Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • UN yakemea kutekwa nyara Mwendesha Mashtaka wa Jeshi Libya

    UN yakemea kutekwa nyara Mwendesha Mashtaka wa Jeshi Libya

    Mar 21, 2018 04:05

    Kikosi cha Walinda Amani wa Umoja wa Mataifa nchini Libya kimetoa wito wa kuchukuliwa hatua za dharura za kulinda usalama wa Mwendesha Mashtaka wa Jeshi nchini Libya.

  • Zimwi la Gaddafi lamuandama Sarkozy wa Ufaransa; azuiliwa

    Zimwi la Gaddafi lamuandama Sarkozy wa Ufaransa; azuiliwa

    Mar 20, 2018 15:56

    Rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy, anazuiliwa na polisi ya mjini Paris, kwa ajili ya kusailiwa kuhusu tuhuma za kufadhiliwa na Libya katika uchaguzi wa mwaka 2007.

  • Seif al-Islam Gaddafi ajiandikisha kugombea urais nchini Libya

    Seif al-Islam Gaddafi ajiandikisha kugombea urais nchini Libya

    Mar 20, 2018 08:01

    Mkuu wa Mipango ya Mwana wa Kanali Muammar Gaddafi, yaani Seif al-Islam Gaddafi ametangaza kuwa, mwana huyo wa kiongozi wa zamani wa Libya ameandikisha jina lake la kuwa miongoni mwa wagombea katika uchaguzi ujao wa rais nchini humo.

  • Mamia ya watu wameuawa au kutekwa nyara Libya mwaka jana 2017

    Mamia ya watu wameuawa au kutekwa nyara Libya mwaka jana 2017

    Mar 18, 2018 06:47

    Taasisi ya Haki za Binadamu ya "Mshikamano" ya nchini Libya imetoa ripoti ikieleza kuwa mwaka jana wa 2017 matukio 744 ya mauaji na utekaji nyara yaliripotiwa na kusajiliwa nchini humo.

  • Mkuu wa Baraza Kuu la Serikali Libya anusurika jaribio la kumuua

    Mkuu wa Baraza Kuu la Serikali Libya anusurika jaribio la kumuua

    Mar 16, 2018 04:57

    Idara ya Habari ya Mkuu wa Baraza Kuu la Serikali ya Libya imetangaza kuwa, kiongozi huyo na ujumbe uliokuwa ukiandamana naye umenusurika jaribio la kuuawa huko magharibi mwa nchi hiyo.

  • Ofisi ya Mashtaka Libya yatoa waranti wa kutiwa nguvuni wahusika zaidi ya 200 wa magendo ya binadamu

    Ofisi ya Mashtaka Libya yatoa waranti wa kutiwa nguvuni wahusika zaidi ya 200 wa magendo ya binadamu

    Mar 15, 2018 07:51

    Ofisi ya Mkuu wa Mashtaka wa serikali ya Libya imetoa waranti wa kutiwa nguvuni zaidi ya watu 200 wanaohusika na mtandao mkubwa wa magendo ya binadamu kuelekea pwani ya Ulaya.

  • Imarati inatumia pesa zilizozuiwa za Libya kuwaunga mkono wapiganaji wa Haftar

    Imarati inatumia pesa zilizozuiwa za Libya kuwaunga mkono wapiganaji wa Haftar

    Mar 12, 2018 13:46

    Makamu wa pili wa Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Libya amesema kuwa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) unatumia pesa zilizozuiwa za Libya kuwaunga mkono wapiganaji wa kamanda wa jeshi la taifa la nchi hiyo.

  • Libya yashambulia meli ya kigeni katika mpaka wake wa baharini

    Libya yashambulia meli ya kigeni katika mpaka wake wa baharini

    Mar 11, 2018 16:20

    Jeshi la Anga la Libya limesema kuwa, limeshambulia meli moja ya kigeni ambayo imeingia katika maji ya mashariki mwa nchi hiyo kinyume cha sheria.

  • Jeshi la Libya lawapa wahajiri wa Kiafrika muda wa siku 9 wawe wameshatoka nchini humo

    Jeshi la Libya lawapa wahajiri wa Kiafrika muda wa siku 9 wawe wameshatoka nchini humo

    Mar 09, 2018 03:45

    Jeshi la taifa la Libya jana (Alkhamisi) liliwapa wahajiri wa Kiafrika muda wa siku tisa wahakikishe wameshaondoka katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Watu watatu wauawa katika mapigano ya kusini mwa Libya

    Watu watatu wauawa katika mapigano ya kusini mwa Libya

    Mar 07, 2018 07:33

    Ofisi ya habari ya kituo cha afya mjini Sabha, kusini mwa Libya imetangaza habari ya kuuawa watu watatu katika mapigano mapya yaliyotokea mjini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS