-
Hizbollah yalaani 'hujuma' ya Jumuiya ya nchi za Kiarabu
Mar 13, 2016 04:05Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, imelaani hatua ya hivi karibuni ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuitaja harakati hiyo kuwa "kundi la kigaidi" na kusema uamuzi huo ni sawa na "tangazo la hujuma" kutoka Saudi Arabia.
-
Algeria yapinga kutajwa Hizbullah kuwa kundi la kigaidi
Mar 12, 2016 04:39Algeria kwa mara nyingine imepinga uamuzi wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusu kuitajwa Hizbullah kuwa kundi la kigaidi.
-
Hizbullah yasisitizia umoja wa Waislamu dhidi ya adui Mzayuni
Mar 10, 2016 21:43Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah nchini Lebanon, Sheikh Naim Qassem amesisitizia umuhimu wa kuendelezwa mapambano dhidi ya adui Mzayuni.
-
Marekani, Israel, Saudia zinachochea fitna Mashariki ya Kati
Mar 01, 2016 23:20Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani, utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudi Arabia zinachochea fitna na mizozo ya kimadhehebu katika eneo nyeti la Mashariki ya Kati.
-
Hizbullah: Hatuwezi kuiomba Saudia msamaha
Feb 28, 2016 04:33Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah imeukosoa utawala wa Saudi Arabia kwa kula njama ya kuitumbukiza Lebanon katika mzozo wa ndani na kuongeza kuwa katu haiwezi kuiomba msahama serikali ya Riyadh kwa kusema ukweli.
-
Mbinu mpya za Saudi Arabia za kushadidisha mgogoro wa kisiasa wa Lebanon
Feb 23, 2016 00:11Kufuatia kujiuzulu Waziri wa Sheria wa Lebanon, Ashraf Rifi siku ya Jumapili, dunia imeanza kushuhudia hila na njama mpya za Saudia Arabia zenye lengo la kupanua zaidi mgogoro wa kisiasa huko Lebanon.
-
Wabunge Lebanon washindwa tena kumchagua Rais
Feb 08, 2016 22:59Bunge la Lebanon lilikutana tena jana (Jumatatu) na kwa mara nyingine likashindwa kumchagua Rais kutokana na kutotimia idadi ya mahudhurio ya Wabunge kwa ajili ya zoezi hilo.
-
Aoun: Lebanon inahitaji Hizbullah kulinda mipaka yake
Feb 07, 2016 22:18Kiongozi wa chama cha Harakati Huru ya Kizalendo nchini Lebanon (FPM) amepongeza juhudi za Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah za kupambana na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh nchini Syria na kusisitiza kuwa, Lebanon inaiihitaji Hizbullah kulinda mipaka yake.