-
Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yaonya kukabiliana na meli za adui
Jul 23, 2020 06:39Jeshi la serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya limetangaza kuwa, liko tayari kukabiliana na meli yoyote ya adui itakayoingia katika maji ya Libya.
-
Kuafiki bunge la Misri jeshi la nchi hiyo lipelekwe Libya
Jul 22, 2020 02:33Wakati mgogoro na mapigano yangali yanaendelea nchini Libya, uingiliaji wa madola ajinabi katika masuala ya ndani ya nchi hiyo umezidi kuongezeka. Katika mwendelezo wa uingiliaji huo, siku ya Jumatatu bunge la Misri lilitoa idhini kwa rais Abdel Fattah el Sisi ya kutuma askari na kujiingiza kijeshi nchini Libya itapolazimu kufanya hivyo; na vilevile likaafikiana na mpango wa kutumwa vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo nje ya nchi kwa ajili ya shughuli za kijeshi.
-
Uturuki na Misri katika ncha ya kutumbukia kwenye vita nchini Libya
Jul 19, 2020 06:39Kushadidi hitilafu za Uturuki na Misri kuhusiana na kadhia ya Libya kumezifanya nchi hizo zipigane makumbo katika Umoja wa Mataifa na taasisi nyingine za kimataifa.
-
Mahakama ya ICC yaanza kufuatilia faili la makaburi ya umati huko Libya
Jul 19, 2020 03:16Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) yenye makao yake huko Hague Uholanzi imeanza kufuatilia uwepo wa makaburi ya umati katika mji wa Tarhuna huko Libya.
-
Erdoğan: Tutaiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya kukabiliana na Misri
Jul 18, 2020 07:59Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema kuwa nchi yake itaiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya kukabiliana na Misri na kamwe haitowaacha mkono wananchi wa Libya.
-
Mamluki 160 wakamatwa Sudan wakielekea Libya kupigana vita
Jul 17, 2020 14:44Sudan imesema, imewatia nguvuni watu 160 wakiwemo raia wa kigeni ambao walikuwa mbioni kuelekea Libya kwa lengo la kupigana kama mamluki katika vita vya ndani vya nchi hiyo.
-
Afisa wa serikali ya Sudan akanusha madai nchi yake inashiriki katika mapigano huko Libya
Jul 17, 2020 02:43Naibu Mkuu wa Kamati ya Kisiasa ya Baraza la Mpito la Uongozi nchini Sudan amekanusha madai kuwa nchi hiyo inahusika katika mapigano yanayojiri nchini Libya au kutuma mamluki nchini humo.
-
Marais wa Misri na Ufaransa wajadiliana mgogoro wa Libya
Jul 16, 2020 12:32Marais wa Misri na Ufaransa wamefanya mazungumzo ya simu kuhusiana na mgogoro wa Libya.
-
Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani akiri kuhusu msimamo dhaifu wa EU mkabala na mgogoro wa Libya
Jul 15, 2020 07:26Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani amesema kuwa Umoja wa Ulaya umedhihirisha msimamo dhaifu katika kushughulikia mgogoro wa Libya.
-
Kuendelea mgogoro wa Libya na kushadidi uingiliaji wa kigeni katika masuala ya nchi hiyo
Jul 15, 2020 02:53Mgogoro wa Libya unaendelea kushuhudiwa huku nchi hiyo ikiwa imegeuzwa kuwa uwanja wa vita vya niaba baina ya mataifa mbalimbali.