-
Kuendelea mivutano ya kisiasa nchini Libya
Apr 20, 2022 02:46Mivutano ya kisiasa imeongezeka huko Libya ambapo serikali inayoongozwa na Fathi Pashaga, inailaumu Serikali ya Umoja wa Kitaifa kwa kuibua mivutano hiyo na kutahadharisha kuwa serikali hiyo itabeba dhima ya tukio lolote litakalohatarisha maisha ya Walibya.
-
Libya yakataa kucheza na Israel mchezo wa vitara huko Imarati
Apr 12, 2022 10:26Timu ya taifa ya mchezo wa kushindana kwa vitara (fencing) ya Libya imekataa kucheza na utawala haramu wa Israel katika mashindano ya ubingwa wa mchezo huo katika Umoja wa Falme za Kiarabu, ili kuonesha mshikamano wao kwa wananchi wa Palestina.
-
Watu wanne waaga dunia baada ya boti yao kuzama pwani ya Libya
Apr 12, 2022 10:23Kwa akali watu wanne wamethibitishwa kupoteza maisha baada ya boti iliyokuwa imewabeba kuzama katika Bahari ya Mediterrania, pwani ya Libya.
-
Jitihada za kumshawishi Al-Dbeibeh akabidhi madaraka Libya zaendelea
Mar 31, 2022 02:25Waziri Mkuu mpya wa Libya Fathi Bashagha amesema jitihada zinafanywa za kumshawishi waziri mkuu wa serikali ya mpito Abdul Hamid al-Dbeibah akubali kung'atuka madarakani na kumkabidhi yeye hatamu za uongozi.
-
Tume ya Uchaguzi Libya: Tupo tayari kwa uchaguzi kukiwepo makubaliano
Mar 20, 2022 07:42Tume ya Uchaguzi Libya imesema ipo tayari kuendesha zoezi la uchaguzi mara tu makubaliano ya kisiasa yatakapofikiwa.
-
Kampuni ya Taifa ya Mafuta ya Libya yasitisha uzalishaji; baada ya visima kushambuliwa
Mar 07, 2022 12:21Kampuni ya Taifa ya Mafuta ya Libya imetangaza kusitisha uzalishaji wa mafuta katika visima viwili vikubwa nchini humo.
-
Arab League yaelezea wasiwasi wake kuhusu hali ya kisiasa nchini Libya
Mar 07, 2022 11:31Kuongezeka kwa tofauti kati ya mirengo ya Libya kuhusu utungaji wa sheria za uchaguzi wa rais na wabunge kumekuwa tishio kubwa kwa mchakato wa uchaguzi, kwa kadiri kwamba Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Ahmed Aboul Gheit ameeleza wasiwasi wake juu ya hali ya kisiasa ya nchi hiyo na umuhimu wa kuwepo mwafaka na maridhiano ya kisiasa.
-
Umoja wa Mataifa kupatanisha Libya baada ya serikali hasimu kuapishwa
Mar 05, 2022 14:11Umoja wa Mataifa umetangaza utayarifu wa kupatanisha mgogoro wa kisiasa nchini Libya baada ya kuibuka serikali mbili hasimu.
-
Mawaziri wawili wa serikali mpya ya Libya watekwa nyara
Mar 04, 2022 08:04Kundi la wanamgambo wenye silaha limewateka nyara mawaziri wawili wa serikali mpya ya nchi hiyo.
-
Baraza jipya la mawaziri latangazwa mashariki mwa Libya
Mar 02, 2022 13:29Baraza jipya la mawaziri nchini Libya limeidhinishwa na Bunge lenye makao yake makuu mashariki mwa nchi hiyo, hatua ambayo inaweza kuzua wakati wowote mvutano mkubwa na serikali ya umoja wa kitaifa inayoongozwa na Waziri Mkuu Abdulhamid Dbeibah huko Tripoli.