-
Maeneo yanayozalisha mafuta Tunisia yatangazwa kuwa ya kijeshi
Jun 29, 2017 07:51Baraza la Usalama wa Taifa la Tunisia limeyatangaza maeneo yanayozalisha mafuta na maliasili nchini humo kuwa ni maeneo ya kijeshi.
-
Maonyesho ya Kimataifa ya Mafuta na Gesi yaanza Tehran
May 06, 2017 07:35Maonyesho ya 22 ya Kimataifa ya Mafuta, Gesi, Petrokemikali na Vituo vya Kusafisha Mafuta ya Iran yameanza leo Tehran huku kukiwa na washiriki 4,000 wa kitaifa na kimataifa.
-
Uzalishaji mafuta wakwama tena kusini magharibi mwa Libya
Apr 11, 2017 03:46Uzalishaji wa mafuta katika medani ya al Sharara ya kusini magharibi mwa Libya umekwama tena baada ya watu wenye silaha kufunga bomba moja la kusafirishia mafuta.
-
Iran kuanza kuziuzia nchi za Ulaya mapipa laki 8 ya mafuta kwa siku
Mar 20, 2017 08:02Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inatazamiwa kuongeza kiwango cha mauzo yake ya mafuta kwa nchi za Umoja wa Ulaya EU.
-
Shambulio la kundi la kigaidi kwenye vituo vya mafuta nchini Libya
Mar 05, 2017 12:14Sambamba na kuendelea migogoro ya kisiasa na kutokuwepo usalama nchini Libya, kwa mara nyingine kundi moja la wabeba silaha limeweza kudhibiti kituo cha mafuta katika eneo linalojulikana kwa jina maarufu la 'Hilali ya Mafuta' kaskazini mashariki mwa Libya.
-
Wafanyakazi wa sekta ya mafuta na gesi nchini Nigeria wagoma kudai mshahara
Jan 11, 2017 04:43Wafanyakazi wa sekta ya mafuta na gesi nchini Nigeria, wameanzisha mgomo kulalamikia kutolipwa mishahara na marupurupu yao.
-
Kutangaza vita "Walipizaji Kisasi wa Niger Delta" dhidi ya serikali ya Nigeria
Jan 08, 2017 06:18Katika hali ambayo Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria ameahidi kufikia suluhu na waasi, kundi la wana mgambo linalojiita Walipizaji Kisasi wa Niger Delta la kusini mwa nchi hiyo limetangaza vita dhidi ya serikali baada ya mazungumzo baina ya pande mbili kumalizika bila ya kufikiwa tija.
-
Bomba jingine la kusafirisha mafuta laripuliwa Niger Delta nchini Nigeria
Nov 28, 2016 07:50Waasi wa eneo la kusini mwa Nigeria la Niger Delta wameshambulia kwa kuripua bomba jingine la kusafirisha mafuta katika eneo hilo.
-
Saudia yasimamisha makubaliano ya kusafirisha mafuta Misri
Nov 08, 2016 07:35Katika kile kinachoonekana ni kutokota mzozo kati ya Riyadh na Cairo juu ya visiwa vya kiistratajia vya Tiran na Sanafir, Misri imetangaza rasmi kuwa, Saudi Arabia imesimamisha makubaliano ya kusafirisha mafuta katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Uzalishaji mafuta warejea katika hali yake ya kawaida nchini Nigeria
Nov 02, 2016 04:23Waziri wa Mafuta wa Nigeria amesema kuwa, uzalishaji mafuta umerejea katika hali yake ya kwaida nchini humo.