Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Vita vya kuwania ngawira Libya vyapamba moto baina ya Ufaransa na Italia

    Vita vya kuwania ngawira Libya vyapamba moto baina ya Ufaransa na Italia

    Jul 22, 2018 03:28

    Mtandao wa habari wa Algeria umefichua kuwa Ufaransa na Italia zinachuana vikali kuwania ngawira zaidi huko Libya na kwamba wakati mwingine mchuano huo unafikia kiwango cha mapigano na vita vya kisiasa.

  • Wahajiri 8 wakiwemo watoto 6 waaga dunia kwenye kontena Libya

    Wahajiri 8 wakiwemo watoto 6 waaga dunia kwenye kontena Libya

    Jul 17, 2018 07:06

    Wahajiri wanane wakiwemo watoto sita wamepoteza maisha baada ya kuishiwa na hewa wakiwa ndani ya kasha la kusafirishia mizigo katika mji wa Zuwara ulioko katika pwani ya magharibi mwa Libya.

  • Mjumbe wa UN nchini Libya: Mamluki maajinabi wanataka kuzidhibiti vyanzo vya mafuta vya nchi hiyo

    Mjumbe wa UN nchini Libya: Mamluki maajinabi wanataka kuzidhibiti vyanzo vya mafuta vya nchi hiyo

    Jul 17, 2018 02:51

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia mgogoro wa Libya amesema kuhusu matukio ya hivi karibuni nchini humo kuwa mamluki kutoka nchi ajinabi wanajaribu kudhibiti mafuta ya Libya.

  • EU yafungua ubalozi wake wa Libya uliofungwa 2014

    EU yafungua ubalozi wake wa Libya uliofungwa 2014

    Jul 15, 2018 07:07

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, Federica Mogherini ameitembelea Tripoli, mji mkuu wa Libya na kufungua upya ubalozi wa umoja huo uliohamishiwa Tunis, mji mkuu wa Tunisia mwaka 2014.

  • Mashambulizi ya NATO Libya, yamewaletea raia wa nchi hiyo aina kadhaa za saratani

    Mashambulizi ya NATO Libya, yamewaletea raia wa nchi hiyo aina kadhaa za saratani

    Jul 15, 2018 03:48

    Nouri al-Daruqi, Mtafiti wa nchini Libya amesema kuwa aina kadhaa za ugonjwa wa saratani zimeibuka baada ya Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) kuishambulia kijeshi nchi hiyo mwaka 2011.

  • Wafanyakazi wauawa katika kituo cha maji nchini Libya

    Wafanyakazi wauawa katika kituo cha maji nchini Libya

    Jul 07, 2018 13:40

    Wabeba silaha wasiojulikana wamewapiga risasi na kuwaua wafanyakazi wawili na kuwateka nyara wengine wawili katika kituo cha kusambaza maji kusini mashariki mwa Libya mapema leo asubuhi. Shambulizi hilo ni la pili kulenga vituo vya kusambaza maji nchini humo katika kipindi cha siku mbili zilizopita.

  • ICC yatoa waranti nyingine ya kukamatwa kamanda wa jeshi la Libya

    ICC yatoa waranti nyingine ya kukamatwa kamanda wa jeshi la Libya

    Jul 05, 2018 13:28

    Kwa mara nyingine tena, majaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) wametoa waranti ya kutiwa nguvuni kamanda wa Jeshi la Taifa la Libya (LNA) anayetuhumiwa kuua makumi ya wafungwa wa kitakfiri.

  • Wahajiri 63 wahofiwa kufa maji baada ya boti yao kuzama pwani ya Libya

    Wahajiri 63 wahofiwa kufa maji baada ya boti yao kuzama pwani ya Libya

    Jul 03, 2018 15:37

    Wahajiri 63 wametoweka baada ya boti yao kuzama katika pwani ya Libya, wakiwa katika jitihada za kuvuka bahari ya Mediterranean na kuingia barani Ulaya kutafuta maisha.

  • Machafuko ya karibunii Libya yaathiri vibaya uchumi wa nchi

    Machafuko ya karibunii Libya yaathiri vibaya uchumi wa nchi

    Jul 03, 2018 03:07

    Shirika la Taifa la Mafuta la Libya limetangaza kuwa mapigano ya hivi karibuni katika eneo la Hilali ya Mafuta nchini humo yamesababisha hasara ya mamilioni ya dola kwa uchumi wa nchi hiyo.

  • Jenerali Khalifa Haftari aonya kuhusu kuweko majeshi ya kigeni Libya

    Jenerali Khalifa Haftari aonya kuhusu kuweko majeshi ya kigeni Libya

    Jun 30, 2018 07:41

    Jenerali Khalifa Haftari, kamanda wa kikosi kinachojulikana kama Jeshi la Taifa la Libya ameonya kuhusiana na kuweko kwa vikosi vya kigeni kusini mwa nchi hiyo kwa kisingizio cha kupambana na uhajiri haramu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS