Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Jeshi la Libya lashambulia maeneo ya al Qaida

    Jeshi la Libya lashambulia maeneo ya al Qaida

    Mar 13, 2017 03:37

    Jeshi la Libya limefanya mashambulizi ya anga dhidi ya maeneo ya kundi la kigaidi la al Qaida katika eneo lenye mafuta mengi linalojulikana kwa jina la "Hilali ya Mafuta" kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Kuna uwezekano mwana wa Gaddafi kurejea madarakani nchini Libya

    Kuna uwezekano mwana wa Gaddafi kurejea madarakani nchini Libya

    Mar 09, 2017 00:38

    Gazeti la Ra'ayul-Yaum linalochapishwa mjini London, Uingereza limeandika kuwa kuna uwezekano Saiful-Islam Gaddafi, mwana wa kiume wa aliyekuwa dikteta wa Libya Muammar Gaddafi akarejea madarakani nchini humo.

  • Mgogoro wa kisiasa Libya na kufutwa makubaliano ya Skhirat

    Mgogoro wa kisiasa Libya na kufutwa makubaliano ya Skhirat

    Mar 08, 2017 09:53

    Mgogoro wa kisiasa umechukua sura mpya nchini Libya baada ya bunge la nchi hiyo kubatilisha makubaliano ya Skhirat yaliyounda Baraza la Uongozi pamoja na Serikali ya Umoja wa Kitaifa inayoongozwa na Fayez Sarraj.

  • Shambulio la kundi la kigaidi kwenye vituo vya mafuta nchini Libya

    Shambulio la kundi la kigaidi kwenye vituo vya mafuta nchini Libya

    Mar 05, 2017 08:44

    Sambamba na kuendelea migogoro ya kisiasa na kutokuwepo usalama nchini Libya, kwa mara nyingine kundi moja la wabeba silaha limeweza kudhibiti kituo cha mafuta katika eneo linalojulikana kwa jina maarufu la 'Hilali ya Mafuta' kaskazini mashariki mwa Libya.

  • Wahajiri wa Kiafrika wazidi kufa maji wakielea Ulaya

    Wahajiri wa Kiafrika wazidi kufa maji wakielea Ulaya

    Mar 04, 2017 03:51

    Makumi ya wahajiri wa Kiafrika wanahofiwa kufa maji katika Bahari ya Mediterranean wakijaribu kuelekea barani Ulaya.

  • UN yatahadharisha kuhusu hali ya wakimbizi wanawake na watoto nchini Libya

    UN yatahadharisha kuhusu hali ya wakimbizi wanawake na watoto nchini Libya

    Feb 28, 2017 12:45

    Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kuhusu hali mbaya ya wakimbizi wanawake na watoto katika kambi za wakimbizi zilizoko nchini Libya.

  • Watu kadhaa wauawa katika mripuko wa bomu Libya

    Watu kadhaa wauawa katika mripuko wa bomu Libya

    Feb 26, 2017 12:45

    Gari lililokuwa limetegwa bomu limeripuka katika mji wa Benghazi wa mashariki mwa Libya na kuua na kujeruhi watu kadhaa.

  • Makubaliano ya kusitisha mapigano yafikiwa nchini Libya

    Makubaliano ya kusitisha mapigano yafikiwa nchini Libya

    Feb 25, 2017 10:42

    Baraza la Uongozi la Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya limetangaza kuwa, kumefikiwa makubaliano ya kusitisha mapigano katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli.

  • Misri yataka mikono ya kigeni isiingilie masuala ya ndani ya Libya

    Misri yataka mikono ya kigeni isiingilie masuala ya ndani ya Libya

    Feb 24, 2017 04:41

    Serikali ya Misri imesema, kuna wajibu wa kufanyika juhudi za kutosha za kuwasaidia Walibya kutatua migogoro yao, lakini bila ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.

  • UN yazishukuru nchi jirani na Libya

    UN yazishukuru nchi jirani na Libya

    Feb 22, 2017 23:33

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya amezishukuru nchi jirani na Libya kwa jitihada zao za kutafuta suluhisho la mgogoro wa ndani wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS