Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • UN: Kesi ya mtoto wa rais wa zamani wa Libya ipelekwe ICC

    UN: Kesi ya mtoto wa rais wa zamani wa Libya ipelekwe ICC

    Feb 22, 2017 04:07

    Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kupelekwa faili la kesi ya Saif al-Islam Gaddafi, mwana wa Kanali Muammar Gaddafi, kiongozi wa zamani wa Libya katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

  • Hilali Nyekundu: Wahajiri 74 wafa maji pwani ya Libya wakielekea Ulaya

    Hilali Nyekundu: Wahajiri 74 wafa maji pwani ya Libya wakielekea Ulaya

    Feb 21, 2017 13:55

    Shirika la Hilala Nyekundu la Libya limesema makumi ya wahajiri wamekufa maji katika Bahari ya Mediterranean wakijaribu kuelekea barani Ulaya.

  • Marekani, Ulaya zatuhumiwa kuunga mkono ugaidi Libya

    Marekani, Ulaya zatuhumiwa kuunga mkono ugaidi Libya

    Feb 19, 2017 14:28

    Jenerali Khalifa Haftar wa Libya amezituhumu nchi kadhaa za Ulaya na Marekani kuwa zinaunga mkono makundi ya kigaidi nchini Libya.

  • Vikao vya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Libya na changamoto zilizopo

    Vikao vya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Libya na changamoto zilizopo

    Feb 19, 2017 02:41

    Juhudi za kieneo na kimataifa za kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Libya zingali zinaendelea huku kukiwa hakuna kikao chochote kati ya vilivyofanyika ambacho hadi sasa kimeweza kuupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo. Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Tunisia, Algeria na Misri kwa mara nyingine tena wanatazamiwa kukutana huko Tunisia kujadili njia za kukomesha mgogoro wa miaka sita wa Libya.

  • Wahajiri haramu raia wa Senegal, waliokuwa wanaelekea Ulaya, warejeshwa makwao

    Wahajiri haramu raia wa Senegal, waliokuwa wanaelekea Ulaya, warejeshwa makwao

    Feb 17, 2017 04:05

    Wahajiri haramu 170 raia wa Senegal waliokuwa wamekusudia kuelea barani Ulaya na waliokuwa wamehifadhiwa katika kambi maalumu mjini Tripol, Libya wamerejeshwa makwao.

  • Libya yaiomba Nato msaada wa kijeshi

    Libya yaiomba Nato msaada wa kijeshi

    Feb 16, 2017 15:44

    Serikali ya Libya inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa imeuomba Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) usaidie kuimarisha majeshi yake.

  • Uchaguzi wa Rais na Bunge Libya kufanyika kabla ya Februari 2018

    Uchaguzi wa Rais na Bunge Libya kufanyika kabla ya Februari 2018

    Feb 15, 2017 07:59

    Uchaguzi wa Rais na Bunge wa Libya umepangwa kufanyika kufikia mwezi Februari mwaka kesho.

  • Radiamali ya serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya kufuatia kuundwa gadi ya taifa huko Tripoli

    Radiamali ya serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya kufuatia kuundwa gadi ya taifa huko Tripoli

    Feb 13, 2017 04:22

    Serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya imelaani kuundwa kikosi cha wanajeshi kwa jina la Gadi ya Taifa huko Tripoli mji mkuu wa nchi hiyo chenye mfungamano na serikali ya Uokovu.

  • Kuendelea mgogoro wa Libya na uingiliaji wa kigeni ndani ya nchi hiyo

    Kuendelea mgogoro wa Libya na uingiliaji wa kigeni ndani ya nchi hiyo

    Feb 13, 2017 04:20

    Katika hali ambayo kwa mara ya kwanza António Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, ameshindwa kupasisha jina la Salam Fayyad Waziri Mkuu wa zamani wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kuwa mjumbe maalumu wa umoja huo katika masuala ya Libya, mgogoro wa nchi hiyo unaendelea kushtadi siku hadi siku huku Marekani ikiendelea kutoa pingamizi dhidi ya mwanasiasa huyo wa Palestina.

  • UN yataka suala la wakimbizi Libya lishughulikiwe ipasavyo

    UN yataka suala la wakimbizi Libya lishughulikiwe ipasavyo

    Feb 11, 2017 16:38

    Maafisa kadhaa wa ngazi za juu wa Umoja wa Mataifa wametaka kuchukuliwe hatua za kivitendo za kufuatilia hali ya wakimbizi wa nchini Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS