Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuriko

  • Rouhani: Mafuriko ya Iran yamefichua 'hulka chafu' ya watawala wa Marekani

    Rouhani: Mafuriko ya Iran yamefichua 'hulka chafu' ya watawala wa Marekani

    Apr 17, 2019 13:49

    Rais Hassan Rouhani ameashiria hatua ya Marekani ya kuzuia kutumwa misaada ya nchi nyingine kwa ajili ya wahanga wa mafuriko hapa nchini Iran, akisisitiza kuwa kitendo hicho kwa mara nyingine tena kimedhihirisha hulka chafu ya watawala wa Washington.

  • Iran: Kwa mara nyingine Marekani imedhihirisha udhalili wake

    Iran: Kwa mara nyingine Marekani imedhihirisha udhalili wake

    Apr 16, 2019 06:58

    Msemaji wa Kamati ya Uongozi ya Baraza la Wanazuoni Wataalamu Wanaomchagua Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, hatua ya Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya ya kuzuia kutumwa misaada ya nchi nyingine kwa ajili ya wahanga wa mafuriko nchini Iran, imedhihirisha udhalili wake wa kukabiliana na ubinaadamu na haki za msingi za kibinaadamu.

  • UN yaanzisha utaratibu wa kibenki wa ufikishaji misaada ya fedha taslimu kwa waathirika wa mafuriko Iran

    UN yaanzisha utaratibu wa kibenki wa ufikishaji misaada ya fedha taslimu kwa waathirika wa mafuriko Iran

    Apr 08, 2019 16:25

    Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa nchini Iran amesema: Umoja wa Mataifa umeanzisha utaratibu maalumu wa kibenki kwa ajili ya kufikisha misaada ya fedha taslimu kwa waathirika wa mafuriko nchini Iran.

  • Iran: Watu wenye ushawishi wakabiliane na hatua zisizo za kibinadamu za Marekani

    Iran: Watu wenye ushawishi wakabiliane na hatua zisizo za kibinadamu za Marekani

    Apr 07, 2019 07:51

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezitaka nchi na watu wenye ushawishi duniani kupambana na mienendo na hatua zisizo za kibinadamu za Marekani.

  • Kiongozi wa Mapinduzi: Kazi ya msingi sasa ni kuwafidia waathirika wa mafuriko na ukarabati

    Kiongozi wa Mapinduzi: Kazi ya msingi sasa ni kuwafidia waathirika wa mafuriko na ukarabati

    Apr 03, 2019 15:35

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amewasisitizia wakuu wa nchi kuwa kazi muhimu sasa ni ukarabati na ujenzi mpya wa maeneo yaliyoharibiwa katika mafuriko yalioyokumba maeneo mengi ya Iran na pia kuwalipa fidia waathirika.

  • Rouhani: Kuzuia misaada ya kibinadamu kwa waathiriwa wa mafuriko ni jinai isiyo na mfano

    Rouhani: Kuzuia misaada ya kibinadamu kwa waathiriwa wa mafuriko ni jinai isiyo na mfano

    Apr 03, 2019 15:00

    Rais Hassan Rouhani amesema kitendo cha Marekani cha kufunga njia za kufikisha misaada ya kibinadamu kwa waathiriwa wa mafuriko hapa nchini Iran ni jinai ambayo haijawahi kushuhudiwa na isiyo na mfano wake.

  • UN yataka misaada ya kibinadamu iondolewe katika vikwazo dhidi ya Iran

    UN yataka misaada ya kibinadamu iondolewe katika vikwazo dhidi ya Iran

    Apr 03, 2019 14:55

    Mkuu wa Ofisi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa sanjari na kueleza kusikitishwa kwake na taathira hasi za mafuriko yaliyoua makumi ya watu nchini Iran, ametoa mwito wa kuondolewa misaada ya kibinadamu katika orodha ya vikwazo dhidi ya taifa hili.

  • Qassemi: Marekani imezuia misaada ya kibinadamu kuwafikia wahanga wa mafuriko nchini Iran

    Qassemi: Marekani imezuia misaada ya kibinadamu kuwafikia wahanga wa mafuriko nchini Iran

    Apr 02, 2019 14:13

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Bahram Qassemi, amesema kuwa Marekani imefunga akaunti za Shirika la Hilali Nyekundu hatua ambayo ina maana ya kufunga mlango wa kutumwa misaada ya nchi tofauti za dunia kwa waathirika wa mafuriko yaliyoyakumba maeneo mbalimbali ya Iran.

  • Wairaq watangaza mshikamano na waathiriwa wa mafuriko nchini Iran

    Wairaq watangaza mshikamano na waathiriwa wa mafuriko nchini Iran

    Mar 31, 2019 13:15

    Kufuatia mafuriko yaliyoikumba mikoa kadhaa ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, makundi tofauti ya Wairaq yametangaza mshikamano wao na waathirika wa mafuriko hayo kwa kuchukua hatua ya kukusanya misaada ya fedha na isiyo ya fedha kwa ajili ya watu hao.

  • Idadi ya waliopoteza maisha katika mafuriko Iran yapindukia 40

    Idadi ya waliopoteza maisha katika mafuriko Iran yapindukia 40

    Mar 31, 2019 08:02

    Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha katika maeneo kadhaa ya Iran imeongezeka na kufikia 42.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS