-
Duff: Kuchaguliwa Aoun kunaonesha Saudia inazidi kupoteza ushawishi
Nov 01, 2016 11:38Gordon Duff, Mhariri Mwandamizi wa jarida la Veterans Today la Marekani na pia mchambuzi wa masuala ya siasa amesema hatua ya Lebanon kupata rais mpya ni dhihirisho kuwa Saudi Arabia inazidi kupoteza ushawishi wake katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Bassil apongeza nafasi chanya ya Hizbullah katika uchaguzi wa Rais wa Lebanon
Nov 01, 2016 04:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon amesifu nafasi chanya ya Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya nchi hiyo katika uchaguzi wa rais uliofanyika jana.
-
Michel Aoun; Rais wa 13 wa Lebanon
Nov 01, 2016 04:18Baada ya dhoruba na mivutano mingi ya kisiasa, hatimaye Michel Aoun, muitifaki wa harakati ya muqawama ya Lebanon jana alichaguliwa na bunge la nchi hiyo kuwa rais wa 13 wa taifa hilo la Kiarabu.
-
Hatimaye Lebanon yapata Rais; Michel Aoun achaguliwa kuwa Rais
Oct 31, 2016 11:02Hatimaye baada ya miaka miwili na nusu ya kutokuwa na Rais, Lebanon leo imepata Rais mpya wa nchi hiyo baada ya Michel Aoun kuchaguliwa kushika wadhifa huo.
-
Nasrallah: Hizbullah imezuia Lebanon kutumbukia katika mgogoro
Oct 30, 2016 01:08Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah , Sayyed Hassan Nasrallah amesema harakati hiyo imeizuia Lebanon kutumbukia katika migogoro inayoendelea sasa Mashariki ya Kati na kwamba jitihada zinahitajika kulinda uthabiti huo.
-
Sayyid Nasrullah: Saudia ni muungaji mkono mkuu wa ugaidi Mashariki ya Kati
Oct 24, 2016 04:18Katibu Mkuu wa Harakati wa Hizbullah ya Lebanon Seyyed Hassan Nasrallah amesema, Saudi Arabia ndio muungaji mkono mkuu wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh katika eneo
-
Nasrallah: Uwahhabi ni hatari zaidi ya utawala wa Kizayuni
Sep 27, 2016 10:38Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, amesema anaitazama itikadi ya misimamo mikali ya Uwahhabi kuwa hatari zaidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Zarif aipongeza Lebanon kwa kuipigisha magoti Israel
Aug 15, 2016 03:23Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemuandikia barua mwenzake wa Lebanon kwa mnasaba wa maadhimisho ya miaka 10 ya ushindi wa nchi hiyo dhidi ya askari vamizi wa utawala haramu wa Israel.
-
Nasrullah: Makundi kigaidi yanatumikia maslahi ya Marekani
Aug 14, 2016 02:31Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon ameyataka makundi ya kigaidi na kitakfiri kuweka chini silaha na yatambue kuwa harakati zao hazina maslahi kwa yeyote isipokuwa adui Marekani.
-
Pendekezo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon la kumaliza mgogoro wa kubaki wazi kiti cha Urais
Aug 12, 2016 22:19Baada jitihada zote zilizofanywa hadi sasa kumaliza hitilafu baina ya mirengo ya kisiasa ya Lebanon kwa ajili ya kumchagua rais mpya, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Gebran Bassil amesema njia pekee ya kutatua mgogoro ni kumchagua rais kwa maafikiano.