-
Rais wa Niger akosoa udhaifu wa nchi jirani katika kupambana na ugaidi
Dec 09, 2021 04:39Rais wa Niger amezikosoa nchi jirani katika mapambano ya kukabiliana na ugaidi na magendo ya silaha kutoka Libya katika eneo la Sahel Afrika.
-
Saiful Islam Gaddafi kukatiza ndoto ya Khalifa Haftar ya kutawala Libya?
Dec 04, 2021 02:37Kurejea kwa Saif al-Islam Gaddafi katika kinyang'anyiro cha urais, kutokana na uamuzi wa Mahakama ya Sabha (kusini mwa Libya), kumechanganya tena karata nchini Libya, hasa kutokana na kukithiri kwa mizozo na mivutano kati yake na Jenerali mstaafu, Khalifa Haftar katika maeneo ya kusini mwa nchi hiyo.
-
Mwana wa kiume wa Muammar Gaddafi akataliwa kugombea urais
Nov 25, 2021 08:03Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Libya imewakatalia shakhsia 25 akiwemo Saiful Islam Gaddafi mwana wa kiume wa kiongozi wa zamani wa Libya Kanali Muammar Gaddafi kugombea uchaguzi ujao wa rais nchini humo.
-
Waziri Mkuu wa mpito Libya naye pia ajitosa kwenye kinyang'anyiro cha urais
Nov 23, 2021 02:42Siku moja kabla ya kufungwa kwa shughuli ya kuwasilisha fomu ya kuwania uchaguzi wa urais wnchini Libya, Waziri Mkuu wa mpito, Abdel Hamid Dbeibah, naye pia jana alijitangaza kuwa atawania katika uchaguzi huo.
-
Maafa ya wahajiri kuelekea Ulaya; watu zaidi ya 75 wazama katika pwani ya Libya
Nov 21, 2021 08:18Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limeripoti kuwa, wahamiaji haramu zaidi ya 75 wamefariki dunia baada ya boti yao kuzama katika pwani ya magharibi mwa Libya. Wahajiri hao haramu wamekumbwa na mauti Jumatano iliyopita katika jitihada za kuelekea barani Ulaya.
-
Jenerali Haftar, ajenti wa zamani wa CIA atangaza kugombea urais wa Libya
Nov 17, 2021 03:01Khalifa Haftar, kamanda wa kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya (LNA) ametangaza kuwa atagombea urais wa nchi hiyo katika uchaguzi uliopangwa kufanyika mwezi ujao wa Desemba.
-
Walibya waandamana wakipinga kukubaliwa Saiful Islam Gaddafi kugombea urais
Nov 16, 2021 02:34Raia wa maeneo ya magharibi mwa Libya wamefunga vituo vya kupigia kura wakipinga hatua ya mwana wa kiume wa kiongozi wa zamani wa Libya, Saiful Islam Gaddafi ya kuwania kiti cha urais katika uchaguzi ujao nchini humo.
-
Mkutano wa Paris wataka askari wa kigeni walioivamia Libya waondoke nchini humo
Nov 13, 2021 11:36Washiriki wa mkutano wa Paris, mji mkuu wa Ufaransa wametaka kufanyike uchaguzi katika tarehe iliyopangwa nchini Libya, kama ambavyo wamehimiza pia wajibu wa kutoka wanajeshi wa kigeni nchini humo.
-
Haftar aafiki kutimuliwa mamluki 300 wa kigeni nchini Libya
Nov 12, 2021 07:52Wawakilishi wa Jenerali mstaafu Khalifa Haftar katika kamati ya kijeshi inayojulikana kwa jina la kundi la 5+5 huko Libya wamesema kuwa wameafiki kuondolewa wapiganaji mamluki 300 wa kigeni katika maeneo yanayodhibitiwa la kundi la linalojiiita Jeshi la Taifa la Libya.
-
Kuanza zoezi la uandikishaji wa wagombea Urais na Ubunge katika uchaguzi wa Libya
Nov 09, 2021 07:47Hatimaye baada ya miezi kadhaa ya mazungumzo na vuta nikuvute baina ya makundi na mirengo tofauti ya kisiasa nchini Libya, uandikishaji majina ya wagombea wa kiti cha urais na Bunge ulianza Jumatatu ya jana tarehe 8 Novemba.