Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

London

  • NATO na changamoto zinazoikabili wakati inaadhimisha mwaka wa 70 wa kuasisiwa kwake

    NATO na changamoto zinazoikabili wakati inaadhimisha mwaka wa 70 wa kuasisiwa kwake

    Dec 04, 2019 08:12

    Nchi wanachama wa shirika la kijeshi la NATO zinakutana mjini London, Uingereza katika mkutano unaoadhimisha mwaka wa 70 tangu kuasisiwa shirika hilo la kijeshi, huku tofauti kubwa na changamoto za mivutano zilizopo ambazo hazijawahi kushuhudiwa, zikiuweka mashakani mustakabali wake.

  • Takwimu za mauaji ya watu London zimezidi za mji wa New York, Marekani

    Takwimu za mauaji ya watu London zimezidi za mji wa New York, Marekani

    Aug 09, 2019 06:32

    Polisi ya London imetangaza kuwa, takwimu za mauaji yanayofanyika katika mji mkuu huo wa Uingereza zimezidi zile za mauaji yanayofanyika kila siku katika mji wa New York huko Marekani.

  • Wanaharakati mjini London, Uingereza wataka kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky

    Wanaharakati mjini London, Uingereza wataka kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky

    Jul 10, 2019 04:20

    Wanaharakati wa Kiislamu na wa haki za binadamu mjini London Uingereza wamelaani vikali kuendelea kushikiliwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria pamoja na mkewe na kutoa wito wa kuachiliwa huru wawili hao.

  • Kikao cha pande nne cha London na uungaji mkono juu ya kudumishwa vita vya Yemen

    Kikao cha pande nne cha London na uungaji mkono juu ya kudumishwa vita vya Yemen

    Apr 30, 2019 04:02

    Tokea mwezi Machi 2015 Saudi Arabia ikishirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu, Imarati, zimekuwa zikiendesha vita vya kidhalimu dhidi ya watu wa Yemen. Marekani na Uingereza pia zimekuwa na mchango mkubwa katika vita hivyo kwa kuzipa nchi mbili hizo za Kiarabu msaada mkubwa wa kilojistiki, habari za siri na kijeshi.

  • Maandamano yashuhudiwa London baada ya kukamatwa mwasisi wa Wikileaks

    Maandamano yashuhudiwa London baada ya kukamatwa mwasisi wa Wikileaks

    Apr 12, 2019 04:29

    Maandamano yameshuhudiwa nje ya ubalozi wa Ecuador mjini London baada ya polisi ya Uingereza kumtia mbaroni mwasisi wa mtandao unaofichua fedheha nyingi za nchi na viongozi mbalimbali duniani wa WikiLeaks, Julian Assange, ambaye amekuwa akiishi ubalozini hapo tokea mwaka 2012.

  • Maandamano makubwa yafanyika London kupinga ubaguzi

    Maandamano makubwa yafanyika London kupinga ubaguzi

    Mar 17, 2019 04:26

    Makumi ya maelfu ya watu walikusanyika kati kati ya mji mkuu wa Uingereza, London jana Jumamosi kulaani na kupinga chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) na ubaguzi wa rangi.

  • Chini ya masaa 24 baada ya jinai dhidi ya Waislamu New Zealand, magaidi washambulia msikiti mjini London Uingereza

    Chini ya masaa 24 baada ya jinai dhidi ya Waislamu New Zealand, magaidi washambulia msikiti mjini London Uingereza

    Mar 16, 2019 07:59

    Katika kipindi cha chini ya masaa 24 tangu magaidi kufanya jinai kubwa na ya kutisha dhidi ya Waislamu nchini New Zealand, magaidi wengine wameuvamia msikiti moja mjini London na kumjeruhi kijana mmoja wa Kiislamu.

  • Kiongozi wa upinzani Uingereza: London inapasa kusitisha uungaji mkono wake kwa muungano vamizi huko Yemen

    Kiongozi wa upinzani Uingereza: London inapasa kusitisha uungaji mkono wake kwa muungano vamizi huko Yemen

    Aug 13, 2018 02:51

    Kiongozi wa upinzani nchini Uingereza amesema kuwa serikali ya London inapasa kuacha kunga mkono mapigano huko Yemen na kusitisha mgogoro wa kibinadamu uliosababishwa na mapigano hayo.

  • Maandamano makubwa ya wananchi wa Uingereza wakipinga safari ya Trump mjini London

    Maandamano makubwa ya wananchi wa Uingereza wakipinga safari ya Trump mjini London

    Jul 13, 2018 15:23

    Wimbi kubwa la wananchi wa Uingereza limefanya maandamano makubwa kupinga ziara ya Rais wa Marekani mjini London. Maandamano hayo yamefanyika kufuatia wito uliotolewa na taasisi za kutetea haki za binadamu na harakati zinazopinga vita za nchini humo.

  • Trump akaribishwa London kwa wimbi kubwa la maandamano

    Trump akaribishwa London kwa wimbi kubwa la maandamano

    Jul 13, 2018 04:12

    Rais Donald Trump wa Marekani aliwasili London, mji mkuu wa Uingereza na kukaribishwa kwa wimbi kubwa la maandamano ya wananchi waliokuwa na hasira ambao wanapinga safari yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS