Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuriko

  • Kiongozi wa Mapinduzi: Kazi ya msingi sasa ni kuwafidia waathirika wa mafuriko na ukarabati

    Kiongozi wa Mapinduzi: Kazi ya msingi sasa ni kuwafidia waathirika wa mafuriko na ukarabati

    Apr 03, 2019 15:35

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amewasisitizia wakuu wa nchi kuwa kazi muhimu sasa ni ukarabati na ujenzi mpya wa maeneo yaliyoharibiwa katika mafuriko yalioyokumba maeneo mengi ya Iran na pia kuwalipa fidia waathirika.

  • Rouhani: Kuzuia misaada ya kibinadamu kwa waathiriwa wa mafuriko ni jinai isiyo na mfano

    Rouhani: Kuzuia misaada ya kibinadamu kwa waathiriwa wa mafuriko ni jinai isiyo na mfano

    Apr 03, 2019 15:00

    Rais Hassan Rouhani amesema kitendo cha Marekani cha kufunga njia za kufikisha misaada ya kibinadamu kwa waathiriwa wa mafuriko hapa nchini Iran ni jinai ambayo haijawahi kushuhudiwa na isiyo na mfano wake.

  • UN yataka misaada ya kibinadamu iondolewe katika vikwazo dhidi ya Iran

    UN yataka misaada ya kibinadamu iondolewe katika vikwazo dhidi ya Iran

    Apr 03, 2019 14:55

    Mkuu wa Ofisi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa sanjari na kueleza kusikitishwa kwake na taathira hasi za mafuriko yaliyoua makumi ya watu nchini Iran, ametoa mwito wa kuondolewa misaada ya kibinadamu katika orodha ya vikwazo dhidi ya taifa hili.

  • Qassemi: Marekani imezuia misaada ya kibinadamu kuwafikia wahanga wa mafuriko nchini Iran

    Qassemi: Marekani imezuia misaada ya kibinadamu kuwafikia wahanga wa mafuriko nchini Iran

    Apr 02, 2019 14:13

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Bahram Qassemi, amesema kuwa Marekani imefunga akaunti za Shirika la Hilali Nyekundu hatua ambayo ina maana ya kufunga mlango wa kutumwa misaada ya nchi tofauti za dunia kwa waathirika wa mafuriko yaliyoyakumba maeneo mbalimbali ya Iran.

  • Wairaq watangaza mshikamano na waathiriwa wa mafuriko nchini Iran

    Wairaq watangaza mshikamano na waathiriwa wa mafuriko nchini Iran

    Mar 31, 2019 13:15

    Kufuatia mafuriko yaliyoikumba mikoa kadhaa ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, makundi tofauti ya Wairaq yametangaza mshikamano wao na waathirika wa mafuriko hayo kwa kuchukua hatua ya kukusanya misaada ya fedha na isiyo ya fedha kwa ajili ya watu hao.

  • Idadi ya waliopoteza maisha katika mafuriko Iran yapindukia 40

    Idadi ya waliopoteza maisha katika mafuriko Iran yapindukia 40

    Mar 31, 2019 08:02

    Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha katika maeneo kadhaa ya Iran imeongezeka na kufikia 42.

  • Rais Rouhani: Serikali itafidia hasara walizopata waathiriwa wa mafuriko

    Rais Rouhani: Serikali itafidia hasara walizopata waathiriwa wa mafuriko

    Mar 27, 2019 16:10

    Rais Hassan Rouhani amesema: Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu itahakikisha kwa suhula zote ilizonazo na kwa uwezo wake wote inafidia hasara walizopata watu wote walioathiriwa na mafuriko.

  • Kiongozi Muadhamu atoa ujumbe na kutaka kusaidiwa haraka waathiriwa wa mafuriko ya Shiraz

    Kiongozi Muadhamu atoa ujumbe na kutaka kusaidiwa haraka waathiriwa wa mafuriko ya Shiraz

    Mar 26, 2019 15:12

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amemtumia ujumbe Khatibu wa Swala ya Ijumaa wa mji wa Shiraz wa kusini mwa Iran ambapo sambamba na kutoa mkono wa pole na salamu za rambirambi kwa wananchi waliopatwa na msiba, ametoa wito kuongezwa kasi katika shughuli ya ufikishaji misaada kwa waathiriwa wa janga hilo.

  • Rais Rouhani ataka kushughulikiwa haraka hali ya waathiriwa wa mafuriko Iran

    Rais Rouhani ataka kushughulikiwa haraka hali ya waathiriwa wa mafuriko Iran

    Mar 26, 2019 15:10

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kusisitiza kushughulikiwa haraka hali ya wananchi waliokumbwa na janga la mafuriko katika maeneo mbalimbali hapa nchini amesema kuwa, asasi zote zinapaswa kufanya juhudi maradufu kwa ajili ya kuhakikisha wananchi hao wanafikiwa na misaada haraka iwezekanavyo.

  • Mataifa mbalimbali yatuma salamu za pole na rambirambi kufuatia janga la mafuriko Iran

    Mataifa mbalimbali yatuma salamu za pole na rambirambi kufuatia janga la mafuriko Iran

    Mar 26, 2019 03:08

    Kufuatia mafuriko yaliyoikumba mikoa kadhaa ya Iran na kupelekea kwa akali watu 19 kufariki dunia na makumi ya wengine kujeruhiwa, balozi za nchi mbalimbali hapa Tehran zimetoa mkono wa pole kwa familia zilizopoteza ndugu zao walioaga dunia katika maafa haya ya mafuriko.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS