-
Kuna uwezekano mwana wa Gaddafi kurejea madarakani nchini Libya
Mar 09, 2017 04:08Gazeti la Ra'ayul-Yaum linalochapishwa mjini London, Uingereza limeandika kuwa kuna uwezekano Saiful-Islam Gaddafi, mwana wa kiume wa aliyekuwa dikteta wa Libya Muammar Gaddafi akarejea madarakani nchini humo.
-
Mgogoro wa kisiasa Libya na kufutwa makubaliano ya Skhirat
Mar 08, 2017 13:23Mgogoro wa kisiasa umechukua sura mpya nchini Libya baada ya bunge la nchi hiyo kubatilisha makubaliano ya Skhirat yaliyounda Baraza la Uongozi pamoja na Serikali ya Umoja wa Kitaifa inayoongozwa na Fayez Sarraj.
-
Shambulio la kundi la kigaidi kwenye vituo vya mafuta nchini Libya
Mar 05, 2017 12:14Sambamba na kuendelea migogoro ya kisiasa na kutokuwepo usalama nchini Libya, kwa mara nyingine kundi moja la wabeba silaha limeweza kudhibiti kituo cha mafuta katika eneo linalojulikana kwa jina maarufu la 'Hilali ya Mafuta' kaskazini mashariki mwa Libya.
-
Wahajiri wa Kiafrika wazidi kufa maji wakielea Ulaya
Mar 04, 2017 07:21Makumi ya wahajiri wa Kiafrika wanahofiwa kufa maji katika Bahari ya Mediterranean wakijaribu kuelekea barani Ulaya.
-
UN yatahadharisha kuhusu hali ya wakimbizi wanawake na watoto nchini Libya
Feb 28, 2017 16:15Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kuhusu hali mbaya ya wakimbizi wanawake na watoto katika kambi za wakimbizi zilizoko nchini Libya.
-
Watu kadhaa wauawa katika mripuko wa bomu Libya
Feb 26, 2017 16:15Gari lililokuwa limetegwa bomu limeripuka katika mji wa Benghazi wa mashariki mwa Libya na kuua na kujeruhi watu kadhaa.
-
Makubaliano ya kusitisha mapigano yafikiwa nchini Libya
Feb 25, 2017 14:12Baraza la Uongozi la Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya limetangaza kuwa, kumefikiwa makubaliano ya kusitisha mapigano katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli.
-
Misri yataka mikono ya kigeni isiingilie masuala ya ndani ya Libya
Feb 24, 2017 08:11Serikali ya Misri imesema, kuna wajibu wa kufanyika juhudi za kutosha za kuwasaidia Walibya kutatua migogoro yao, lakini bila ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.
-
UN yazishukuru nchi jirani na Libya
Feb 23, 2017 03:03Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya amezishukuru nchi jirani na Libya kwa jitihada zao za kutafuta suluhisho la mgogoro wa ndani wa nchi hiyo.
-
Juhudi za majirani wa Libya za kuupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo
Feb 22, 2017 07:51Katika kuendelea juhudi za kieneo kwa shabaha ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa sasa wa kisiasa wa Libya, Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa nchi jirani na nchi hiyo wamesisitiza upinzani wao dhidi ya kutumika nguvu ya aina yoyote ya kijeshi kwa ajili ya kuhitimisha mgogoro wa nchi hiyo.