Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Uzalishaji mafuta wakwama tena kusini magharibi mwa Libya

    Uzalishaji mafuta wakwama tena kusini magharibi mwa Libya

    Apr 11, 2017 03:46

    Uzalishaji wa mafuta katika medani ya al Sharara ya kusini magharibi mwa Libya umekwama tena baada ya watu wenye silaha kufunga bomba moja la kusafirishia mafuta.

  • Wafanya magendo ya binadamu wanne wauawa pwani ya Libya

    Wafanya magendo ya binadamu wanne wauawa pwani ya Libya

    Apr 07, 2017 07:54

    Watu wanne wanaotuhumiwa kufanya magendo ya bindamu wameuawa katika makabiliano na askari wa Gadi ya Pwani ya Libya.

  • Wahajiri zaidi ya 150 waokolewa katika pwani ya Libya

    Wahajiri zaidi ya 150 waokolewa katika pwani ya Libya

    Apr 04, 2017 03:29

    Msemaji wa jeshi la majini wa Libya amesema kuwa, wahajiri zaidi ya 150 wameokolewa katika pwani ya nchi hiyo katika bahari ya Mediterania.

  • Makabila ya kusini mwa Libya yatia saini makubaliano ya amani mjini Roma, Italia

    Makabila ya kusini mwa Libya yatia saini makubaliano ya amani mjini Roma, Italia

    Apr 03, 2017 04:40

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Italia imetangaza habari ya kutiwa saini makubaliano ya amani na makabila ya kusini mwa Libya mjini Roma, kwa lengo la kusimamia mpaka wa kusini mwa nchi hiyo wenye urefu wa kilometa 5000.

  • Makumi ya wahajiri haramu watiwa nguvuni Libya wakijaribu kuingia Ulaya

    Makumi ya wahajiri haramu watiwa nguvuni Libya wakijaribu kuingia Ulaya

    Mar 28, 2017 08:11

    Askari wa kikosi cha Gadi ya Pwani ya Libya wamewatia nguvuni wahajiri haramu 60 wenye uraia wa Bangladesh ambao walikuwa wanajaribu kuingia barani Ulaya kupitia Bahari ya Mediterranean.

  • Marekani: Ni kweli tunao askari maalumu nchini Libya kwa ajili ya ujasusi

    Marekani: Ni kweli tunao askari maalumu nchini Libya kwa ajili ya ujasusi

    Mar 27, 2017 12:35

    Marekani imekiri kuwa ina imetuma askari maalumu nchini Libya kwa ajili ya ujasusi na kukusanya habari za kiintelejensia.

  • Libya: Uturuki ndio inayounga mkono makundi ya kigaidi yanayofanya jinai Libya

    Libya: Uturuki ndio inayounga mkono makundi ya kigaidi yanayofanya jinai Libya

    Mar 20, 2017 03:02

    Msemaji wa wapiganaji wa serikali yenye makao yake huko mashariki mwa Libya ameiarifisha rasmi Uturuki kuwa ndio muungaji mkono mkubwa wa makundi ya kigaidi nchini humo.

  • Safari ya Waziri Mkuu wa Libya nchini Sudan yaakhirishwa

    Safari ya Waziri Mkuu wa Libya nchini Sudan yaakhirishwa

    Mar 15, 2017 16:30

    Ziara ya Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya nchini Sudan imeakhirishwa kutokana na matukio ya kiusalama nchini humo.

  • Russia yamuunga mkono kamanda wa jeshi la Libya

    Russia yamuunga mkono kamanda wa jeshi la Libya

    Mar 14, 2017 08:03

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia na Kamanda wa jeshi la taifa la Libya wamefanya mazungumzo kuhusu kuendeleza ushirikiano wa kijeshi kati ya pande mbili.

  • Jeshi la Libya lashambulia maeneo ya al Qaida

    Jeshi la Libya lashambulia maeneo ya al Qaida

    Mar 13, 2017 07:07

    Jeshi la Libya limefanya mashambulizi ya anga dhidi ya maeneo ya kundi la kigaidi la al Qaida katika eneo lenye mafuta mengi linalojulikana kwa jina la "Hilali ya Mafuta" kaskazini mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS