Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuta

  • Iran: Njama za Marekani kwa ajili ya kuzuia uuzaji nje mafuta ni ndoto

    Iran: Njama za Marekani kwa ajili ya kuzuia uuzaji nje mafuta ni ndoto

    Jul 17, 2018 15:46

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Es'haq Jahangiri amesema kuwa njama za Marekani za kutaka kutuzuia uuzaji nje mafuta ya Iran ni ndoto potofu.

  • Kuzuia usafirishaji mafuta ya Iran; kutoka matamshi mpaka utekelezaji kivitendo

    Kuzuia usafirishaji mafuta ya Iran; kutoka matamshi mpaka utekelezaji kivitendo

    Jul 10, 2018 12:30

    Mjadala wa kuyawekea vikwazo mafuta ya Iran na kuzuia kabisa usafirishwaji na uuzaji nje wa bidhaa hiyo ya Iran umezingatiwa na vituo vya utafiti ambavyo vimetahadharisha kwamba, hatua hiyo itapelekea kupanda kwa bei ya bidhaa hiyo na kufikia hadi dola 150 kwa pipa.

  • India: Tunanunua mafuta ya Iran kwa maslahi yetu ya kitaifa sio ya Marekani

    India: Tunanunua mafuta ya Iran kwa maslahi yetu ya kitaifa sio ya Marekani

    Jul 09, 2018 13:38

    Waziri wa Mafuta wa India sambamba na kuelezea umuhimu wa kuendelea kununua mafuta ya Iran licha ya tishio la vikwazo vya Marekani, amesema kuwa ununuzi wa mafuta hayo unatokana na maslahi ya kitaifa ya India na sio ya Marekani.

  • Machafuko ya karibunii Libya yaathiri vibaya uchumi wa nchi

    Machafuko ya karibunii Libya yaathiri vibaya uchumi wa nchi

    Jul 03, 2018 03:07

    Shirika la Taifa la Mafuta la Libya limetangaza kuwa mapigano ya hivi karibuni katika eneo la Hilali ya Mafuta nchini humo yamesababisha hasara ya mamilioni ya dola kwa uchumi wa nchi hiyo.

  • Wanamgambo washambulia taasisi za mafuta mashariki mwa Libya

    Wanamgambo washambulia taasisi za mafuta mashariki mwa Libya

    Jun 14, 2018 14:56

    Afisa mmoja wa jeshi la Libya amesema, wanamgambo wenye silaha wameshambulia taasisi za mafuta zilizoko chini ya Jenerali Khalifa Haftar mashariki mwa nchi hiyo na kuchoma moto kwa uchache tangi moja la mafuta.

  • Kenya yaweka historia, Rais Kenyatta azindua uuzaji mafuta nje + Sauti

    Kenya yaweka historia, Rais Kenyatta azindua uuzaji mafuta nje + Sauti

    Jun 03, 2018 18:41

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya leo amezindua rasmi usafirishaji wa mafuta ghafi ya petroli yaliyochimbwa nchini humo na kwa utaratibu huo nchi hiyo imeanza mkakati wa kuuza bidhaa hiyo katika soko la kimataifa.

  • Maonyesho ya 23 ya Kimataifa ya Mafuta na Gesi nchini Iran

    Maonyesho ya 23 ya Kimataifa ya Mafuta na Gesi nchini Iran

    May 05, 2018 04:03

    Maonyesho ya 23 ya Kimataifa ya Mafuta, Gesi, Usafishaji na Petrokemikali yanatazamiwa kuanza kesho Jumapili hapa mjini Tehran.

  • Hizbullah: Lebanon si tonge laini kwa yeyote

    Hizbullah: Lebanon si tonge laini kwa yeyote

    Feb 03, 2018 07:41

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon, amejibu madai ya hivi karibuni ya Avigdor Lieberman, Waziri wa Vita wa utawala haramu wa Israel aliyedai kwamba kisima nambari tisa cha mafuta na gesi ya Lebanon katika Bahari ya Mediterranean ni mali ya Israel na kusema, Lebanon sio tonge laini kwa yeyote yule.

  • Uholanzi yafunga bomba lake la mafuta Nigeria kwa hofu ya uharibifu wa waasi

    Uholanzi yafunga bomba lake la mafuta Nigeria kwa hofu ya uharibifu wa waasi

    Jul 26, 2017 03:48

    Shirila la mafuta la Uholanzi na Uingereza la Royal Dutch Shell, limefunga bomba muhimu la mafuta kusini mwa Nigeria kutokana na ongezeko la vitendo vya uharibifu vinavyofanywa na makundi ya waasi eneo hilo.

  • Libya kuongeza uzalishaji wake wa mafuta

    Libya kuongeza uzalishaji wake wa mafuta

    Jul 19, 2017 14:23

    Viongozi wa Libya wametangaza kuwa nchi hiyo ina mpango wa kuongeza uzalishaji wake wa mafuta hadi kufikia mwishoni mwa mwaka huu na kufikia mapipa milioni moja na laki mbili na eldfu hamsini kwa siku.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS