Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuta

  • India: Hatutoacha kununua mafuta ya Iran licha ya Marekani kututaka tuache

    India: Hatutoacha kununua mafuta ya Iran licha ya Marekani kututaka tuache

    Aug 30, 2018 11:24

    Afisa mmoja wa ngazi ya juu nchini India amesema kuwa, serikali ya nchi hiyo itaendelea kununua mafuta ya Iran.

  • Lango bahari la Hormuz likifungwa bei ya pipa moja la mafuta itafika dola 400

    Lango bahari la Hormuz likifungwa bei ya pipa moja la mafuta itafika dola 400

    Jul 29, 2018 03:31

    Mtaalamu wa masuala ya mafuta wa Iraq ametabiri kuwa endapo lango bahari la Hormuz litafungwa kutokana na mivutano iliyojitokeza katika eneo la Mashariki ya Kati, bei ya pipa moja la mafuta itafika dola 400.

  • Iran: Njama za Marekani kwa ajili ya kuzuia uuzaji nje mafuta ni ndoto

    Iran: Njama za Marekani kwa ajili ya kuzuia uuzaji nje mafuta ni ndoto

    Jul 17, 2018 11:16

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Es'haq Jahangiri amesema kuwa njama za Marekani za kutaka kutuzuia uuzaji nje mafuta ya Iran ni ndoto potofu.

  • Kuzuia usafirishaji mafuta ya Iran; kutoka matamshi mpaka utekelezaji kivitendo

    Kuzuia usafirishaji mafuta ya Iran; kutoka matamshi mpaka utekelezaji kivitendo

    Jul 10, 2018 08:00

    Mjadala wa kuyawekea vikwazo mafuta ya Iran na kuzuia kabisa usafirishwaji na uuzaji nje wa bidhaa hiyo ya Iran umezingatiwa na vituo vya utafiti ambavyo vimetahadharisha kwamba, hatua hiyo itapelekea kupanda kwa bei ya bidhaa hiyo na kufikia hadi dola 150 kwa pipa.

  • India: Tunanunua mafuta ya Iran kwa maslahi yetu ya kitaifa sio ya Marekani

    India: Tunanunua mafuta ya Iran kwa maslahi yetu ya kitaifa sio ya Marekani

    Jul 09, 2018 09:08

    Waziri wa Mafuta wa India sambamba na kuelezea umuhimu wa kuendelea kununua mafuta ya Iran licha ya tishio la vikwazo vya Marekani, amesema kuwa ununuzi wa mafuta hayo unatokana na maslahi ya kitaifa ya India na sio ya Marekani.

  • Machafuko ya karibunii Libya yaathiri vibaya uchumi wa nchi

    Machafuko ya karibunii Libya yaathiri vibaya uchumi wa nchi

    Jul 02, 2018 22:37

    Shirika la Taifa la Mafuta la Libya limetangaza kuwa mapigano ya hivi karibuni katika eneo la Hilali ya Mafuta nchini humo yamesababisha hasara ya mamilioni ya dola kwa uchumi wa nchi hiyo.

  • Wanamgambo washambulia taasisi za mafuta mashariki mwa Libya

    Wanamgambo washambulia taasisi za mafuta mashariki mwa Libya

    Jun 14, 2018 10:26

    Afisa mmoja wa jeshi la Libya amesema, wanamgambo wenye silaha wameshambulia taasisi za mafuta zilizoko chini ya Jenerali Khalifa Haftar mashariki mwa nchi hiyo na kuchoma moto kwa uchache tangi moja la mafuta.

  • Kenya yaweka historia, Rais Kenyatta azindua uuzaji mafuta nje + Sauti

    Kenya yaweka historia, Rais Kenyatta azindua uuzaji mafuta nje + Sauti

    Jun 03, 2018 14:11

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya leo amezindua rasmi usafirishaji wa mafuta ghafi ya petroli yaliyochimbwa nchini humo na kwa utaratibu huo nchi hiyo imeanza mkakati wa kuuza bidhaa hiyo katika soko la kimataifa.

  • Maonyesho ya 23 ya Kimataifa ya Mafuta na Gesi nchini Iran

    Maonyesho ya 23 ya Kimataifa ya Mafuta na Gesi nchini Iran

    May 04, 2018 23:33

    Maonyesho ya 23 ya Kimataifa ya Mafuta, Gesi, Usafishaji na Petrokemikali yanatazamiwa kuanza kesho Jumapili hapa mjini Tehran.

  • Hizbullah: Lebanon si tonge laini kwa yeyote

    Hizbullah: Lebanon si tonge laini kwa yeyote

    Feb 03, 2018 04:11

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon, amejibu madai ya hivi karibuni ya Avigdor Lieberman, Waziri wa Vita wa utawala haramu wa Israel aliyedai kwamba kisima nambari tisa cha mafuta na gesi ya Lebanon katika Bahari ya Mediterranean ni mali ya Israel na kusema, Lebanon sio tonge laini kwa yeyote yule.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS