-
Jeshi la Libya latangaza kukomboa kikamilifu mji wa Derna
Jun 29, 2018 07:22Vikosi vya Jeshi la Taifa la Libya vinavyoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar vimetangaza kuwa vimeshafanikiwa kukomboa kikamilifu mji wa Derna ulioko mashariki mwa nchi hiyo.
-
UNHCR: Misaada itolewe kwa ajili ya kuimarisha amani Libya, Mali na Niger
Jun 26, 2018 14:41Mkuu wa Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kutolewa misaada ya kifedha kwa ajili ya kuimarisha amani katika nchi za Mali, Niger na Libya.
-
Karibu wahajiri elfu moja wazuiwa kusafiri katika fukwe za Libya
Jun 25, 2018 14:37Karibu wahajiri elfu moja waliokuwa mbioni kupanda mitumbwi kuelekea barani Ulaya kupitia bahari ya Mediterranean wamezuia kusafiri katika kipindi cha masaa 24 yaliyopita kwenye fukwe za Libya.
-
Libya yafurahishwa na uamuzi wa kuanzishwa tena safari za ndege baina yake na Syria
Jun 24, 2018 15:11Waziri wa Uchumi na Viwanda wa Libya amepongeza uamuzi uliotangazwa na Waziri wa Usafiri na Uchukuzi wa Syria kuhusu kuanzishwa tena safari za ndege baina ya nchi hizo mbili.
-
Mapigano yaripotiwa kuendelea kwenye Hilali ya Mafuta, Libya
Jun 22, 2018 03:45Msemaji wa Jeshi la Libya amesema kuwa mapigano bado yanaendelea kati ya jeshi hilo la makundi ya waasi katika eneo linalojulikana kama Hilali ya Mafuta nchini humo.
-
Wahajiri haramu 191 waokolewa katika pwani za Libya
Jun 19, 2018 07:36Askari wa gadi ya pwani ya Libya wamewaokoa wahajiri haramu 191 katika pwani za nchi hiyo.
-
Dereva wa Bin Laden atiwa mbaroni nchini Libya
Jun 18, 2018 07:34Dereva wa aliyekuwa kiongozi wa mtandao wa al Qaida, Usama bin Laden ametiwa mbaroni katika mji wa Derna wa mashariki mwa Libya.
-
Mufti Mkuu wa Libya aishambulia Imarati kwa kuchochea machafuko nchini mwake
Jun 16, 2018 04:04Mufti Mkuu wa Libya, Sheikh Sadiq al Ghariani ameushambulia vikali Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kwa kueneza fitna na kuchochea chuki na uhasama katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Wanamgambo washambulia taasisi za mafuta mashariki mwa Libya
Jun 14, 2018 14:56Afisa mmoja wa jeshi la Libya amesema, wanamgambo wenye silaha wameshambulia taasisi za mafuta zilizoko chini ya Jenerali Khalifa Haftar mashariki mwa nchi hiyo na kuchoma moto kwa uchache tangi moja la mafuta.
-
Serikali ya Libya yapendekeza mpango wa kuharakisha utatuzi wa mgogoro wa nchi hiyo
Jun 11, 2018 02:41Mjumbe wa Baraza Kuu la serikali ya Libya ametangaza kuwa serikali hiyo imewasilisha mpango maalumu kwenye Baraza la Wawakilishi la Tobruk kwa ajili ya kutatua mgogoro wa nchi hiyo.