Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Libya: Kudai Haftar kwamba ataanzisha mashambulio mapya ni vitisho vya kutumia vyombo vya habari

    Libya: Kudai Haftar kwamba ataanzisha mashambulio mapya ni vitisho vya kutumia vyombo vya habari

    Jul 15, 2019 07:15

    Msemaji wa vikosi vya serikali ya mapatano ya kitaifa ya Libya amesema, vitisho vilivyotolewa na vikosi vya mashariki mwa nchi hiyo vinavyoongozwa na Khalifa Haftar kwamba vitaanzisha mashambulio mapya dhidi ya mji mkuu Tripoli ni uogofyaji na uenezaji hofu kwa kutumia vyombo vya habari.

  • Kiongozi mmoja wa Daesh aangamizwa nchini Libya

    Kiongozi mmoja wa Daesh aangamizwa nchini Libya

    Jul 14, 2019 02:19

    Kiongozi mmoja wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) ameangamizwa katika shambulizi la anga wapiganaji wanaoijiita Jeshi la Taifa la Libya wanaoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar.

  • HRW, Amnesty zataka kufungwa vituo vya kuwazuilia wahajiri Libya

    HRW, Amnesty zataka kufungwa vituo vya kuwazuilia wahajiri Libya

    Jul 12, 2019 15:18

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu ya Human Rights Watch, Amnesty International na Baraza la Ulaya la Wakimbizi na Wahajiri (ECRE) yametoa mwito wa kufungwa kambi za kuwazuilia wakimbizi na wahajiri nchini Libya.

  • Kansela wa Ujerumani asisitizia ulazima wa kuacha kuiuzia silaha Libya

    Kansela wa Ujerumani asisitizia ulazima wa kuacha kuiuzia silaha Libya

    Jul 11, 2019 04:01

    Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amesisitiza kupatikana njia ya kidiplomasia kwa ajili ya kuutatua mgogoro wa Libya na kuitolea wito jamii ya kimataifa kuacha kuiuzia silaha nchi hiyo.

  • Umoja wa Afrika walaani uingiliaji wa kigeni katika masuala ya ndani ya Libya

    Umoja wa Afrika walaani uingiliaji wa kigeni katika masuala ya ndani ya Libya

    Jul 09, 2019 02:32

    Baraza la Usalama la Amani la Umoja wa Afrika limelaani vikali uingiliaji wa kigeni katika masuala ya ndani ya Libya.

  • 14 wauawa katika mapigano Tripoli, mji mkuu wa Libya

    14 wauawa katika mapigano Tripoli, mji mkuu wa Libya

    Jul 07, 2019 13:35

    Maafisa jeshi wa Libya wamearifu kuwa watu 14 wameuawa katika mapigano huko Tripoli mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Watu elfu moja wauawa Libya, Misri na Imarati zatuhumiwa kushambulia wahajiri

    Watu elfu moja wauawa Libya, Misri na Imarati zatuhumiwa kushambulia wahajiri

    Jul 06, 2019 04:07

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Wahajiri limetangaza kuwa, tangu mwezi Aprili mwaka huu hadi hivi sasa, karibu watu elfu moja wameshauawa nchini Libya.

  • Putin: Magaidi wanatorokea Libya, wakitokea Syria

    Putin: Magaidi wanatorokea Libya, wakitokea Syria

    Jul 05, 2019 07:18

    Rais Vladimir Putin wa Russia ameonya kuwa, mgogoro wa kiusalama Libya huenda ukapanuka zaidi kutokana na wimbi la wananchama wa magenge ya kigaidi ambao wanatorokea nchi hiyo, wakitokea katika mkoa wa Idlib uliko kaskazini magharibi mwa Syria.

  • Uungaji mkono wa rais wa Misri kwa Haftar katika mazungumzo yake ya simu na Trump

    Uungaji mkono wa rais wa Misri kwa Haftar katika mazungumzo yake ya simu na Trump

    Jul 05, 2019 07:09

    Msemaji wa Ikulu ya Rais wa Misri amesema kuwa rais wa nchi hiyo amezungumza na mwenzake wa Marekani kuhusiana na masuala ya Libya na Sudan.

  • Kuongezeka uingiliaji wa kigeni nchini Libya; takwa la kufanyika uchunguzi kuhusu uwepo wa silaha za Marekani

    Kuongezeka uingiliaji wa kigeni nchini Libya; takwa la kufanyika uchunguzi kuhusu uwepo wa silaha za Marekani

    Jul 04, 2019 08:02

    Sanjari na kushadidi vita na mapigano nchini Libya, uingiliaji wa kigeni katika nchi hiyo nao umeongezeka.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS