Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Mwangwi wa hasira za wananchi wa Morocco dhidi ya jinai za Israel

    Mwangwi wa hasira za wananchi wa Morocco dhidi ya jinai za Israel

    Apr 08, 2025 11:55

    Maelfu ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano huko Rabat, mji mkuu wa nchi hiyo wakilaani jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Ghaza na kutaka kufutwa makubaliano ya kuwa na uhusiano wa kawaida kati ya Morocco na utawala wa Kizayuni.

  • Waisraeli waandamana kupinga kuanza tena vita vya Gaza

    Waisraeli waandamana kupinga kuanza tena vita vya Gaza

    Apr 08, 2025 06:41

    Maelfu ya waandamanaji wamejitokeza katika mitaa ya Tel Aviv kushiriki katika maandamano mapya ya kupinga serikali ya utawala haramu wa Israel, wakati ambapo Waziri Mkuu, Benjamin Netanyahu alipokutana na Rais wa Marekani, Donald Trump mjini Washington.

  • Maandamano ya kumpinga Trump yamesababishwa na mambo mengi

    Maandamano ya kumpinga Trump yamesababishwa na mambo mengi

    Apr 08, 2025 02:27

    Huku wananchi wa Marekani wakiendelea kukasirishwa na siasa za kidikteta na uingiliaji kati za Trump, Elon Musk na serikali yao, wataalamu wanasema kuna sababu nyingi zilizopelekea mamia ya maelfu ya watu wajitokeze kote Marekani na nje ya Marekani kupinga siasa za Washington.

  • Wananchi wa Morocco waandamana kulaani jinai za Israel Gaza

    Wananchi wa Morocco waandamana kulaani jinai za Israel Gaza

    Apr 07, 2025 11:36

    Maelfu ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano makubwa katikati mwa mji mkuu wa Rabat kulaani mashambulio mapya ya utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Serikali ya DRC na waasi wa M23 kufanya mazungumzo ya kwanza Aprili 9 nchini Qatar

    Serikali ya DRC na waasi wa M23 kufanya mazungumzo ya kwanza Aprili 9 nchini Qatar

    Apr 02, 2025 10:38

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imepanga kufanya mazungumzo ya kwanza kabisa na kundi la waasi wa M23, April 9 mwaka huu katika mji mkuu wa Qatar, Doha kwa lengo la kufikia mwafaka wa kurejesha amani katika eneo la mashariki mwa nchi hiyo.

  • Kuongezeka hatua za Trump dhidi ya vyuo vikuu na wanafunzi wanaowatetea Wapalestina

    Kuongezeka hatua za Trump dhidi ya vyuo vikuu na wanafunzi wanaowatetea Wapalestina

    Mar 30, 2025 07:05

    Katika muhula wake wa pili wa urais, Donald Trump, rais mpya wa Marekani kwa mara nyingine tena ameamua kutumia mtindo alioutumia katika muhula wake wa kwanza wa kuuunga mkono bila mpaka utawala wa Kizayuni wa Israel na kuchukua hatua mpya za kuisaidia na kuihami Israel dhidi ya Wapalestina.

  • Waziri wa zamani wa vita wa Israel: Tunakabiliwa na 'mgogoro mkubwa zaidi katika historia yetu'

    Waziri wa zamani wa vita wa Israel: Tunakabiliwa na 'mgogoro mkubwa zaidi katika historia yetu'

    Mar 21, 2025 03:22

    Waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel Moshe Ya'alon ametoa mwito kwa waandamanaji kuendeleza maandamano yao ili kuiangusha serikali ya Benjamin Netanyahu na kuhitimisha alichokiita 'mgogoro mkubwa zaidi katika historia ya Israel'.

  • Waandamanaji New York washinikiza kuachiliwa Mahmoud Khalil

    Waandamanaji New York washinikiza kuachiliwa Mahmoud Khalil

    Mar 14, 2025 02:30

    Waandamanaji wanaoiunga mkono Palestina walikusanyika nje ya mahakama ya Manhattan jijini New York nchini Marekani, wakitaka mwanaharakati wa Kipalestina, Mahmoud Khalil aachiliwe huru.

  • Duru za Palestina zakanusha madai ya US kwamba HAMAS imekubali kupokonywa silaha

    Duru za Palestina zakanusha madai ya US kwamba HAMAS imekubali kupokonywa silaha

    Mar 12, 2025 02:40

    Duru moja ya Palestina yenye taarifa za mazungumzo yaliyofanyika kati ya HAMAS na serikali ya Marekani imekanusha ripoti zinazodai kuwa harakati hiyo ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina imekubali kupokonywa silaha mkabala wa kutekelezwa usitishaji vita baina yake na utawala wa Kizayuni wa muda mrefu huko Gaza.

  • Wanachuo US walaani ukatili dhidi ya waandamanaji wanaounga mkono Palestina

    Wanachuo US walaani ukatili dhidi ya waandamanaji wanaounga mkono Palestina

    Mar 07, 2025 02:32

    Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Columbia cha Marekani wamekosoa vikali jinsi uongozi wa chuo hicho unavyoshughulikia maandamano ya waungaji mkono wa Palestina, wakiushutumu uongozi huo kwa kusaliti jukumu lale na kuwadhaminia usalama wanafunzi na uhuru wao wa kujieleza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS