-
Wavuvi wa Libya wawakuta pwani wahajiri 28 wakiwa wameaga dunia
Apr 19, 2017 07:12Wavuvi wa Libya wamepata miili ya wahajiri 28 katika pwani ya nchi hiyo ambao wanasadikiwa kuwa waliaga dunia kutokana na kiu na njaa, baada ya boti yao kupasuka katika pwani ya mji wa Sabratha. Hayo yameelezwa na afisa wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Libya.
-
Takwa kwa jamii ya kimataifa la kuingilia haraka kadhia ya Libya
Apr 18, 2017 03:52Kufuatia kuendelea vurugu na machafuko nchini Libya na kuweko uwezekano wa kuibuka tena vita vya ndani katika maeneo ya kusini mwa nchi hiyo, Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya imeitaka jamii ya kimataifa iingilie kati mgogoro wa nchi hiyo na kuhitimisha machafuko ya ndani.
-
Waziri Mkuu wa Libya aiomba jamii ya kimataifa iingilie kati kukomesha machafuko nchini humo
Apr 17, 2017 02:54Serikali ya maridhiano ya kitaifa ya Libya imeiomba jamii ya kimataifa ichukue hatua za kuingilia kati haraka ili kukomesha machafuko nchini humo.
-
Wahajiri elfu tatu waokolewa katika pwani ya Libya
Apr 16, 2017 07:18Maelfu ya wahajiri wamenusurika kufa maji baada ya boti zao kuzama katika bahari ya Mediterania, wakiwa katika juhudi za kuelekea barani Ulaya.
-
Wasiwasi wa Guterres kuhusu hatari ya mabaki ya wanamgambo wa ISIS nchini Libya
Apr 16, 2017 06:29Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres Ijumaa usiku alitahadharisha kuhusu uwezekano wa kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) kuteka tena baadhi ya maeneo nchini Libya.
-
Katibu Mkuu wa UN atahadharisha kuwa Daesh wanaweza kuidhibiti tena Libya
Apr 15, 2017 04:47Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusu hatari ya kupanuka zaidi udhibiti wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika maeneo mbalimbali ya Libya na hali mbaya inayotawala maeneo yanayodhibitiwa na kundi hilo.
-
Wahajiri karibu 100 watoweka pwani ya Libya
Apr 14, 2017 07:33Karibu wahamiaji 100 wametoweka baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama katika maji ya pwani mwa Libya wakiwa mbioni kuelekea Ulaya.
-
Libya yaituhumu EU kuwa imekataa kutekeleza ahadi zake kuhusu wahajiri
Apr 12, 2017 03:53Waziri Mkuu wa serikali ya Libya inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa ameukosoa Umoja wa Ulaya (EU) kwa kukataa kutekeleza ahadi ulizozitoa kuhusu kuipatia ufumbuzi kadhia ya magendo wa wahajiri.
-
UN: Wahajiri wa Kiafrika wanauzwa kati ya dola 200 na 500
Apr 11, 2017 15:24Wakala wa wahamiaji wa Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kutokana kile kinachoonekana ni kurejea kwa biashara ya utumwa.
-
Kuendelea mgogoro wa Libya na hatari ya kugawanywa nchi hiyo
Apr 11, 2017 14:57Mshauri wa Rais wa Marekani ametoa pendekezo la kugawanywa nchi ya Libya katika nchi tatu zinazojitawala. Pendekezo hilo limetolewa katika kipindi hiki ambapo Libya inaendelea kuzongwa na mgogoro mkubwa wa kisiasa.