aipongeza Lebanon kwa kuipigisha magoti Israel

    Zarif aipongeza Lebanon kwa kuipigisha magoti Israel

    Aug 15, 2016 03:23

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemuandikia barua mwenzake wa Lebanon kwa mnasaba wa maadhimisho ya miaka 10 ya ushindi wa nchi hiyo dhidi ya askari vamizi wa utawala haramu wa Israel.

  • Nasrullah: Makundi kigaidi yanatumikia maslahi ya Marekani

    Nasrullah: Makundi kigaidi yanatumikia maslahi ya Marekani

    Aug 14, 2016 02:31

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon ameyataka makundi ya kigaidi na kitakfiri kuweka chini silaha na yatambue kuwa harakati zao hazina maslahi kwa yeyote isipokuwa adui Marekani.

  • Pendekezo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon la kumaliza mgogoro wa kubaki wazi kiti cha Urais

    Pendekezo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon la kumaliza mgogoro wa kubaki wazi kiti cha Urais

    Aug 12, 2016 22:19

    Baada jitihada zote zilizofanywa hadi sasa kumaliza hitilafu baina ya mirengo ya kisiasa ya Lebanon kwa ajili ya kumchagua rais mpya, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Gebran Bassil amesema njia pekee ya kutatua mgogoro ni kumchagua rais kwa maafikiano.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS