Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuta

  • Uholanzi yafunga bomba lake la mafuta Nigeria kwa hofu ya uharibifu wa waasi

    Uholanzi yafunga bomba lake la mafuta Nigeria kwa hofu ya uharibifu wa waasi

    Jul 25, 2017 23:18

    Shirila la mafuta la Uholanzi na Uingereza la Royal Dutch Shell, limefunga bomba muhimu la mafuta kusini mwa Nigeria kutokana na ongezeko la vitendo vya uharibifu vinavyofanywa na makundi ya waasi eneo hilo.

  • Libya kuongeza uzalishaji wake wa mafuta

    Libya kuongeza uzalishaji wake wa mafuta

    Jul 19, 2017 09:53

    Viongozi wa Libya wametangaza kuwa nchi hiyo ina mpango wa kuongeza uzalishaji wake wa mafuta hadi kufikia mwishoni mwa mwaka huu na kufikia mapipa milioni moja na laki mbili na eldfu hamsini kwa siku.

  • Maeneo yanayozalisha mafuta Tunisia yatangazwa kuwa ya kijeshi

    Maeneo yanayozalisha mafuta Tunisia yatangazwa kuwa ya kijeshi

    Jun 29, 2017 03:21

    Baraza la Usalama wa Taifa la Tunisia limeyatangaza maeneo yanayozalisha mafuta na maliasili nchini humo kuwa ni maeneo ya kijeshi.

  • Maonyesho ya Kimataifa ya Mafuta na Gesi yaanza Tehran

    Maonyesho ya Kimataifa ya Mafuta na Gesi yaanza Tehran

    May 06, 2017 03:05

    Maonyesho ya 22 ya Kimataifa ya Mafuta, Gesi, Petrokemikali na Vituo vya Kusafisha Mafuta ya Iran yameanza leo Tehran huku kukiwa na washiriki 4,000 wa kitaifa na kimataifa.

  • Uzalishaji mafuta wakwama tena kusini magharibi mwa Libya

    Uzalishaji mafuta wakwama tena kusini magharibi mwa Libya

    Apr 10, 2017 23:16

    Uzalishaji wa mafuta katika medani ya al Sharara ya kusini magharibi mwa Libya umekwama tena baada ya watu wenye silaha kufunga bomba moja la kusafirishia mafuta.

  • Iran kuanza kuziuzia nchi za Ulaya mapipa laki 8 ya mafuta kwa siku

    Iran kuanza kuziuzia nchi za Ulaya mapipa laki 8 ya mafuta kwa siku

    Mar 20, 2017 04:32

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inatazamiwa kuongeza kiwango cha mauzo yake ya mafuta kwa nchi za Umoja wa Ulaya EU.

  • Shambulio la kundi la kigaidi kwenye vituo vya mafuta nchini Libya

    Shambulio la kundi la kigaidi kwenye vituo vya mafuta nchini Libya

    Mar 05, 2017 08:44

    Sambamba na kuendelea migogoro ya kisiasa na kutokuwepo usalama nchini Libya, kwa mara nyingine kundi moja la wabeba silaha limeweza kudhibiti kituo cha mafuta katika eneo linalojulikana kwa jina maarufu la 'Hilali ya Mafuta' kaskazini mashariki mwa Libya.

  • Wafanyakazi wa sekta ya mafuta na gesi nchini Nigeria wagoma kudai mshahara

    Wafanyakazi wa sekta ya mafuta na gesi nchini Nigeria wagoma kudai mshahara

    Jan 11, 2017 01:13

    Wafanyakazi wa sekta ya mafuta na gesi nchini Nigeria, wameanzisha mgomo kulalamikia kutolipwa mishahara na marupurupu yao.

  • Kutangaza vita

    Kutangaza vita "Walipizaji Kisasi wa Niger Delta" dhidi ya serikali ya Nigeria

    Jan 08, 2017 02:48

    Katika hali ambayo Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria ameahidi kufikia suluhu na waasi, kundi la wana mgambo linalojiita Walipizaji Kisasi wa Niger Delta la kusini mwa nchi hiyo limetangaza vita dhidi ya serikali baada ya mazungumzo baina ya pande mbili kumalizika bila ya kufikiwa tija.

  • Bomba jingine la kusafirisha mafuta laripuliwa Niger Delta nchini Nigeria

    Bomba jingine la kusafirisha mafuta laripuliwa Niger Delta nchini Nigeria

    Nov 28, 2016 04:20

    Waasi wa eneo la kusini mwa Nigeria la Niger Delta wameshambulia kwa kuripua bomba jingine la kusafirisha mafuta katika eneo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS